Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 28, nimwajiliwa elimu yangu ya degree moja na CPA(T). Nahitaji mwanamke wa kuoa mwenye elimu ya form four or form six na diploma tu mwenye degree siwahitaji na awe mwalimu, nesi, au afisa ustawi wa jamii miaka kuanzia 20 -27 .
Nicheki kwa johnjerryson2012@gmail.com
NB: Nataka mwanamke aliye serious tuu
Nicheki kwa johnjerryson2012@gmail.com
NB: Nataka mwanamke aliye serious tuu