Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika)...
386 Reactions
663 Replies
103K Views
Heri ya jumapili nyote!! Nina kesi yangu hapa,kila nikirudi usiku sikuti chakula cha usiku,nikimhoji wife anasema eti alijua nimekula kwenye ulevi wangu. Jana nimerudi na ubao sio poa,lakini...
10 Reactions
38 Replies
544 Views
Hivi ni vitu ambavyo kwenye mahusiano mtu hua anawekeza japo vinakosa uwiyano. "malengo" hapa mtu anakua anajua kua alie nae yupo nae kwaajili ya maisha au sehemu ya mapito. "hisia" kwa maana...
0 Reactions
4 Replies
96 Views
Kipindi sijaoa hakuna mwanamke mwenye kusumbuka na mimi ,kila niliyetaka kumuoa alikuwa hataki. Baada ya kuoa na maisha ya ndoa yani kila mwanamke akiona pete kidoleni au kunijua wanatengeneza...
9 Reactions
40 Replies
736 Views
Mnakera,mmenikera hamnijui , siwajui. Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha. Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema...
16 Reactions
146 Replies
2K Views
SABABU 10 AMBAZO HUFANYA WANANDOA KUNYIMANA TENDO LA NDOA KWA MAKUSUDI, CHANGAMOTO ZAKE NA MADHARA YAKE Katika maisha ya ndoa, tendo la ndoa sio tu suala la mwili bali pia ni daraja la ukaribu wa...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
Zamani miaka ya 2005 kurudi nyuma mapenzi yakikuwa na mvuto sana. Ie kulikuwa na commitment ya mahusiano baina ya wapendanao na hata mmoja akisafiri kwenda mkoa mwingine still wapenzi...
2 Reactions
13 Replies
248 Views
Siku hizi walimu wa maisha wametapakaa wanafundisha watu kupata pesa, kudumu kwenye ndoa na familia na kuwa na maisha mazuri ila kituko kwa hao walimu kila wafundishacho ni kinyume chake na hata...
1 Reactions
5 Replies
79 Views
Ebu isikilize hii Ng'ombe 😀😀😀
16 Reactions
225 Replies
3K Views
That's why it's always good to use protection and if possible get tested.
1 Reactions
3 Replies
104 Views
Nigerian preacher and marriage counsellor, Reverend Funke Felix-Adejumo has advised married men not to wear themselves out in an attempt to satisfy their wives, saying no man can completely please...
0 Reactions
2 Replies
119 Views
4 Reactions
33 Replies
365 Views
Kuna wakati unajihisi umechoka, unahisi mambo yako hayaendi, na kila hatua unayopiga ni kama unavutwa nyuma na kamba usiyoiona. Unakaa na kutafakari; "Mbona nina elimu? Mbona nina juhudi? Mbona...
4 Reactions
6 Replies
526 Views
Nalo ni swali hata wewe unaweza kujibu, Angalia avator nyingine za watumiaji wa jamiiforums wameweka picha za makalio ya wanawake. Nimejiuliza ghafla, kwanini baadhi ya wanaume wanapenda makalio...
1 Reactions
383 Replies
38K Views
Kuna baadhi ya wanawake wamekua wakiwaomba mabwana zao kuwapatia mimba na bila kua na sababu za msingi zinazo wafanya kua na maamuzi kama hayo, na hua sijuagi wanalenga nini mana kinachotokea...
15 Reactions
102 Replies
2K Views
Dada huyu anajua mahaba balaa nyuzi zake za kishua.natamani nipate mke mwenye mahaba kama yeye.
9 Reactions
35 Replies
485 Views
SIFA ZA MWANAUME BORA WA KUKUOA, KUWA MUMEO NI HIZI HAPA! 2025 FANYA KWELI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Wanawake wengi hulalamika kutokujua ni mwanaume gani anasifa za kumwoa. Wengi...
4 Reactions
21 Replies
4K Views
Bwana yesu asifiwe, Nanguliza shukrani kwako wewe ambaye umesoma hapa, Nina orodha ya udanganyifu niliowahi kufanyiwa na wenzangu ( wapenzi mbali mbali) ila niligundua. 1. Mmoja mwanafunzi wa...
41 Reactions
539 Replies
97K Views
Usipende kujiamlia Mambo kijana kama hujaoa nakushauri kaa mbali na mabinti wa chuo kama lengo ni kupata waifu matilio ogopa mataperi chuo hakuna waifu matilio msije kusema sijawaambia
2 Reactions
18 Replies
200 Views
Back
Top Bottom