Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Achana nae hata kama inauma , kiufupi hakupendi hakutaki na kapata mwingine , mzuri , muelewa na anae mpenda kuliko wewe. Hivyo fanya utaratibu wa kujifunza namna ya kujipenda wewe kwanza kabla...
8 Reactions
9 Replies
262 Views
Mapenzi yanawenyewe Unaweza kuwa mwingi, wa mishanga kuijaza Ila usifike kingi, mapenzi ukayaweza Vidogo dogo ni vingi, mwandani kumliwaza Siwadharau wengine, Mapenzi yanawenyewe Unaweza kuwa...
6 Reactions
6 Replies
207 Views
Wakuu, Mwaka 2023 ni mwaka ambao nilifanya ushetani huu, kanisa huwa lina ka chumba ambako kanaweza kutumika kama store! Bwana ee nikapata kimchepuko ambacho nilikisotea kwa muda mrefu geti...
9 Reactions
81 Replies
1K Views
Unadhani ni kwanini wanawake wengi miaka hii hawataki kuolewa na wanaume maskini wanao anzia chini !!?
15 Reactions
293 Replies
3K Views
WATU WA BLOOD GROUP O WALIO WENGI Hawa ni watu wenye HASIRA na UBABE sana kwenye maisha yao hawa wwtu WATU WA O Hawa watu nawaita watu hekaheka (masafa) ukikuta O mchovu basi anatakuwa na...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
Mbaya zaidi hujui ameshaliwa na wangapi kwa style karibia zote.. Hujui ametoa mimba mara ngapi Hujui watu waliopita nae Alafu aje kuniletea watoto alafu niwapende Siwezi Mtu ana makovu ya...
15 Reactions
76 Replies
1K Views
Nasikia anaitwa mamaruu Mariam KWA kweli huyu Binti anaukonga MOYO WANGU, nimechunguza nimeambiwa YUPO ch,,,,,,,,,,,, ana duka la ,,,,,,,,,,,. Nataka NIJUE KAMA ASHA olewa au BADO nimpose WAKUU...
9 Reactions
107 Replies
2K Views
Wakuu! Sababu zipi zilisababisha ukaoa ama ukaolewa? Unawashauri nini vijana ambao bado hawajaoa/kuolewa na wanao kataa ndoa kabisa?
7 Reactions
68 Replies
950 Views
Wakuu, Yamenitokea, sina furaha kabisa😭😭mtaani kwetu Kuna mdada mzuri kapanga anafanya kazi ktk ofsi fulani. Siku ya kwanza tu kuingia ktk chumba nikachangamkia fursa, nikaenda kupika nae...
12 Reactions
62 Replies
3K Views
Wakuu, tangu nimejiunga katika jukwaa hili may 10,2023 nimefanikiwa kufikisha reactions mbalimbali takribani 10,530. Kufikisha reactions takribani 10530 ni hatua ambayo si ya kupuuzwa kwani maoni...
4 Reactions
5 Replies
106 Views
Sijisifii... Nasikitika tu kuwa nimekuwa na tabia mbaya sana. Nimetembea na zaidi ya wanawake 150. Hao ni ambao nimewakumbuka. Nimeona maumbile ya aina tofaut tofaut. Kuna ambao ni flat, kuna...
4 Reactions
44 Replies
608 Views
Hebu njoen Dr dogoli kinyamkela ☠️ 💀 naomba nisaidie mawazo mm nna miaka 35 nimeolewa miaka 7 iliyopita mume wangu ana uwezo mkubwa sana Ananipa kila kitu nnachotaka Nakatazwa kutoka nje hata...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Ni ngumu sana hapa Dar es salaam kumjua mwanake wa mtu.Kibaya zaidi hao wanawake wenu tukiwasimamisha na kuwatongoza wanasema hawajaolewa na wala hawana watoto,Sasa kosa langu hapo mimi ni lipi...
13 Reactions
34 Replies
603 Views
✍️Ameandika Chris Mauki ( Mtaalamu wa Saikolojia na Mahusiano) KUNA AINA TATU (3) ZA WANAWAKE KWENYE MUKTADHA WA HISIA ZA TENDO, KILA MWANAUME UNAPASWA KUFAHAMU HII ITAKUSAIDIA KUMUELEWA MWENZA...
4 Reactions
23 Replies
832 Views
Mpaji Mungu aliniiita geresa ambaye hafai kutambulishwa nyumbani kwa wakwe. Hii iliniuma sana why ni madharau na ukiangalia sijawahi mlazimisha mtu aje kwangu kwa lazima. Kilichoniuma zaidi ni...
13 Reactions
157 Replies
4K Views
Wakuu, Mimi sina muda maalumu,sikati tamaa,utanizungusha weee nipo nawe tu mpaka pale takapohakikisha kuwa hunipendi. Imenichukua miezi 8 mpaka kuja kumlamba binti jumapili iliyopita. Vipi kwa...
3 Reactions
12 Replies
130 Views
yaani anahitaji boyfriend awe na miaka 25,awe na gari, nyumba, kazi ya maana, iPhone ya mwisho,awe handsome, awe na ndevu zilizo mkaa vizuri , awe na pesa ,awe na muda wa kuwa anachati nae muda...
9 Reactions
36 Replies
478 Views
Hii wiki nzima nilikua mpweke sababu baba watoto wangu alisafiri na mwaka mpya nilikua nauingia nikiwa peke yangu bila yeye. Alfajiri hii nashtuka nasikia kama napapaswa kifuani, nafungua macho...
15 Reactions
221 Replies
2K Views
Wakuu, Mganga wa jadi kazi yake kuponya magonjwa kwa kutumia dawa za mitishamba, hapo dhambi yatoka wapi? Dhambi ni pale mtu huyo anatumia mitishamba hiyo kuua au kufifisha mipango ya mtu...
6 Reactions
18 Replies
371 Views
Back
Top Bottom