Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mim nimelelewa na single mother tangu nikiwa na umri wa miaka miwili, na nimemuona father kwenye picha tu. Alifarik 2010 lakin hata kweny msiba wake sikuenda kwa sababu sijui kwao, hata mama...
10 Reactions
14 Replies
351 Views
Mtu haogopi kuchukua mke wa mtu. Anamkunja na kumuinamisha anavyotaka . Mbaya zaidi anakuwa anapikiwa na kufuliwa nguo. Hivi vijana wa siku hizi mna kuwa na ujasiri gani wa kufanya haya mambo?
3 Reactions
21 Replies
412 Views
Nikiwa nje ya mkoa kikaz bibi anabaki darisalama. Ikiwa nimekata mwezi mzima bila kukutana na bibi enu najikuta kuna muda napata ashiki hata niking'ang'ania nguzo ya umeme namwaga wazungu. Na...
1 Reactions
1 Replies
180 Views
HAbari za muda huu wana JamiiForums. Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa afya njema na uzima wa kiroho na kimwili. Leo nimekuja kuwashukuru walio niadvice kwa busara zao na kwa neema ya Mungu...
9 Reactions
56 Replies
763 Views
Porno isikudanganye mwanamama Kataa kabisa kutoa makebo yako, katalia kabisa etugru yako. sio tu unabaki na sehemu iliotanuka kama nyavu za kuvulia samaki bali pia unajitengenezea njia ya...
6 Reactions
29 Replies
838 Views
Habari ndugu zangu. Wewe mwanaume mwenzangu usije ukazama kabisa penzini na mwanamke uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii Hadi ukafikia hatua ya kutaka kumuoa. Mmekutana huko mkaanza...
10 Reactions
33 Replies
571 Views
My people, Wachangiaji wa JF Wanaifanya Ndoa Ionekane Ngumu Kuliko Uhalisia Wake Katika miaka ya karibuni, mitandao ya kijamii imekuwa kama kioo cha maisha ya watu, lakini mara nyingi kioo hicho...
9 Reactions
69 Replies
1K Views
Kaka mmoja hapa mtaani alioa mwanamke mwenye Watoto Wawili wa Baba Mmoja, huyo mwanamke Aliachana Na MUME Wake kipindi Watoto Wakiwa Wakubwa tayari wameanza shule, baada ya kuachana na mume wake...
42 Reactions
135 Replies
2K Views
Miaka kadhaa nyuma nilikuwa mwenyekiti wa kamati ya harusi ya kijana mmoja kwenye kanisa nililokuwa ninasali hapa Dar. Upekee wa hii ndoa ni misuguano na mabishano yaliyokuwepo kati ya kijana na...
15 Reactions
49 Replies
1K Views
Mfano mke wako au mchumba anakwambia anataka afanye kazi ya online live streaming kwenye majukwaa ya watu wazima.hakuna kukutana na mteja yeyote ana kwa ana anafanya kila kitu akiwa chumbani...
5 Reactions
31 Replies
472 Views
Baada ya kukaa mwezi mzima amerudi leo wadau huwa mnawqpokeaje wapenzi wenu wakirudi toka safarini?
3 Reactions
19 Replies
259 Views
Yaan hii iko ndani ya akili yangu kwamba wengi kama si wote wanaotumia jukwaa hili wenye Majina ya Kike ni Njemba za kiume Akili inanituma hivo Kuanzina miandiko, exposure na mitego yao Unajua...
13 Reactions
78 Replies
924 Views
Mnaotaka kuoa, nini kinakufanya ushindwe kufanya harusi ya aina hii?
17 Reactions
70 Replies
1K Views
Jana nmekuja kuwapa hai wazee wangu kama kawaida ni muda kidog umepita sasa katika kupiga stoli mother akaniambia mwanang mbona umekonda sana nikamwambia Amna mama kawaida akadai hapana sio...
3 Reactions
12 Replies
212 Views
Kisa cha kweli, mwaka Jana katika kurupushani moja uku Singapore nikapata sehemu kuna mtandao wa wadada wanao fanya escort (hunters) nikasema ngoja nifanye research kuhusu suala ili. Nikagundua...
17 Reactions
114 Replies
16K Views
Ukweli ni mchungu lakini acha niuseme mwenye HEKIMA atajifunza jambo. Mwanaume aliye na malengo lazima ajue kabla yakukosea njia sahihi ya kuoa. Huna haja ya kulala na mchawi ili umsaidie...
0 Reactions
3 Replies
477 Views
Faida nilizopata ni nyingi Sana Mimi sio yule wa mwaka 2025 -july najishukuru, Hamu ya sex sometimes ilikua kali sana ila nilifanya mazoezi makali Gym na kufikiria mambo magumu yasiyo na majibu...
30 Reactions
429 Replies
5K Views
Baada ya ujana kuuputia vya kutosha sasa naamua kuacha mambo haya hasa ya wanawake ,ninamrudia Mungu na ninataka kuwa mtu wa heshima sasa maana nimefanya mengi mno, Nakumbuka nimeshatembea na wake...
13 Reactions
51 Replies
9K Views
Ujana una mambo mengi Nina story nyingi hasa ujana ukiwa unachemka Ujana huu umenipa story za kusimuulia maishani, Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010, nilikuwa nakaa kigamboni Dar as salaam sehem moja...
35 Reactions
254 Replies
94K Views
Cheating ni kosa kubwa, lakini si sababu pekee inayovunja mahusiano. Mara nyingi mahusiano hufa polepole kutokana na tabia zinazojirudia kila siku bila watu kuzitambua. Upendo hauondoki kwa siku...
4 Reactions
20 Replies
390 Views
Back
Top Bottom