N i kisa cha kweli imenitokea leo.
Huyu binti, anasoma hapa katikati ya jiji,
mara kwanza nilikutana naye alikuwa amevaa kimtego, nikaomba namba akasema hana simu.
Hivyo tukawa tunawasiliana na...
Kwa mbwembwe nimeingia, salamu nawatakia
Za watoto nawaitikia, wakubwa naamkia,
Swali nawaulizia, natumai mtajibia,
Mgeni siku ya kwanza, ale na kubakishia?
Mgeni akikujia, kutoka maili mamia...
. . . .ever been told that?
Kama ambavyo watu hua wanatamani kuambiwa "NAKUPENDA wewe" na kufurahia wanapoambiwa hivyo. . .je ni vipi ikiwa kinyume cha hapo? Ukiambiwa "NAKUCHUKIA wewe" na...
Familia moja ilikua na House Girl, alikua haruhusiwi kukalia sofa sebleni, haruhusiwi kula meza moja na familia ya mwajiri wake japo chakula kapika yeye, alilalia godoro jembamba la nchi 1.2...
wapendwa wangu wa jf nimekuwa na hili swali kitambo kidogo na nadhan hapa leo ntapata majibu hasa wakaka naomba mniambie kwa uzuri hivi inakuaje mtu mpenzi wako yeye anataka mchat tuu saana na...
Huyu kijana amegeuka kuwa hatari hapa mtaani ninapoishi. Mpaka sasa kuna ndoa kama saba hivi ambazo inaonekana jahazi linaelekea kuzama kutokana na ushushushu wa huyu kijana anayedai eti...
Wakuu mabibi na Mabwana
Happy valentine's day to you all, kwa niama ya my BIIIG family, sweetie AshaDii, ma hommies, wapwaz, mabinamu, friends in need na wote wenye mapenzi mema.
Kitu kimoja...
hi m a Kamasutra teacher in Nirvaana school of sexual art. i m instructor of kamasutra an art of love making plz. Ask any question and i eill aanswer it. We are in kenya but want to open school...
Toka utotoni nimelelewa kwe familia ya watoto sita nikiwa wamwisho kwe madada watano
...mda wote nimezoea kupikiwa toka utotoni hadi namaliza chuo mwaka jana na kupata kazi..juzi nimerudi...
Mwezi uliopita nilikutana na rafiki yangu wa kike wa facebook livena tukapata nae chakula cha mchana. Katika maongezi na kufahamiana zaidi nimetambua kwamba rafiki yangu ni mwananfuziwa chuo...
Habari wana Jf,
Juzi kwa rafiki yangu kulikuwa na sherehe ya kuvishwa pete ya uchumba mdogo wake,watu tulikuwa wengi tu sebuleni,
Ghafla ktk hali isiyotarajiwa aliibuka mtoto wa mdogo wake akiwa...
Hii story ni kutoka kwa jamaa yangu ameniomba ushauri:
ilikuwa juzi,mkewe alikwenda kwako kutembelea(kwao na mkewe ni mjini pia)
Aidha baba mkwewe ni dreva tax.
sasa jamaa yangu akaenda hotel...
Natafuta mpenz ambae anajijua n mkal in phisical appearance na mwenye figa nzur na awe anajijua ana ngoma,Asiwe mpenda ela coz mapenz ya kwel cio mpaka mkwanja,miaka 18,-22check me on...
Nchi za wenzetu wanaume.hua wanaenda strip club kuangalia wanawake wakicheza taratibu na kwa madaha huku waki'undress. . .sina uhakika na huku kwetu.
Nwy ni dhahiri kwamba wanaume hua wanapenda...
Mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.Katika maisha yangu...
Wadau naomba tutete kinaga ubaga,kuna jamaa yangu kanipa no ya binti mmoja na binti nimeisha ongea nae several time ila yet sijamwambia linalo nisibu kwake,na leo kaniomba tukutane na hatujawahi...
wajameni nilikuwa na uhusiano wakimapenzi na mke wa jirani.kila mara huniambia ananipenda sana kuliko mumewe wa ndoa, siku moja nilimwambia kama kweli ananipenda aende akadai talaka ili tuwe...
Salaams kwenu,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 muislam, nafanya kazi kwa kuajiriwa kipato changu kinaniwezesha kumudu mahitaji yangu kwa ujumla. Namtafuta mchumba mchamungu, anaejihemu...
Jaman,mshkaji wangu amepewa huo mtihan na swthart wake.kiukwel msela,hajatulia kivile,na ninahc gal wake atakua kamshtukia,asa ananiomba ushauri amkubalie wakapime au vp maana ye pia anampenda ila...