Mke wangu kuvaa nguo zangu za ndani

chakufia nini

JF-Expert Member
Apr 14, 2015
692
453
Miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu, nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhisha nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia.
 
Mwulize huvaa size gani halafu mnunulie dozen 1 ya chupi za wanawake halafu angalia kama ataendelea kuvaa boxer zako. Kama ataendelea basi kuna tatizo la perversion au anafuata masharti ya mganga wa kienyeji. KaambiwA akivaa mikoba yako utabaki nyumbani😂😂😂
 
Nunua nyingi tu mkuu akivaa hii unachukua ile. Hawezi kukuambukizia ugonjwa kwani mpo pamoja kila siku. Tena inapendeza saana tu mbona jema sana hilo?? Anakutamani sana kila akiivaa anatamani kuwa laiti ungekuwa umo ndani yake saa zote.
Hili nalo unaomba ushauri?? Ungeomba nini ka angelisema alipita uani kwa mtu akaona boxer akaitamani aivae, miye naona saa hii tungekuja kukusalimia segerea
 
Mwulize huvaa size gani halafu mnunulie dozen 1 ya chupi za wanawake halafu angalia kama ataendelea kuvaa boxer zako. Kama ataendelea basi kuna tatizo la perversion au anafuata masharti ya mganga wa kienyeji. KaambiwA akivaa mikoba yako utabaki nyumbani

hajawahi kupungukiwa zake,yeye anapenda kuvaa zangu tu
 
Nunua nyingi tu mkuu akivaa hii unachukua ile. Hawezi kukuambukizia ugonjwa kwani mpo pamoja kila siku. Tena inapendeza saana tu mbona jema sana hilo?? Anakutamani sana kila akiivaa anatamani kuwa laiti ungekuwa umo ndani yake saa zote.
Hili nalo unaomba ushauri?? Ungeomba nini ka angelisema alipita uani kwa mtu akaona boxer akaitamani aivae, miye naona saa hii tungekuja kukusalimia segerea


hakuna ninachohofia mkuu katika suala la magonjwa,nimemzoea kwa jambo hili lakini nashangaa kama ni la kawaida
 
Ninaamini wew utakuwa mnene na minyama uzembe tele katika mwili wako! Maana kuvaliana boxer na mkeo si mchezo,,,as we know wanawake viono vyao huwa ni vikubwa na mata.ko..
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia

Mnaooa bila kujua mapenzi ni sheeeedah. Hujakomaa kimapenzi umedandia tu. Hiyo ni sehemu ya mapenzi. Umemuingia vilivyo. Unamfikisha pahala pake. Inampunguzia mihemko wakati haupo. Uone sasa wewe badala uone ni kaeaida si ajabu umeshamkoromea mai waifu wako. Mapenzi jmn mtihani wa phd ci lelemama.
 
Safi hio sema usije kuiga na wewe ukaanza kuvaa thongs zake.

Wewe muache avae tu kama anajiona yuko comfortable, sema usishawishike/hasikushawishi kuvaa zake.
 
Ninaamini wew utakuwa mnene na minyama uzembe tele katika mwili wako! Maana kuvaliana boxer na mkeo si mchezo,,,as we know wanawake viono vyao huwa ni vikubwa na mata.ko..

ni mnene kiasi kuliko mimi,that's why am concerned
 
Mnaooa bila kujua mapenzi ni sheeeedah. Hujakomaa kimapenzi umedandia tu. Hiyo ni sehemu ya mapenzi. Umemuingia vilivyo. Unamfikisha pahala pake. Inampunguzia mihemko wakati haupo. Uone sasa wewe badala uone ni kaeaida si ajabu umeshamkoromea mai waifu wako. Mapenzi jmn mtihani wa phd ci lelemama.

naona kungwi keshajitokeza hapa...n'way,nauchukua ushauri wako ila ni mpana kidogo,anakuwa anazitanua
 
Umenikumbusha kondakta mmoja alikuwa amevaa chupi ya kike kila akitoa kichwa nche kuita watu shati linapanda suruali yenyewe amepiga mlege chupi ya kike ikawa inaonekana basi watu mle ndani wakawa wanasema huyu itakuwa ndiyo anaanza ushoga, mwingine akasema huyu atakuwa pengine amefumaniwa zile harakaharaka ndiyo akavaa kyupi cha kike, ila mama mmoja akasema haya ni mapenzi unaweza ukavaa chupi ya mkeo naye akavaa ya kwako.. Hapo ndipo ulipozuka mjadala mzito wengine wakisema hayo labda mapenzi kwenye drama za kihindi naskitika nilishuka mjadala ukiwa unaendelea
 
Mkuu, hizo ni kachumbari tu za mahaba. Ukiona anavaa hizo ujue anakukubali sana, anakuona ni role model wake kwa kila jambo. Furahia na zidisha mapenzi, wa kwangu singlet zangu anapenda sana, anapenda harufu ya mwili wangu, sikuhoji sana. Na hasa nikiwa safarini, ndio kabisaaa anavaa mpaka boxer, tukiongea kwa skype which we always do, ananioneshea. Kwangu ni jambo la kujivunia...cherish that mkuu, it is rare. Wapo wengi tu wanaodharau waume zao kiasi kwamba hawezi fanya lolote linalomuunganisha na mumewe na inawatesa jamaa zetu wengi sana. We furahia hilo mkuu usidanganywe
 
Mkuu, hizo ni kachumbari tu za mahaba. Ukiona anavaa hizo ujue anakukubali sana, anakuona ni role model wake kwa kila jambo. Furahia na zidisha mapenzi, wa kwangu singlet zangu anapenda sana, anapenda harufu ya mwili wangu, sikuhoji sana. Na hasa nikiwa safarini, ndio kabisaaa anavaa mpaka boxer, tukiongea kwa skype which we always do, ananioneshea. Kwangu ni jambo la kujivunia...cherish that mkuu, it is rare. Wapo wengi tu wanaodharau waume zao kiasi kwamba hawezi fanya lolote linalomuunganisha na mumewe na inawatesa jamaa zetu wengi sana. We furahia hilo mkuu usidanganywe

nashukuru mkuu,nitaendelea kulienzi
 
Back
Top Bottom