Ngono mbaya!

Ngono mbaya!

Red-me

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2026
Posts
249
Reaction score
403
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
 
Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.
Utakafu ni nini? Ni utakatifu gani ulionao?
 
Back
Top Bottom