Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika)...
Heri ya jumapili nyote!!
Nina kesi yangu hapa,kila nikirudi usiku sikuti chakula cha usiku,nikimhoji wife anasema eti alijua nimekula kwenye ulevi wangu.
Jana nimerudi na ubao sio poa,lakini...
Hivi ni vitu ambavyo kwenye mahusiano mtu hua anawekeza japo vinakosa uwiyano. "malengo" hapa mtu anakua anajua kua alie nae yupo nae kwaajili ya maisha au sehemu ya mapito. "hisia" kwa maana...
Kipindi sijaoa hakuna mwanamke mwenye kusumbuka na mimi ,kila niliyetaka kumuoa alikuwa hataki.
Baada ya kuoa na maisha ya ndoa yani kila mwanamke akiona pete kidoleni au kunijua wanatengeneza...
Mnakera,mmenikera hamnijui , siwajui.
Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha.
Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema...
SABABU 10 AMBAZO HUFANYA WANANDOA KUNYIMANA TENDO LA NDOA KWA MAKUSUDI, CHANGAMOTO ZAKE NA MADHARA YAKE
Katika maisha ya ndoa, tendo la ndoa sio tu suala la mwili bali pia ni daraja la ukaribu wa...
Zamani miaka ya 2005 kurudi nyuma mapenzi yakikuwa na mvuto sana. Ie kulikuwa na commitment ya mahusiano baina ya wapendanao na hata mmoja akisafiri kwenda mkoa mwingine still wapenzi...
Siku hizi walimu wa maisha wametapakaa wanafundisha watu kupata pesa, kudumu kwenye ndoa na familia na kuwa na maisha mazuri ila kituko kwa hao walimu kila wafundishacho ni kinyume chake na hata...
Nigerian preacher and marriage counsellor, Reverend Funke Felix-Adejumo has advised married men not to wear themselves out in an attempt to satisfy their wives, saying no man can completely please...
Kuna wakati unajihisi umechoka, unahisi mambo yako hayaendi, na kila hatua unayopiga ni kama unavutwa nyuma na kamba usiyoiona. Unakaa na kutafakari; "Mbona nina elimu? Mbona nina juhudi? Mbona...
Nalo ni swali hata wewe unaweza kujibu,
Angalia avator nyingine za watumiaji wa jamiiforums wameweka picha za makalio ya wanawake. Nimejiuliza ghafla, kwanini baadhi ya wanaume wanapenda makalio...
Kuna baadhi ya wanawake wamekua wakiwaomba mabwana zao kuwapatia mimba na bila kua na sababu za msingi zinazo wafanya kua na maamuzi kama hayo, na hua sijuagi wanalenga nini mana kinachotokea...
SIFA ZA MWANAUME BORA WA KUKUOA, KUWA MUMEO NI HIZI HAPA! 2025 FANYA KWELI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Wanawake wengi hulalamika kutokujua ni mwanaume gani anasifa za kumwoa. Wengi...
Bwana yesu asifiwe,
Nanguliza shukrani kwako wewe ambaye umesoma hapa,
Nina orodha ya udanganyifu niliowahi kufanyiwa na wenzangu ( wapenzi mbali mbali) ila niligundua.
1. Mmoja mwanafunzi wa...
Usipende kujiamlia Mambo kijana kama hujaoa nakushauri kaa mbali na mabinti wa chuo kama lengo ni kupata waifu matilio ogopa mataperi chuo hakuna waifu matilio msije kusema sijawaambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.