Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
KITUNGUU SAUMU kinamsaidia vipi muathirika wa nyeto 👇🏼 Kitunguu saumu kina allicin, kiambata kinachosaidia mzunguko mzuri wa damu kwenye viungo vya uzazi. Kuwa na mzunguko mzuri wa damu kwenye...
5 Reactions
15 Replies
869 Views
Hili halihusiani na wanawake kurudi kujifungulia kwao, ni wanawake wanaotaka kurudi kwao moja kwa moja. Ndugu wana nafasi yao kubwa sana lakini ndoa ni muungano wa mume na mke kuunda maisha yao...
9 Reactions
29 Replies
542 Views
Unapita zako njiani unaambiwa karibu, kuangalia labda kuna huduma inatolewa hakuna, unauliza vipi? Anajibu safi ni elfu 5000 na chumba analipia yeye. Mmh! Nabaki najiuliza nimekwambia nahtaji...
4 Reactions
26 Replies
519 Views
Yule bar maid ameniachia gundu kusema ukweli aisee kwanza alikuwa na shape amejazia kwenye hips aisee si mnene ni model fulani hivi ila alikuwa amejazia kwenye hips aisee yule bar maid tulienjoy...
4 Reactions
9 Replies
377 Views
List ni ndefu ila nitataja vichache vingine wataongezea wengine hapo chini. 1. Mshahara Wako. Mkeo hapaswi kujua wewe unapokea Mshahara kiasi gani. Fanya unavyofanya usije ukathubutu ukamwambia...
12 Reactions
189 Replies
2K Views
Unaweza kuoa mama mwenye mtoto wa mwaka mmoja, halafu miaka 20 baadaye mtoto anakuambia: "Wewe si baba yangu" 🙄😏😏. Mnaotaka kuoa singo maza kaujumbe hakoo Japo siyo wote ....
6 Reactions
40 Replies
716 Views
Ogopa kuanzisha mahusiano na mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea afu ukute ana mtoto achana naye mara moja wengi wapo kimkakati. Awanaga mapenzi hao umri wao wa kupenda ushapita wanataka tu...
21 Reactions
166 Replies
2K Views
Kwa majina naitwa Emma (Sio jina langu halisi), nina miaka 30 sasa nina mke na mtoto mmoja - Maria (sio jina halisi pia). Nampenda sana binti yangu, yeye pamoja na mke wangu ndio sababu ya mimi...
10 Reactions
40 Replies
3K Views
Unakuta kabisa mwanamke amegangamala na li jamaa halieleweki livuta sigara,lilevi,mijasho kila wakati na ubeberu wa haja. Mwanamke anajiremba vizuri ila usiku linampanda lijamaa la dizaini...
5 Reactions
37 Replies
583 Views
1: He/She was not satisfying you sexually. 2: Trying a new experience. 3: You just enjoy sex with different partners. 4: You have high sex libido/sex drive. 5: Instability in your official...
7 Reactions
84 Replies
3K Views
Wakuu salaam kwenu, Nipo nawaza na kuwazua juu ya huyu mke wangu. Miezi michache nyuma tulipishana kidogo, sasa tangu wakati huo hadi sasa kila akija hapa home hataki kulala na mimi chumba...
9 Reactions
163 Replies
10K Views
Mimi ni mwanamke lakini nina mchumba anaitwa X tulikua tunafanya kazi mkoa wa Ruvuma Songea kwa sasa yeye anahamia mkoa wa Njombe kikazi pia na itakua permanent place yake Hofu yangu ni mahusiano...
9 Reactions
48 Replies
522 Views
Ipo changamoto ya uke wa mwananmke kua legevu sana, uliopoa na usio na ladha kabisa, lakini pia uume wa mwanaume kua legevu na usioweza kufanya chochote. Wanaume wengi wenye changamoto hii huishia...
5 Reactions
52 Replies
534 Views
Wakuu kwanza kabisa napenda niutangazie umma kuwa bila kulazimishwa wala kushawishiwa nimeamua kwa dhati kutowatetea single mothers kwenye lolote. Acha wapambane na hali zao. Hawa viumbe wana...
15 Reactions
126 Replies
2K Views
Dhambi ni kutolijua Neno la Mungu. Ukilijua Neno la Mungu, ukalielewa, ukalishika, litakuweka huru kweli kweli. Utakuwa huru na dhambi zote za duniani. Hutozini. Hutolewi. Hutofanya umalaya...
4 Reactions
6 Replies
171 Views
Kumekuwa na janga kubwa ambalo linahitaji uwajibikaji wa wanaume kuwashughulikia akina mama na akina dada ambao 100% wote wanasumbuliwa na Upwiru... Mfano mdogo, angalia jinsi wanawake walivyo...
10 Reactions
26 Replies
779 Views
Je unamchukulia ana mapenzi ya zati? Unamchukulia hana njaa za kijinga Au unamchukulia cheap sema kweli.
2 Reactions
11 Replies
235 Views
Nina umri wa miaka 25 lakini nina mvi karibu kichwa kizima, hali hii imenifanya nisijisikie huru kwa watu,wananiita mzee,kama kuna mtaalamu wa hali jambo hili naomba anielekeze jinsi ya kufanya...
12 Reactions
84 Replies
1K Views
kuna ile mwanzo wa mapenzi atukatai mwanamke kachukua vichenji vyako kadhaa Asa je umeshawahi kupindua meza unamnyandua mwanamke mpaka anaanza kukuhonga wewe hela?
1 Reactions
12 Replies
345 Views
" HII YA MWISHO SIFANYI TENA " Maneno Haya si Mageni kwa Wenyeji Labda kwa Wageni wa Huu Uraibu Ni heri uwe mlevi au Mvuta Bangi au Mtumiaji wa Pombe unaweza kuacha tena kwa nguvu za watu Baki...
4 Reactions
27 Replies
486 Views
Back
Top Bottom