chakufia nini
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 692
- 453
Miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu, nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhisha nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia.
Mwulize huvaa size gani halafu mnunulie dozen 1 ya chupi za wanawake halafu angalia kama ataendelea kuvaa boxer zako. Kama ataendelea basi kuna tatizo la perversion au anafuata masharti ya mganga wa kienyeji. KaambiwA akivaa mikoba yako utabaki nyumbani
Nunua nyingi tu mkuu akivaa hii unachukua ile. Hawezi kukuambukizia ugonjwa kwani mpo pamoja kila siku. Tena inapendeza saana tu mbona jema sana hilo?? Anakutamani sana kila akiivaa anatamani kuwa laiti ungekuwa umo ndani yake saa zote.
Hili nalo unaomba ushauri?? Ungeomba nini ka angelisema alipita uani kwa mtu akaona boxer akaitamani aivae, miye naona saa hii tungekuja kukusalimia segerea
Hakuna baa au ki grocery hapo karibu. Mpige chini uoe baamedi.
Simple,na wewe vaa vibikini vyake..tena nayeye aone ndo itapendeza zaidi
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia
Ninaamini wew utakuwa mnene na minyama uzembe tele katika mwili wako! Maana kuvaliana boxer na mkeo si mchezo,,,as we know wanawake viono vyao huwa ni vikubwa na mata.ko..
Safi hio sema usije kuiga na wewe ukaanza kuvaa thongs zake.
Wewe muache avae tu kama anajiona yuko comfortable, sema usishawishike/hasikushawishi kuvaa zake.
Mnaooa bila kujua mapenzi ni sheeeedah. Hujakomaa kimapenzi umedandia tu. Hiyo ni sehemu ya mapenzi. Umemuingia vilivyo. Unamfikisha pahala pake. Inampunguzia mihemko wakati haupo. Uone sasa wewe badala uone ni kaeaida si ajabu umeshamkoromea mai waifu wako. Mapenzi jmn mtihani wa phd ci lelemama.
Mkuu, hizo ni kachumbari tu za mahaba. Ukiona anavaa hizo ujue anakukubali sana, anakuona ni role model wake kwa kila jambo. Furahia na zidisha mapenzi, wa kwangu singlet zangu anapenda sana, anapenda harufu ya mwili wangu, sikuhoji sana. Na hasa nikiwa safarini, ndio kabisaaa anavaa mpaka boxer, tukiongea kwa skype which we always do, ananioneshea. Kwangu ni jambo la kujivunia...cherish that mkuu, it is rare. Wapo wengi tu wanaodharau waume zao kiasi kwamba hawezi fanya lolote linalomuunganisha na mumewe na inawatesa jamaa zetu wengi sana. We furahia hilo mkuu usidanganywe