Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Vaa KONDOMU jikinge na maambukizi yasiyo na sababu. Kumekua na kawaida wanawake hawataki uvae condom wanataka upige kavu. Nakukumbusha vaa Condom.
12 Reactions
51 Replies
678 Views
Habari Kama kichwa cha habari kinavyosomeka... Nimeamka hapa asubuhi nimekutana na huo ujumbe kutoka kwa manzi flani huwa najipigia tu. Sasa hapo natakiwa kumjibu nini wakuu?
5 Reactions
44 Replies
623 Views
Ukiona mtu amebeba mimba unaweza Tu kuhisi imepatikana kirahisi rahisi,. Kuna ambao wanapata kirahisi Tu chap tena wengine bila hata kutarajia imo,. Ila kuna ambao kutafuta Mtoto IPO ndani ya...
29 Reactions
277 Replies
4K Views
Mimi ni msichana nina miaka 26 nina mtoto mmoja ambae nimezaa na huyu mwanaume kiukweli nina changamoto ambayo nahisi kukataa tamaa iko hivyo mwaka 2019 nilikuta na huyu mwanaume nilimkuta...
22 Reactions
506 Replies
5K Views
Habari viongozi, na ninaimani muwazima kabisa, kwa jamii ya sasa wanawake wanaonekana kuwa wengi sana ila likija swala la kuchagua mke, basi kichwa hua kinauma sana, maana tunashindwaga kujua yupi...
11 Reactions
116 Replies
1K Views
ukiwa nayo maisha yako yamejaa furaha kabisa.achaneni na mapenzi tafuten hela. mapenzi ni uzushi wa kipumbavu hauna faida yeyote.mapenzi hayana dhamana ni...
3 Reactions
13 Replies
131 Views
Unaweza kushinda ndani kama jini nani sijui!, Halafu ukitoka nje dakika mbili tu unatamani tena kurudi ndani.. mbaya mbovu introvert tunaujinga huu. Naweza nikawa nataka kutoka na wewe umekaa...
63 Reactions
243 Replies
13K Views
Mimi kusema kweli sina roho ya kitajiri. Halafu sikopeshi kabisa ni mambo taslimu. Huyu binti alikuja toka mkoani kusoma chuo. Tukapendana. Basi nikawa sababu mimi mzazi alikuwa anauwezo nikawa...
48 Reactions
96 Replies
3K Views
Kuna mgahawa classic huwa naenda kupata msosi. Mimi ni mtu low key sana, napenda hata nikifika sehemu attention isiwe kwangu. Huwa nafika pale wadada wasaidizi wananihudumia vizuri tu, na huduma...
12 Reactions
117 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa Mbezi Garden Hotel Bi Haika Lawere jana kwenye Kitchen Party Gala amewafundisha Wanawake kuficha mali zao Wanaume wao wasizijue kwa sababu wanaume ni matapeli hivyo wakizijua...
24 Reactions
296 Replies
5K Views
Karibuni wakuu Je ni kweli wadada hupendelea maumbile makubwa ya uume zaidi na huridhika zaidi kimahaba kwa umbile lililo kubwa au refu?
1 Reactions
25 Replies
660 Views
Nina miaka 30 sijawai kuwa na mpenzi toka kuzaliwa ila naskia tu kunakuwaga na mapenzi. Ila siyajui yapoje maana sielewi ......?
6 Reactions
25 Replies
190 Views
Miaka 30 niliyonayo nao sijawai tongoza wala kuwa na demu.nafurahia hivi maana hata nikifa najua sitaacha kizazi kiteseke nyuma. Uvulana wangu niwa...
2 Reactions
6 Replies
108 Views
"Ulikwenda hospitali mke wangu?" Masofa alimuuliza mke wake Sulee. "Nilikwenda, lakini daktari kasema mimba nitapata tu ndani ya mwezi mmoja." "Ndani ya mwezi mmoja utapata mimba? Inawezekana...
9 Reactions
130 Replies
82K Views
Nakula vyangu tu hapa
4 Reactions
68 Replies
760 Views
Kuna wanawake wanajifanyaga wajanja kwamba wanadamganya wanaume kupata pesa kwamba anaumwa au kuna shida we mpe tu pesa anajiweka mwenyewe kwenye kona Yaan huyo utamla sana kuliko ambaye...
3 Reactions
18 Replies
275 Views
Waambieni madogo ambao tasnia ya mapenzi imewavuruga kwamba , Mapenzi yawavuruge sana lakini katikati ya miguu anayolala rafiki au ndugu yake wenyewe wasilale hapo hata shemu akijaa kwenye...
4 Reactions
9 Replies
154 Views
Tangu wanaume wawaimbie sifa za kuwa na makalio makubwa wanawake ndio wenye soko mjini na vijijini mabinti wamelewa sifa hizo na akili wameweka kando wamebakiza makalio, yawezekana ndio ujana wa...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Babu mkubwa bachela,wajomba watatu marehemu walikufa mabachela,mashangazi wawili marehemu walikufa bila watoto. na hapa mimi hapa bachela tayari na mimi...
1 Reactions
4 Replies
132 Views
Sababu ni hizi hapa 👇👇👇 1. Hawa mademu tunao waita wapenzi wetu huku mitaani ndio hao hao wanao enda kujiuza viwanja au wengine hujiuza kupitia mitandao mbalimbali. So ile kusema kwamba siwezi...
24 Reactions
107 Replies
1K Views
Back
Top Bottom