Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Zingatia: Furaha ya kweli 📌 Kuna wakati tunadhani tukipata pesa nyingi, nyumba nzuri, gari la ndoto au mafanikio makubwa ndipo tutafurahi. Lakini ukweli ni kwamba vitu vya nje vinaweza kutupa...
4 Reactions
6 Replies
157 Views
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu...
11 Reactions
71 Replies
926 Views
Umeoa mkeo kwa mahari kubwa siku moja unarudi nyumbani unakuta hayupo unaambiwa kaenda salun unamfatilia huko salun unamkuta anafanyiwa huu UPUUZI tena na lijamaa, alafu mkeo anakenua anakwambia...
0 Reactions
66 Replies
13K Views
Kuna wazazi sijui n kutojielewa ama nin.unakuta mtoto wa kiume na wakike wanalala chumba kimoja. haswa wanaoishi mjin wanapuuza haya...
4 Reactions
6 Replies
192 Views
Dah ni siku nyingi Sana , inatokana na u busy natafta Ada na unga wa watoto wa baadae, Bwana nimeamua sasa niweke jiko ndani baada ya kucheza michezo aina zote na wadada wa cariber mbali mbali...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wanajamii mpo salama? Ilikuwa tarehe 12 mwezi wa tisa nikaenda mgahawa mmoja unaitwa New castle cafe hapa changi, Singapore, Niko nimekaa zangu akaja muhudumu ni mfilipino ni demu mzuri tu...
6 Reactions
90 Replies
11K Views
Habari za muda huu, ni siku tulivu sana hapa. Jiji la Dar es Salaam kumekucha salama, ingawa kulikuwa na upepo wa baridi sana, poleni na natumaini kila mmoja wetu ni mzima kabisa. Nawatakia kila...
49 Reactions
375 Replies
41K Views
Mimi ni kijana Niko mbeya natamani tu kuwa na mwanamke wa miaka iyoo maana Hawa wa 2000 mbona kama pasua kichwa sana, na mimi nna miaka 28, kama upo interested DM, uwe vyovyote Ile usiwe mnene...
6 Reactions
37 Replies
496 Views
1. Hakikisha mpenzi wako hatilii shaka uaminifu wako. Kikwazo nambari moja kwa maisha ya mapenzi yenye afya ni mawazo ya ukafiri kuwa na wasiwasi na mpenzi wako 2. Maandalizi mazuri Kabla ya...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Mapenzi bhana, kuna time baada ya kuachana na mpenzi wako au maisha kuwawatenganisha kwa mda mrefu unaanza kuhisi umemmiss X wako and all of a suddenly unataka fall in love tena lakini kadri...
7 Reactions
53 Replies
658 Views
Habari za asubuhi wazee, Niende kwenye mada mojamoja jana usiku nimerudi home sielewi lile wala hili mfukoni sina kitu si nikaona ebu nichukue buku mbili kwenye mkoba wa wife, nikanunua maji na...
15 Reactions
59 Replies
879 Views
Sijawahi kufikiria wala kudhani kuwa mazingira ya gym ni hatari kiasi hiki hadi niliposikiliza video hii hapo chini na kumshirikisha jamaa yangu mmoja ambaye anaenda gym mara kwa mara...
11 Reactions
134 Replies
2K Views
Vipi, umeshawahi kukutana na mtu ambaye hatosheki kingono au kweye mahusiano ya kimapenzi? Ambao hamjaangalia hii shoo ya “the polygamist”, inamhusu mbaba anaitwa Jonasi ambaye ana ndoa ya mke...
10 Reactions
213 Replies
2K Views
Iko hivi, wiki mbili zimepita nilikua kiwanja kimoja maarufu sana hapa Dar nikavutiwa na mrembo mmoja nikamuita akanipa namba na nilipotaka kuondoka nikataka kuondoka nae ila akasema amekuja na...
50 Reactions
120 Replies
20K Views
Kubali au ukatae, Dunia ni ya mwanaume,kila kilichomo ulimwengu kipo kwenye control ya mwanaume. Kila anachofanya mwanamke ujue kimeanzishwa na mwanaume. Kwanza niwasalimie,lakini pili nichukue...
2 Reactions
5 Replies
122 Views
Maisha yanatufundisha kwamba unaweza kumsaidia mtu kwa moyo wa dhati, ukijua unajenga uhusiano wa kudumu, kumbe bila kujua unajipalilia miiba. Sio kila anayepokea wema wako anatamani kukuona...
2 Reactions
1 Replies
86 Views
Jana jioni niliweza kuwatembelea wazee kadhaa waliostaafu na wengine wafanyabiashara wakubwa kiasi (mitaji yao bilioni kadhaa). Wengine wametelekeza majengo na biashara zao na kuamia mikoa...
22 Reactions
88 Replies
1K Views
Katika dunia tunayoishi leo, si rahisi kupata msaada wa kweli wa kihisia kutoka kwa watu Mara nyingi mtu anapokuwa na changamoto hutamani kuonewa huruma kuambiwa maneno ya faraja, kushikwa...
15 Reactions
123 Replies
1K Views
Hamjambo! Kwa asilimia tisini na tisa kijana mwenye future kubwa, anayejitambua, mchapakazi, anayejiamini hawezi kuwa na wazo la kutoka na mwanamke mtu mzima, lishangazi. Huwezi kuta kijana...
6 Reactions
65 Replies
667 Views
Utamu wa safari za usiku kwa kutumia mabasi "Nilisafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Bukoba kwa basi. Tuliondoka stendi majira ya saa 10 jioni. Bahati nzuri nilikaa siti moja na kijana aliyekuwa...
11 Reactions
80 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…