Msaada: Mke mwema

Msaada: Mke mwema

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
358
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28, nimwajiliwa elimu yangu ya degree moja na CPA(T). Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye elimu ya form four or form six na diploma tu mwenye degree siwahitaji na awe mwalimu, nesi, au afisa ustawi wa jamii miaka kuanzia 20 -27 .
Nicheki kwa johnjerryson2012@gmail.com

NB: Nataka mwanamke aliye serious tuu
 
Kwanini hutaki mwenye shahada?
 
wasumbufu sana na wanajifanya wajuwaji sana na hawajui kumtii mume

Umejuaje kama hawajui kumtii mume?ulishawahi kuoa wa ivo na ukamuacha?unaamini vipi kama form four na diploma uwa wanatii mume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom