Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Mimi ni mwanamke lakini nina mchumba anaitwa X tulikua tunafanya kazi mkoa wa Ruvuma Songea kwa sasa yeye anahamia mkoa wa Njombe kikazi pia na itakua permanent place yake Hofu yangu ni mahusiano...
9 Reactions
48 Replies
523 Views
Ipo changamoto ya uke wa mwananmke kua legevu sana, uliopoa na usio na ladha kabisa, lakini pia uume wa mwanaume kua legevu na usioweza kufanya chochote. Wanaume wengi wenye changamoto hii huishia...
5 Reactions
52 Replies
535 Views
Wakuu kwanza kabisa napenda niutangazie umma kuwa bila kulazimishwa wala kushawishiwa nimeamua kwa dhati kutowatetea single mothers kwenye lolote. Acha wapambane na hali zao. Hawa viumbe wana...
15 Reactions
126 Replies
2K Views
Dhambi ni kutolijua Neno la Mungu. Ukilijua Neno la Mungu, ukalielewa, ukalishika, litakuweka huru kweli kweli. Utakuwa huru na dhambi zote za duniani. Hutozini. Hutolewi. Hutofanya umalaya...
4 Reactions
6 Replies
171 Views
Kumekuwa na janga kubwa ambalo linahitaji uwajibikaji wa wanaume kuwashughulikia akina mama na akina dada ambao 100% wote wanasumbuliwa na Upwiru... Mfano mdogo, angalia jinsi wanawake walivyo...
10 Reactions
26 Replies
779 Views
Je unamchukulia ana mapenzi ya zati? Unamchukulia hana njaa za kijinga Au unamchukulia cheap sema kweli.
2 Reactions
11 Replies
235 Views
Nina umri wa miaka 25 lakini nina mvi karibu kichwa kizima, hali hii imenifanya nisijisikie huru kwa watu,wananiita mzee,kama kuna mtaalamu wa hali jambo hili naomba anielekeze jinsi ya kufanya...
12 Reactions
84 Replies
1K Views
kuna ile mwanzo wa mapenzi atukatai mwanamke kachukua vichenji vyako kadhaa Asa je umeshawahi kupindua meza unamnyandua mwanamke mpaka anaanza kukuhonga wewe hela?
1 Reactions
12 Replies
348 Views
" HII YA MWISHO SIFANYI TENA " Maneno Haya si Mageni kwa Wenyeji Labda kwa Wageni wa Huu Uraibu Ni heri uwe mlevi au Mvuta Bangi au Mtumiaji wa Pombe unaweza kuacha tena kwa nguvu za watu Baki...
4 Reactions
27 Replies
486 Views
Wadau, Katika pitapita zangu nimejaribu kutafiti hili suala kwa nini mara chache sana tunaona ndoa kati ya wabongo na wahindi? Je, shida ipo wapi?
12 Reactions
98 Replies
2K Views
Wakuu,kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo juu,nataka niwe nauza madaftari,rula, pens,kalamu vibiskuit,jojo,soda nk, wakati wa likizo nalifunga duka then wakifungulia naanza tena. Naomba mwongozo...
3 Reactions
40 Replies
326 Views
First Wife Locks Out Second Wife Over Secret Marriage A first wife has allegedly refused to let her husband's second wife into their home. She explained that she supported her husband through...
1 Reactions
0 Replies
84 Views
Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi. Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa...
7 Reactions
20 Replies
704 Views
Tuambizane ni kero gani unakutana nayo wakati wa kufanya mapenzi? Mi kero nayokutana nayo ni kukuta mwanamke haoneshi ushirikiano hata ukitaka kumgeuza dog hataki kero ya pili mwanamke ambaye uke...
0 Reactions
5 Replies
227 Views
Nimeolewa, na ndoa yangu ina miaka 7 sasa hivi. Nina watoto watatu, lakini mtoto wangu wa kwanza sikumzaa na mume wangu wa sasa. Kuna mwanaume niliwahi kuzaa naye kabla ya kuachana, na baadaye...
7 Reactions
39 Replies
5K Views
HIVI NDIVYO TUNAVYOHESABU RAUNDI KWENYE MAZOEZI YA KEGEL 📌 Kila Zoezi Unahesabu Kuanzia 10 Hadi 30 Kulingana na Pumzi Yako 📌 Kila Zoezi Unarudia Mara 3 au 4 Hadi 5 Kulingana na Pumzi yako Pia...
3 Reactions
29 Replies
308 Views
Hali hii inanitesa sana bhandugu,kila nipitako si wabibi kinamama wenye ndoa zao,mabinti,mishangazi, wananitaka,najitahidi kuwakwepa ila wapo na mimi tu,sijui nifanye nini wakuu,hali ni mbaya...
4 Reactions
12 Replies
247 Views
Harusi ni sherehe inayofanyika baada ya agano la ndoa. Unapowaza kufanya harusi usifikirie kuhusu pesa zilizopo kwenye mifuko ya watu. Angalia mfuko wako mwenyewe kama unaweza kumudu gharama za...
17 Reactions
33 Replies
500 Views
Ukiwa kama mwanamke jitahidi uwe na mafuta ya miski halisi itakusaidia kufanya uke ubane, inarudisha joto asilia na inaondoa harufu mbaya ya uke. Uke unakuwa mdogo mnato kama wa mtoto.
0 Reactions
2 Replies
126 Views
Naam ni enzi za ujana katika harakati za kutafuta maisha nilikuwa katika kipindi cha hali ngumu na kujitafutia kazi halali za kujiingizia kipato hasa kujichanganya katika vibarua vya ujenzi mambo...
4 Reactions
16 Replies
445 Views
Back
Top Bottom