Mpenzi wangu ananitisha nisaidieni..

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,724
19,867
Mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.Katika maisha yangu ilitokea nilifanya mambo mengi ya kishujaa kwa msichana ambaye nipo nae hadi sasa.Nashukuru MUNGU kwa kujitoa kwangu kufanya mema kwa huyu msichana ikambidi anieleze kuwa nastaili kuwa mpenzi wake kitu ambacho sijawahi kuota.Huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.Uzuri wake umekuwa gumzo machoni na midomoni mwa watu.
Kilichonisibu kuandika ni hivi:Huyu binti hana bahati ya kutongozwa na watu wa hali chini labda wengi wao wanamtania ila watu wenye pesa wanamzonga sana mpenzi wangu japokuwa ananieleza nisihofu atayashinda majaribu na mbaya zaidi imefikia hatua hata ndugu zake wa kiume kumtongoza jambo ambalo linanitisha.Bado ni mwanachuo ila huko nako malecturez and staffs wa pale chuo wanamsumbua kwa kasi mno juzjuzi kaanda sherehe ya birthdei wamekuja watu wenye mausafiri ya gharama na zimetolewa zawadi za kutisha hadi moyo wangu umeingia hofu.Namshukuru mpenzi wng kwa kunitambulisha kama mtu wake mbele ya umati ule lakini BADO KICHWA CHANGU KINALOAD SANA NAHISI HAYA MAHUSIANO YATAENDA KUNICHACHIA HUKO MBELE YA SAFARI kwa maana najiuliza ataweza kuruka vikwazo vya hawa watu wenye hela kushinda mimi mpenzi wake.KWA KWELI NATUMIA ENERGY NYINGI KULEA PENZI LANGU HUWA NATAMANI HATA NINGEMPATA ZOMBIE MWENZANGU NISINGEKUWA NA HOFU KAMA HII.Nisaidieni nitumie technique gan kumlea huyu mtoto ambae naona sio hadhi yangu hadi wazazi wangu wanaoneshwa kuwa na hofu nae kutokana uzuri wake umekuwa exeption sana.
 
Natamani hata ni apload picha yake ila na yeye ni member humu japokuwa yupo bize sana na masomo.
 
Hakuna mwanamke mzuri saaaaana.

Kuna umri wa kutongozwa na watu kama elfu kwa siku kwa kila mwanamke, hasa kati ya miaka 16 - 26

Akivuka hapo, basi ujue kuku wako mwenyewe labda we kicheche tu.

Sasa wewe unataka ufanye nini cha ziada? Tembelea kwenye waya? Ruka sarakasi?

Usijaribu kuwa ambacho hauko kwa ajili ya penzi, kama ni wako ataruka vikwazo, kama si wako hata umpe Mars atabenjuliwa tu.

Dunia yako, chaguo lako, chagua kuwa na wanamke mzuri ili mapeshee wamtongoze, au chagua kuwa na zombie kama ulinyowaita.
 
Mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.Katika maisha yangu ilitokea nilifanya mambo mengi ya kishujaa kwa msichana ambaye nipo nae hadi sasa.Nashukuru MUNGU kwa kujitoa kwangu kufanya mema kwa huyu msichana ikambidi anieleze kuwa nastaili kuwa mpenzi wake kitu ambacho sijawahi kuota.Huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.Uzuri wake umekuwa gumzo machoni na midomoni mwa watu.
Kilichonisibu kuandika ni hivi:Huyu binti hana bahati ya kutongozwa na watu wa hali chini labda wengi wao wanamtania ila watu wenye pesa wanamzonga sana mpenzi wangu japokuwa ananieleza nisihofu atayashinda majaribu na mbaya zaidi imefikia hatua hata ndugu zake wa kiume kumtongoza jambo ambalo linanitisha.Bado ni mwanachuo ila huko nako malecturez and staffs wa pale chuo wanamsumbua kwa kasi mno juzjuzi kaanda sherehe ya birthdei wamekuja watu wenye mausafiri ya gharama na zimetolewa zawadi za kutisha hadi moyo wangu umeingia hofu.Namshukuru mpenzi wng kwa kunitambulisha kama mtu wake mbele ya umati ule lakini BADO KICHWA CHANGU KINALOAD SANA NAHISI HAYA MAHUSIANO YATAENDA KUNICHACHIA HUKO MBELE YA SAFARI kwa maana najiuliza ataweza kuruka vikwazo vya hawa watu wenye hela kushinda mimi mpenzi wake.KWA KWELI NATUMIA ENERGY NYINGI KULEA PENZI LANGU HUWA NATAMANI HATA NINGEMPATA ZOMBIE MWENZANGU NISINGEKUWA NA HOFU KAMA HII.Nisaidieni nitumie technique gan kumlea huyu mtoto ambae naona sio hadhi yangu hadi wazazi wangu wanaoneshwa kuwa na hofu nae kutokana uzuri wake umekuwa exeption sana.
Natamani hata ni apload picha yake ila na yeye ni member humu japokuwa yupo bize sana na masomo.


Kwa hadithi hii inaonyesha wewe bado mtoto mdogo, hivi kwanini umeamua kujiingiza kwenye masuala ya mapenzi?????
 
Kumbe wewe kavulana, unataka umwanike mkeo mtarajiwa kwenye mitandao ya kijamii??

No wonder anaalika mapedeshee.

Natamani hata ni apload picha yake ila na yeye ni member humu japokuwa yupo bize sana na masomo.
 
Natamani hata ni apload picha yake ila na yeye ni member humu japokuwa yupo bize sana na masomo.
Nimepost thread hiyo kutokana kuna matatizo madogo madogo huwa yanajitokeza ambayo sababu kubwa imeonekana ni uzuri wake ndio unasababisha.
 
je wewe mwenyewe umeokoka?

kumbuka ​birds of feathers flock together...
 
Kumbe wewe kavulana, unataka umwanike mkeo mtarajiwa kwenye mitandao ya kijamii??

No wonder anaalika mapedeshee.

Kongosho vipi tena? Lengo langu sio kumuanika mpenzi wangu bali nimelenga kupata ushauri ni vipi naweza kabiliana na hali hii?
 
Kijana mbona hujiamini? kama unampenda na unaamini anakupenda basi huna haja ya hofu... angalia wivu unaweza pitiliza.... halafu ukamkosa jumla.... MUombee sana na wewe jitahidi kukaa vizuri na Mungu
 
Hapana mi muumini wa kawaida wa thehebu la RC

kama nilivyosema hapo juu, birds of feathers flock together...

nimeshatoa ushauri wangu apo juu, but the good thing ni kuwa nyoooote mu-wakatoliki basi kaeni kwa imani yenu na mjitulize.... I can see you kijana unaonekana kiasi fulani uko after ohysical appearance yake zaidi, kuliko yeye mwenyewe, kumbuka skin color can change, body weight/height can change, a look of person can change, ila the inner person will always value the credibility of a person
 
Kijana mbona hujiamini? kama unampenda na unaamini anakupenda basi huna haja ya hofu... angalia wivu unaweza pitiliza.... halafu ukamkosa jumla.... MUombee sana na wewe jitahidi kukaa vizuri na Mungu

Hali ndio zinazonipunguzia confidence ila naamini ananipenda swali linalozunguka kichwani mwangu ni je ataweza kukwepa mitego ya noti?
 
Huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.

mlokole mkatoliki ndiyo dini gani............................ndiyo nimeisikia leo.................tatizo ni wewe una very low self-esteem...........ahata hao unaowadharau kuwa ni saizi yako ujue kama hujiamini kiroho kitakuwa kinakusumbua................maana njemba mtaani zipo kunusanusa visivyo vyao..........
 
Ndugu,

Tuliza akili. Suala la mapenzi kwa asilimia kubwa linatawaliwa na imani. Mwamini mpenzi wako (hatakusaliti) kama na wewe hufanyi hivyo. Kumbuka Mora ndo huwa anapanga, sio sisi wanadamu
 
Natamani hata ni apload picha yake ila na yeye ni member humu japokuwa yupo bize sana na masomo.
Nimepost thread hiyo kutokana kuna matatizo madogo madogo huwa yanajitokeza ambayo sababu kubwa imeonekana ni uzuri wake ndio unasababisha.

usitubandikie picha hujui ya kuwa humu ndani ya JF kuna kumwaga mtama kwenye kuku wengi wengine huwezi kujua...........khofu isije ikawa khofu........
 
Mimi ni mvulana ambaye ndo kwanza naanza maisha tatizo la ajira nahisi limenifanya nijishughulishe na vibiashara vyangu vidogovidogo ambavyo vina nipa kula na mahitaji mengine.Katika maisha yangu ilitokea nilifanya mambo mengi ya kishujaa kwa msichana ambaye nipo nae hadi sasa.Nashukuru MUNGU kwa kujitoa kwangu kufanya mema kwa huyu msichana ikambidi anieleze kuwa nastaili kuwa mpenzi wake kitu ambacho sijawahi kuota.Huyu msichana kwa kweli ni mzuri sana pia ni mlokole mkatoliki.Uzuri wake umekuwa gumzo machoni na midomoni mwa watu.
Kilichonisibu kuandika ni hivi:Huyu binti hana bahati ya kutongozwa na watu wa hali chini labda wengi wao wanamtania ila watu wenye pesa wanamzonga sana mpenzi wangu japokuwa ananieleza nisihofu atayashinda majaribu na mbaya zaidi imefikia hatua hata ndugu zake wa kiume kumtongoza jambo ambalo linanitisha.Bado ni mwanachuo ila huko nako malecturez and staffs wa pale chuo wanamsumbua kwa kasi mno juzjuzi kaanda sherehe ya birthdei wamekuja watu wenye mausafiri ya gharama na zimetolewa zawadi za kutisha hadi moyo wangu umeingia hofu.Namshukuru mpenzi wng kwa kunitambulisha kama mtu wake mbele ya umati ule lakini BADO KICHWA CHANGU KINALOAD SANA NAHISI HAYA MAHUSIANO YATAENDA KUNICHACHIA HUKO MBELE YA SAFARI kwa maana najiuliza ataweza kuruka vikwazo vya hawa watu wenye hela kushinda mimi mpenzi wake.KWA KWELI NATUMIA ENERGY NYINGI KULEA PENZI LANGU HUWA NATAMANI HATA NINGEMPATA ZOMBIE MWENZANGU NISINGEKUWA NA HOFU KAMA HII.Nisaidieni nitumie technique gan kumlea huyu mtoto ambae naona sio hadhi yangu hadi wazazi wangu wanaoneshwa kuwa na hofu nae kutokana uzuri wake umekuwa exeption sana.

Jiamini kama anavyojiamini mpenzi wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom