Kuna wazazi sijui n kutojielewa ama nin.unakuta mtoto wa kiume na wakike wanalala chumba kimoja. haswa wanaoishi mjin wanapuuza haya eti wanasema sn mtu na dadake.endelea kupuuza ujue hisia hazina heshima
Wimbi la nguvu ya "nyege" katika umri wa balehe linafunika ufahamu wa udugu au nasaba iliyopo ili kukidhi matakwa ya kimwili......hivyo kama kuna wasaa wa kuwekwa mbali mbali baina ya watu hao basi litakuwa jambo la kheri kwao na kwa familia kwa ujumla!!!
Mimi naelezea kutokan na experience kipindi nnapokua nilikuwa na lala na binamu yang chumba kimoja. mim nlkuwa na miaka kumi na nne binamu yangu kumi na sita. nakumbuka enzi nikiwa form 2 binamu yangu aliwahi kunitaka kimapenzi ila nilijaribu kila hali ila nljikuta nimezama mtegon bahat tu hakuwa dadaangu maan sijui ingekuaje
Kuna wazazi sijui n kutojielewa ama nin.unakuta mtoto wa kiume na wakike wanalala chumba kimoja. haswa wanaoishi mjin wanapuuza haya eti wanasema sn mtu na dadake.endelea kupuuza ujue hisia hazina heshima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.