Ndani ya muda huu rafiki yangu ameniletea taarifa kwamba mke wangu mama Neema ananisaliti ndani ya gesti moja mjini mwanza.
Rafiki yangu ameniambia kamuana akiingia gesti na jamaa mmoja ambaye ni...
Life ilikuwa inaboa sana, and meaningless.
Jumapili na ijumaa walikuwa wanaenda kukutana na kuabudu wapi?
Weekends walikuwa wanaenda kuona band ya mziki wa wasanii gani? Walienda window...
Miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu, nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhisha nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia.
Wadau nisaidieni.
Inakuaje au unafanyaje ili uweze kujitambua!
Kwa maana nyingine, mtu anaejitambua yukoje? maana kuna watu wengine wana maringo kinoma, je ni mojawapo ya sehemu/dalili za...
Habarini wana JF,
Kuna binti nliwahi kuwa nae katika mahusiano kwa takribani mwezi mmoja, ilikuwa ni mwezi wa 3 mwaka huu. hata hivyo niliondoka eneo hilo na kwenda kimasomo na wakati nipo...
Jumamosi hii nimehudhuria ibada ya ndoa iliyokuwa inafungwa katika kanisa moja hapa Jijini Dar-Es-Salaamu.
Ibada ilienda na ukafika wakati bwana arusi akaambiwa na kasisi kufunua kipande cha...
Hi guys, utajiskiaje umemwacha jamaa mwenye vision but hana mkwanja mambo bado hayajawa sawa halafu unamkubali jamaa ambae yupo fresh yaan ile full tv...
Kila ninapopita nakuta watu wako bize na usafi kuitikia wito wa JPM.
Lakini je usafi wa miili yenu je? soxi,boxer kukata kucha kwa sie wanaume ni adhabu, wakina dada ndo balaa zaidi.
Kuna...
Dear Mwanatumu, some people told me that am insane but they don't know am madly in love. With you they keep on talking about us because they ain't us we will always love each other.
No matter...
Mambo ya pwani guu la kushoto lavishwa cheni, dume zima shanga kiunoni
urembo gani? we rijali Vyanini vidani
bora cheni matobo mpaka puani, au we mambo swafi hatuelezani
vijana mnapenda sukari...
Hatimaye binti yangu mrembo na ambaye najua iwe isiwe lazima aje kuwa miss Tanzania, kisha miss Universe na baadae miss World aitwae baby Charlotte asubuhi hii hii ametoka kuvunja ungo...
hi everybody....
Kiukweli maisha yana formula, na kuna vitu ambavyo lazima ufanye ili utoke.
baadhi ni;
1. Kumuomba MUNGU
2. Kufanya kazi kwa bidii
3. Kuwa na roho ngumu
4. Kuwa mvumilivu...
Nimeipokea toka rafiki yangu akitaka ushauri,
Nimekuwa katika maisha ya ndoa na mke wangu sasa ni miaka saba tumejaaliwa kupata watoto wawili mapacha wote ni wa kike wana umri wa miaka sita mimi...
Nyumbani naishi na mdogo wangu wa kiume ambae ana miaka 15 jana usiku alinichanganya kiasi cha Kuwa na wasiwasi na future yake.
Nimerudi kiasi cha saa tano usiku nikakuta wamelala tayari baada...
Habari wana jamvi, nilikuwa kifungoni nimerudi upya
Juzi kati nilimpeleka jamaa yangu mmoja nyumbani kwao kabisa alikwenda kuchukua fomu za Ubunge sasa jirani na kwao kuna mganga wa kienyeji...
Habarin wanajf,iko hivi niko na mpenz wangu tuko nae kwa muda wa miez nane sasa,asa juzi kati niliweka picha ya mdogo wake wa kiume profile picture wasap na status niliweka love sign tangu hapo...
Habari zenu wanajamii forum,
Leo ngoja niongee na kina dada na tabia zao za ubahili.
Yaani utakuta hata mpenzi wako anakuwa mgumu kukusaidia inapotoke shida fulani lakini wao ni wepesi sana...
WHAT A HUSBAND NEEDS FROM A WIFE IS NEVER SEX.
By: B.I.C. Abeiku Okai.
Sex is an important element in marriage and until there is sexual intercourse between a husband and a wife, the marriage is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.