Ukweli ni mchungu lakini acha niuseme mwenye HEKIMA atajifunza jambo.
Mwanaume aliye na malengo lazima ajue kabla yakukosea njia sahihi ya kuoa.
Huna haja ya kulala na mchawi ili umsaidie...
Faida nilizopata ni nyingi Sana
Mimi sio yule wa mwaka 2025 -july najishukuru,
Hamu ya sex sometimes ilikua kali sana ila nilifanya mazoezi makali Gym na kufikiria mambo magumu yasiyo na majibu...
Baada ya ujana kuuputia vya kutosha sasa naamua kuacha mambo haya hasa ya wanawake ,ninamrudia Mungu na ninataka kuwa mtu wa heshima sasa maana nimefanya mengi mno,
Nakumbuka nimeshatembea na wake...
Ujana una mambo mengi Nina story nyingi hasa ujana ukiwa unachemka
Ujana huu umenipa story za kusimuulia maishani, Nakumbuka ilikuwa mwaka 2010, nilikuwa nakaa kigamboni Dar as salaam sehem moja...
Cheating ni kosa kubwa, lakini si sababu pekee inayovunja mahusiano. Mara nyingi mahusiano hufa polepole kutokana na tabia zinazojirudia kila siku bila watu kuzitambua. Upendo hauondoki kwa siku...
Na sio kuvunja ndoa tu, hata njia za kimafia
Kuna baadhi ya jamii ambazo tangu mtoto akiwa mdogo anakulia mfumo wa kuamini kwamba thamani ya mtu inapimwa zaidi kwa kiwango cha fedha na mali...
Hii ni kwasababu ukioa mwanamke mwenye watoto kuanzia 2 basi unajua kabisa toka mwanzo kwamba umeoa mke wa mtu hivyo unaishi kitaalamu.
Na kama mmewe amefariki basi unakuwa una uhakika zaidi...
Nipo njia panda, ndiyo sababu shemeji yenu. Toka wiki jana alinipa taarifa ya ombi kwamba wikiendi hii ya mwezi Julai amealikwa house party na shoga yake.
Kidizaini nilimkaushia, ila naona...
Mwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema?
Vipi kuhusu yafuatayo
1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela...
<Wakuu bila shaka wazima wa afya.
Kwanza nimshukuru Mungu kutulinda mpaka siku ya leo tunapumua.
Pili ninshukuru huyu jf founder [ Maxence Mole] Ahaaaaaa,asante kwa kuanzisha jf maana kupitia...
Wakuu, inasemekana kuwa mwanaume mwenye makebo makubwa Kunauwezekano mkubwa kuwa amasharuhusu wahuni kuzama gentani mwake.
Watu wengine wanadai kuwa huenda mwanaume kuwa na makebo makubwa...
Kwa ambao hamjawahi kupata bahati ya kumtoa mwanamke usichana wake nakupa hii fact ile damu ikidondokea kwenye shuka hata ufue vipi na jik lile alama halitoki ila sababu sijui mpaka leo atleast...
Guys, yaan hapa nimeshiba kitumbo kipo ndi ndi ndi, pilau la harusi ya single maza lilikua tamu hatariii, pilau la mbuzi likatiwa zabibu kavu na tui la nazi kwa mbali oyaaaaaaaa🙌🏻 rosti la mbuzi...
Huu ni uzi maalumu kwa wasukuma wote hapa tanzania,kupeana taarifa,maarifa, elimu na ujuzi mbalimbali kuhusu kabila hili kubwa nchini,uzi huu hauna lengo la kupromote ukabila bali kuleta jamii...
Kwa Siku tatu mfululuzo nimekua katika taharuki kubwa , kutokana na kitendo cha mke wangu kumuwekea bosi wake wasapu sitatasi na kapusheni nyingi za kunizodoa na kunidhalilisha..
Leo asubuhi...
Hello ladies!!
Niseme ukweli, mimi sio mtu wakutilia sana maanani sikukuu(s) zaidi ya birthdays. Kwahiyo sikumbuki kusherehekea Valentine na mtoto wa mtu, ila zawadi ambayo nimewahi kumpa mkaka...
Wapendwa wana JF ,,, habari ya uzima wenu habari za weekend,,, Mungu ni mwema sana namtukuza kwa wema wake.
Nina mawazo mawili ambayo yananitatiza maana kuna jambo la kwanza "KUOA" au kununua...
Hivi hili ni la kweli kwamba ukishaoa ama kuolewa hupaswi kulala na nguo au ni utaratibu mtakao amua kuuweka Kati mtu na mwenza wake
Maana kiukwel sijajiandaa kisaikolojia kulala bila nguo hata za...
Wakuu habari zenu?
Nashindwa kufurahia mapenzi siku hizi , sijui niseme sina bahati. Nimetongoza mademu zaidi ya watatu, lakini wote wakati WA mechi hutoa harufu mbaya
Kwa sasa nimeamua kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.