Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ni aina ya wanawake ambao wengi hawana hata mafundisho ya kitamaduni ya kuwa mama mlezi, at least hapo zamani yalikuwa yanasaidia kina mama kukuza watoto wa kiume, mfano siku hizi Mama anaoga na...
3 Reactions
13 Replies
195 Views
MEMORIES OF 2019. Sitasahau Hasira Niliyopata Baada ya Kutongoza Mwanaume Mwenzangu kwa SMS kwa Makosa ya Namba. Wakuu, niwarudishe nyuma kidogo miaka 7 iliyopita, ilikuwa ni mwaka 2019...
5 Reactions
13 Replies
324 Views
Ijalishi ni tajiri au maskini ila haya ndio mambo ambayo unatakiwa kujua mapema. 1.MUDA Wanaume tumekuwa tukitumia mda mwingi kupambania maisha yetu na mda mwengine kupumzika kwa kuburudika...
6 Reactions
18 Replies
424 Views
Tumia KONDOMU. Usiseme sijakwambia. Sirudii mara 2 nikipita nimepita. Vaa Condom.
3 Reactions
12 Replies
143 Views
Habari za Saba Saba. Jamani wale wataalaam wa afya kuna uhusiano wa kupandisha hasira na sukari mwilini mwa binadamu?
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Huu uzi ni mahsusi kwa ajiri ya kutupia maneno mazuri na ya kuvutia ya kupendeza kwa yule umpendaye wengi hapahapa watachukua maneno mazuri Siku zote mapenzi yanahitaji upendo wa dhati utani wa...
2 Reactions
25 Replies
339 Views
Salaam/shaloom Mwanangu mmoja aliniomba nimsindikize pahala fulani so tukafika akanambia tuingie ndani tukaingia tukakalibishwa misosi mingi baada yake joto kali nikaomba nitoke nje nipunge upepo...
15 Reactions
88 Replies
2K Views
Kaka yangu alikorofishana na mkewe yani shemeji yangu, shem akabeba nguo zake akasepa kwao hapohapo dar, bro akawaomba masister zetu ushauri, dada zetu hawana dogo sister mkubwa akasema piga chini...
9 Reactions
62 Replies
1K Views
Leo bana nikiwa katika harakati zangu za siku, kulikua Kuna sehemu nimetulia Ghafla nikaona mwanamke Mzuri na yeye pia alikua ametulia Kwa mazingira yake kumfata ilikua noma Nikaona hapa...
19 Reactions
104 Replies
2K Views
Okay my dadas, kwanza kabisa habari zenu :) kama tunavyojua, kila mmoja wetu hapa ana story za ajabu kuhusu mambo waliofanya kisa mapenzi. Some are wild, wengine funny, weingine cringey, na wengi...
5 Reactions
8 Replies
968 Views
Mara nyingi utasikia baadhi ya wanawake wakisema wanapenda sana watoto weupe ili wawanyoshe watesi wao yaani wasifiwe watoto wao wazuri. Lakini cha kushangaza, ukiangalia uchaguzi wao wa wapenzi...
13 Reactions
73 Replies
1K Views
Pamoja na wimbi kubwa la talaka na watu kutengana ama kuachana kabisa lakini hii ni special case kwa muktadha wa mada hii Mahari ninini? 1.Wajibu wa Mwanamume: Katika mafundisho ya kidini (kama...
7 Reactions
88 Replies
1K Views
  • Redirect
MWANAUME MZIMA UNAEOA SINGLE MOTHER NA KUBEBA BAO LA MWANAUME MWENZAKO Hivi nyie washenzi baadhi ya wanaume mnaojiita midume rijali mna akili kweli au mna minyoo na makamasi kwenye fuvu maana...
1 Reactions
Replies
Views
Kuna dada mmoja alikuwa akijisifia mbele yangu pasipo kujua kuwa anajiharibia. Kuwa yeye kipapiro chake aka papuchi yake ni dry... Siyo kama za mademu wengine zina mimaji. Akawa anataka nione...
4 Reactions
13 Replies
326 Views
Ndoa ni stara kwa mwanamke! Hivyo mwanamke anahitaji ndoa kuliko mwanaume Wanawake wamekuwa wengi ama ni wengi kuliko wanaume... Hivyo ndoa imekuwa kitu adimu hasa ukizingatia kuwa.. Pamoja na...
55 Reactions
218 Replies
7K Views
Hivi mtu Ulisikia neno ngono, nini cha kujia kichwani..... Wengi husema ni kufanya tendo la ndoa, bila ya Koa au kuolewa sio? Ni umalaya, ni kuharibu utaratibu, kuchepuka, uzinzi Ngono imekuwa...
14 Reactions
107 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu.NImekuwa namjadala nandugu yangu mmoja hapa kuhusu hoja hapo juu kuwa wanawake walio naumri wakuanzia 28yrs ukijiingiza tu wanakupa motto hili nikweli ?
0 Reactions
89 Replies
8K Views
Wanawake wengi ambao wapo 30+ na hawana ndoa ni hawa... 1.Walikataa kutumia mili yao for free lunch,so wakaonekana na misimamo ya hovyo...as per continet(Africa) is taken into consideration...
16 Reactions
119 Replies
4K Views
Back
Top Bottom