funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,558
- 21,034
Habari wana jamvi, nilikuwa kifungoni nimerudi upya
Juzi kati nilimpeleka jamaa yangu mmoja nyumbani kwao kabisa alikwenda kuchukua fomu za Ubunge sasa jirani na kwao kuna mganga wa kienyeji maarufu kwa pale nilikuta kina dada wametoka DSM kufuata madawa, wako njema walikuja na gari nzuri tu ila walikuwa pale nasikia kuhusu mambo ya mahusiano na mabwana zao nasikia yule mganga ni kiboko kuna dawa anawapaka mbunyeni mtu aliyemdhamilia akigonga ngozi anapagawa hakohoi na hata kama ana mke hamkumbuki tena na anafanya chochote atakachohamriwa na demu
wenyeji wanasema kuna kipindi wanajaaga wanawake kibao pale kutoka kona mbalimbali za nchi
Kumbe uwa tunarogwa si bure kama wengi wanavyofikiria
Juzi kati nilimpeleka jamaa yangu mmoja nyumbani kwao kabisa alikwenda kuchukua fomu za Ubunge sasa jirani na kwao kuna mganga wa kienyeji maarufu kwa pale nilikuta kina dada wametoka DSM kufuata madawa, wako njema walikuja na gari nzuri tu ila walikuwa pale nasikia kuhusu mambo ya mahusiano na mabwana zao nasikia yule mganga ni kiboko kuna dawa anawapaka mbunyeni mtu aliyemdhamilia akigonga ngozi anapagawa hakohoi na hata kama ana mke hamkumbuki tena na anafanya chochote atakachohamriwa na demu
wenyeji wanasema kuna kipindi wanajaaga wanawake kibao pale kutoka kona mbalimbali za nchi
Kumbe uwa tunarogwa si bure kama wengi wanavyofikiria