Achana nae hata kama inauma , kiufupi hakupendi hakutaki na kapata mwingine , mzuri , muelewa na anae mpenda kuliko wewe.
Hivyo fanya utaratibu wa kujifunza namna ya kujipenda wewe kwanza kabla...
Wakuu,
Mwaka 2023 ni mwaka ambao nilifanya ushetani huu, kanisa huwa lina ka chumba ambako kanaweza kutumika kama store!
Bwana ee nikapata kimchepuko ambacho nilikisotea kwa muda mrefu geti...
WATU WA BLOOD GROUP O WALIO WENGI
Hawa ni watu wenye HASIRA na UBABE sana kwenye maisha yao hawa wwtu WATU WA O
Hawa watu nawaita watu hekaheka (masafa) ukikuta O mchovu basi anatakuwa na...
Mbaya zaidi hujui ameshaliwa na wangapi kwa style karibia zote..
Hujui ametoa mimba mara ngapi
Hujui watu waliopita nae
Alafu aje kuniletea watoto alafu niwapende
Siwezi
Mtu ana makovu ya...
Nasikia anaitwa mamaruu Mariam KWA kweli huyu Binti anaukonga MOYO WANGU, nimechunguza nimeambiwa YUPO ch,,,,,,,,,,,, ana duka la ,,,,,,,,,,,.
Nataka NIJUE KAMA ASHA olewa au BADO nimpose WAKUU...
Wakuu,
Yamenitokea, sina furaha kabisa😭😭mtaani kwetu Kuna mdada mzuri kapanga anafanya kazi ktk ofsi fulani.
Siku ya kwanza tu kuingia ktk chumba nikachangamkia fursa, nikaenda kupika nae...
Wakuu, tangu nimejiunga katika jukwaa hili may 10,2023 nimefanikiwa kufikisha reactions mbalimbali takribani 10,530. Kufikisha reactions takribani 10530 ni hatua ambayo si ya kupuuzwa kwani maoni...
Sijisifii... Nasikitika tu kuwa nimekuwa na tabia mbaya sana. Nimetembea na zaidi ya wanawake 150. Hao ni ambao nimewakumbuka. Nimeona maumbile ya aina tofaut tofaut.
Kuna ambao ni flat, kuna...
Hebu njoen
Dr dogoli kinyamkela ☠️ 💀 naomba nisaidie mawazo mm nna miaka 35 nimeolewa miaka 7 iliyopita mume wangu ana uwezo mkubwa sana
Ananipa kila kitu nnachotaka
Nakatazwa kutoka nje hata...
Ni ngumu sana hapa Dar es salaam kumjua mwanake wa mtu.Kibaya zaidi hao wanawake wenu tukiwasimamisha na kuwatongoza wanasema hawajaolewa na wala hawana watoto,Sasa kosa langu hapo mimi ni lipi...
✍️Ameandika Chris Mauki ( Mtaalamu wa Saikolojia na Mahusiano)
KUNA AINA TATU (3) ZA WANAWAKE KWENYE MUKTADHA WA HISIA ZA TENDO, KILA MWANAUME UNAPASWA KUFAHAMU HII ITAKUSAIDIA KUMUELEWA MWENZA...
Mpaji Mungu aliniiita geresa ambaye hafai kutambulishwa nyumbani kwa wakwe.
Hii iliniuma sana why ni madharau na ukiangalia sijawahi mlazimisha mtu aje kwangu kwa lazima.
Kilichoniuma zaidi ni...
Wakuu,
Mimi sina muda maalumu,sikati tamaa,utanizungusha weee nipo nawe tu mpaka pale takapohakikisha kuwa hunipendi.
Imenichukua miezi 8 mpaka kuja kumlamba binti jumapili iliyopita.
Vipi kwa...
yaani anahitaji boyfriend awe na miaka 25,awe na gari, nyumba, kazi ya maana, iPhone ya mwisho,awe handsome, awe na ndevu zilizo mkaa vizuri , awe na pesa ,awe na muda wa kuwa anachati nae muda...
Hii wiki nzima nilikua mpweke sababu baba watoto wangu alisafiri na mwaka mpya nilikua nauingia nikiwa peke yangu bila yeye.
Alfajiri hii nashtuka nasikia kama napapaswa kifuani, nafungua macho...
Wakuu, Mganga wa jadi kazi yake kuponya magonjwa kwa kutumia dawa za mitishamba, hapo dhambi yatoka wapi? Dhambi ni pale mtu huyo anatumia mitishamba hiyo kuua au kufifisha mipango ya mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.