Mimi sijawai kuzini na wala sina mchumba na wala sitawahi kuwa nayo.miaka 30 niliyonayo nasema kuwa bado mimi n bikra na nina taka kufa na ubikra wangu. Na sitaki niharibu utakatifu niliyonayo na tamaa ya ngono.narudia kusema ngono mbaya na n balaa katika maisha ya mwanadamu.