Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ukweli ni mchungu lakini acha niuseme mwenye HEKIMA atajifunza jambo. Mwanaume aliye na malengo lazima ajue kabla yakukosea njia sahihi ya kuoa. Huna haja ya kulala na mchawi ili umsaidie...
0 Reactions
3 Replies
477 Views
Faida nilizopata ni nyingi Sana Mimi sio yule wa mwaka 2025 -july najishukuru, Hamu ya sex sometimes ilikua kali sana ila nilifanya mazoezi makali Gym na kufikiria mambo magumu yasiyo na majibu...
30 Reactions
429 Replies
5K Views
Baada ya ujana kuuputia vya kutosha sasa naamua kuacha mambo haya hasa ya wanawake ,ninamrudia Mungu na ninataka kuwa mtu wa heshima sasa maana nimefanya mengi mno, Nakumbuka nimeshatembea na wake...
13 Reactions
51 Replies
9K Views
Ujana una mambo mengi Nina story nyingi hasa ujana ukiwa unachemka Ujana huu umenipa story za kusimuulia maishani, Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010, nilikuwa nakaa kigamboni Dar as salaam sehem moja...
35 Reactions
254 Replies
94K Views
Cheating ni kosa kubwa, lakini si sababu pekee inayovunja mahusiano. Mara nyingi mahusiano hufa polepole kutokana na tabia zinazojirudia kila siku bila watu kuzitambua. Upendo hauondoki kwa siku...
4 Reactions
20 Replies
390 Views
Mapenzi kwangu hayana maana na sitaki kuumizwa bora tu nipende hela natunza uvulana wangu
3 Reactions
9 Replies
106 Views
Na sio kuvunja ndoa tu, hata njia za kimafia Kuna baadhi ya jamii ambazo tangu mtoto akiwa mdogo anakulia mfumo wa kuamini kwamba thamani ya mtu inapimwa zaidi kwa kiwango cha fedha na mali...
4 Reactions
23 Replies
369 Views
Hii ni kwasababu ukioa mwanamke mwenye watoto kuanzia 2 basi unajua kabisa toka mwanzo kwamba umeoa mke wa mtu hivyo unaishi kitaalamu. Na kama mmewe amefariki basi unakuwa una uhakika zaidi...
6 Reactions
14 Replies
215 Views
Nipo njia panda, ndiyo sababu shemeji yenu. Toka wiki jana alinipa taarifa ya ombi kwamba wikiendi hii ya mwezi Julai amealikwa house party na shoga yake. Kidizaini nilimkaushia, ila naona...
10 Reactions
48 Replies
867 Views
Mwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema? Vipi kuhusu yafuatayo 1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela...
2 Reactions
67 Replies
12K Views
<Wakuu bila shaka wazima wa afya. Kwanza nimshukuru Mungu kutulinda mpaka siku ya leo tunapumua. Pili ninshukuru huyu jf founder [ Maxence Mole] Ahaaaaaa,asante kwa kuanzisha jf maana kupitia...
15 Reactions
395 Replies
32K Views
Wakuu, inasemekana kuwa mwanaume mwenye makebo makubwa Kunauwezekano mkubwa kuwa amasharuhusu wahuni kuzama gentani mwake. Watu wengine wanadai kuwa huenda mwanaume kuwa na makebo makubwa...
7 Reactions
53 Replies
1K Views
Kwa ambao hamjawahi kupata bahati ya kumtoa mwanamke usichana wake nakupa hii fact ile damu ikidondokea kwenye shuka hata ufue vipi na jik lile alama halitoki ila sababu sijui mpaka leo atleast...
5 Reactions
22 Replies
391 Views
Guys, yaan hapa nimeshiba kitumbo kipo ndi ndi ndi, pilau la harusi ya single maza lilikua tamu hatariii, pilau la mbuzi likatiwa zabibu kavu na tui la nazi kwa mbali oyaaaaaaaa🙌🏻 rosti la mbuzi...
31 Reactions
191 Replies
2K Views
Huu ni uzi maalumu kwa wasukuma wote hapa tanzania,kupeana taarifa,maarifa, elimu na ujuzi mbalimbali kuhusu kabila hili kubwa nchini,uzi huu hauna lengo la kupromote ukabila bali kuleta jamii...
19 Reactions
502 Replies
5K Views
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha.. Leo asubuhi...
17 Reactions
57 Replies
1K Views
Hello ladies!! Niseme ukweli, mimi sio mtu wakutilia sana maanani sikukuu(s) zaidi ya birthdays. Kwahiyo sikumbuki kusherehekea Valentine na mtoto wa mtu, ila zawadi ambayo nimewahi kumpa mkaka...
34 Reactions
152 Replies
7K Views
Wapendwa wana JF ,,, habari ya uzima wenu habari za weekend,,, Mungu ni mwema sana namtukuza kwa wema wake. Nina mawazo mawili ambayo yananitatiza maana kuna jambo la kwanza "KUOA" au kununua...
8 Reactions
41 Replies
603 Views
Hivi hili ni la kweli kwamba ukishaoa ama kuolewa hupaswi kulala na nguo au ni utaratibu mtakao amua kuuweka Kati mtu na mwenza wake Maana kiukwel sijajiandaa kisaikolojia kulala bila nguo hata za...
6 Reactions
42 Replies
501 Views
Wakuu habari zenu? Nashindwa kufurahia mapenzi siku hizi , sijui niseme sina bahati. Nimetongoza mademu zaidi ya watatu, lakini wote wakati WA mechi hutoa harufu mbaya Kwa sasa nimeamua kuwa...
7 Reactions
65 Replies
702 Views
Back
Top Bottom