Moja kwa moja kwenye mada staki salamu! Navumilia sana kwamba mpaka nimwambie anipelekee maji nikaoge wakati anajua kabisa kuwa nilikuwa kazini nimechafuka! Vipi upande wako kero gani ndogo...
sifa kubwa ya mwanamke ni nyonga ndo maana mungu amewapendelea na kuwapa nyonga nzuri na zenye mvuto..na nyonga nzur na zenye mvuto shart zijuwe kukatwa bibi.
Kabla sijaendelea naomba niweke wazi...
Kwa kuangalia uzoefu na mienendo yao ya kijamii, kuna ujuzi wanaupata wa kuweza kuwasiliana na wanawake, hususan katika kuongea kwa mvuto (flirting) na kuanzisha mazungumzo kwa urahisi. Pia huwa...
natafuta demu wa kunipa mambo haya ,mimi nafanya kazi kwenye taasisi binafsi kama finance manager ila na wewe ukija uwe na kazi yoyote kifupi uwe unajishughulisha 34 age nipo dar
1.furaha
2.furaha...
Habar za usiku huu wakuu
NItaeleza kwa ufupi.
Huyu ambaye nazungumzia mada yake ni rafiki yangu sana, tunafanya wote kazi sehem moja.
Sasa Kuna huyu rafiki yangu mwingine ambaye ni WA nyumbani...
Wakati matumizi ya mafuta yakiwa maarufu kwa wengi kama kilainishi wakati wa kujamiiana, wataalamu wa afya wameonya kuwa yanaweza kuleta madhara makubwa kwa afya ya mwanamke, ikiwamo kuharibu...
Wakuu, nipokeeni kijana wenu nimekuja na id yangu ya muda mrefu iliyonitambulisha humu jukwaani. Naombeni ushirikiano wenu wakubwa kwa wadogo zangu. Binti wa zamani na Mallerina shukrani kubwa...
Narudis
Hakuna kitu kinaondosha baraka ya pesa kama zinaa na pombee
Ukishapataa tu ukaanza kuinunulia Malaya kuinunulia Pombe hata ukiitolea sadaka ya kujimaliza. Kitaumanaa tu
Namaanisha...
Attracting a high-quality mate isn’t about luck or beauty – it’s about the behaviors you exhibit.
Certain actions can drive the right people away, while others act like a magnet, pulling them in...
Are you feeling unlucky in love?
The truth is that luck in love is no mere roll of the dice; it’s about making intentional choices that can shape your romantic destiny.
While many different...
Habari, Naomba ushauri wenu moyo unauma sana. Nipo kwenye mahusiano ya mbali (LDR) kwa miezi minane sasa. Nampenda sana huyu mwanaume, kiasi kwamba muda mwingi nautumia kusali, kufunga na...
1: Je, kuna mtu aliyewahi kukupenda kwa dhati… lakini ulimpoteza kwa sababu zako?
2. Je, unaishi maisha unayotaka… au maisha unayolazimika kuishi?
3. Kama ungepewa nafasi ya kuanza maisha upya...
Salaam wanabodi.
Tukielekea kuupokea Mwezi wa mapenzi, mwezi ambao mahusiano mengi huvunjika, mengine huanza, mengine hutetereka kutokana na Visa vya hapa na pale.
Sasa nimekutana na concept...
Maisha ni safari ndefu, ukifanikiwa kufika 60,70,80…ukiwa na afya njema ni jambo la kumshukuru Mungu. Changamoto kubwa hapa kama uko na mwenza wako na mipango yenu ya pesa iko sawa uzee...
hakuna uhuru.
kushikiwa mtoto asie wako.
kuletewa magonjwa ya zinaa..
kuchapiwa/kugongewa pindi unapoyumba kiuchumu.
Ugomvi kila siku hakuna maelewano ndani ya nyumba.
Dharau kibao.
Unatumia njia gani kuachana na mpenzi wako au rafiki yako kama imefikia hatua unaona hamuendani au unaona kabisa huyo mtu huwezi kutoboa naye mbele ya safari?
Nina mengi ya kueleza kuhusu huu ushuhuda , kuna muda unafika hadi najiuliza huyu mwanamke kaniingizaje kwenye hii tabia.
Sometimes tunaweza kukaa pamoja anaanza umbea najikuta nimekolea naanza...
Mwanaume ni kiumbe ambaye ni raising kumteka kimapenzi. Na ndio maana matukio ya Wanaume kupotea na kukutwa kafungiwa ndani kwa mwanamke fulani ni mengi, ilibidi hata Mbosso aandike nyimbo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.