Wivu, hasira, zinanisumbua

Wivu, hasira, zinanisumbua

Eduin

Senior Member
Joined
May 15, 2014
Posts
189
Reaction score
136
Habari zenu wanafamilia,

Mimi nina umri 26 nasumbuliwa sana na wivu asira katika mausiano kwa girrlfriand wangu, mpaka sasa nimepitia wasichana wanane bila kudumu nao kabisa ata mwezi, sababu ni wivu asira japo na mengine ujaziliza apo.

Sasa sina msichana kwa miezi kama nane hadi kumi hivi, wala sitaki tena uchumba, naogopa wivu asira, nia yangu nijiandae kuoa nikiwa sina wivu asira.

Je, nijipange aje nisiwe wa kuacha au kuachwa kisa wivu asraa?Maana naumia sana na nimechoka kua hivi, nisije kuumiza mke wangu au watoto wangu baadae.

Msaada please,

Usinitukane wala usinipe mzaa no ni 713 123 160. au kama una
article, unitumie kwa mail angu hii: edu.pioneer76@yahoo/gmail.com

αsαητεεεεηι
 
Namba ya simu uliyoweka ni ya makampuni ya ulinzi,zilitolewa katika siries za staff wa kampuni ya 0713
zote zilianza na 123.. baada ya code
sasa kwa hasira hizo na kampuni zenu si utakuja kuua kwa kirungu?
 
Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Hayo ni maneno kwenye kitabu kitakatifu.
Je tangia umeanza kuwa na hasira imekusaidia kutatua matatizo au kuongeza? Hapo unajitaftia matatizo yasiyo na lazma. Jifunze kukubaliana na hali zilivo na kutokupaniki
 
Namba ya simu uliyoweka ni ya makampuni ya ulinzi,zilitolewa katika siries za staff wa kampuni ya 0713
zote zilianza na 123.. baada ya code
sasa kwa hasira hizo na kampuni zenu si utakuja kuua kwa kirungu?

mim sio mlinzi.. samaaaani
 
Hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu. Hayo ni maneno kwenye kitabu kitakatifu.
Je tangia umeanza kuwa na hasira imekusaidia kutatua matatizo au kuongeza? Hapo unajitaftia matatizo yasiyo na lazma. Jifunze kukubaliana na hali zilivo na kutokupaniki

mmmmmh aya taajitaidi
 
Ridhika tu na mwamini mpenz wako hata kama ukiona anakufanyia siyo wewe jifanye huoni utaniambia mapenz yatakavyoamia kwako yakiwa ya kweli........
 
Mpe Mungu nafasi aufinyange moyo wako upya kwa njia ya roho mtakatifu nawe utakuwa kijana mzuri tena mpya mwenye uchaji wa Mungu.
 
​Mambo mengine yanaendana na umri....tulia kwanza umri usogee sogee....
 
ngoja mi nijaribu kama ntaweza

asira-hasira
adi-hadi
mke angu-mke wangu
watotoo angu-watoto wangu

yani wewe, huna huruma kweli..si unajua ana hasira, unaweza kuta amefura huko aliko na mtu ameshapata kibano, cause hiyo hasira yake najua sio kwa gf peke yake
 
Ukiona wivu na hasira vinakusumbua kula ndimu na malimao kwa wingi vitakusaidia,ukiona wivu tu-kimbilia limao,hasira ikija tafuta ndimu in short period tatizo lako litakuwa Ova!!
 
yani wewe, huna huruma kweli..si unajua ana hasira, unaweza kuta amefura huko aliko na mtu ameshapata kibano, cause hiyo hasira yake najua sio kwa gf peke yake

mmmh mmeanza kunibadirisha
 
Back
Top Bottom