Wadau nawasalimu,
Nimekua na huyu msichana kwa miaka 5 sasa, na mimi ndie nilikua wa kwanza kwake, mazungumzo ya kuishi pamoja kama mke na mume tuliyaanza 2 yrs ago, kila tunapoweka mezani...
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic...
Caution to every Woman:
From a medical perspective. Please if you have ears, LISTEN:
1. DO NOT TOUCH: that means do not clean your vagina by inserting your fingers or soap or anything else. THE...
Morning jf,
Let say upo kwenye relation but daily huyo mpenzi wako uliyenae daily ukiwa nae au mkiwa mko chatting anakuuliza unanipenda kweli hutonisaliti pia hutoniacha.
Hivi huyo mpenzi anakua...
Ni mpenzi wa zamani wa mume wangu wa 7 yrs ago,waliachana na hatimae mimi na mume wangu tulifunga ndoa ambayo sasahivi ina umri wa 6 yrs.
Juzi nimeona request yake katika FB anapiga hodi...
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka32 lakini sijawahi kusex na sitegemei kufanya hivyo mpaka nitakapooa,je nitapata madhara yoyote maana nasikia washkaji mtaan wanasema eti kuna madhara,naamini...
Habari wana jamvi,
Nimefanya utafiti mdogo na kuona kuwa ni rahisi sana kumbadili dini binti wa kikristo kwa ajili ya ndoa kwenda upande wa pili ila ni vigumu sana kumbadili dini binti Wa...
MImi naitwa Benja ni mkristo nina miaka 28 nipo mbeya natafuta mke wa kumuoa niishi nae umri miaka 20-24 aliye tayari anitumie sms namba 07669711490687076051.
No relationship is problem free, but there are some that are common than others. These kind of problems can pose a great danger to your loving relationship if they aren't resolved quickly enough...
Nimeipata kutoka kwa matumbo
Changudoa wako aina 3
1. Changudoa huru
- Hawa ni wale wanaosimama barabarani na sehemu nyingine za starehe. Wako huru yoyote yule hupata huduma. Wengi wao ni wezi...
Habarini Wakuu,
Miaka ya nyuma Wazazi wetu walikuwa na nguvu sana ya ushauri na hata ya kufanya maamuzi magumu ktk ndoa ya watoto zao pale ndoa inapoenda ndivyo sivyo. Siku hizi ni wazi kwamba...
Thread hii ni jibu kwa thread moja ambayo mkuu hussein boxer kaianzisha mahali nimeona niijibu kwa njia ya swali pia ili wadau humu mfunguke na tupate majibu yaliyo sahihi na kuwe na usawa kwa...
Wengi wanakubaliana kuwa mke wa mtu sumu wakiwemo kina dada wasio na waume! Lakini cha kushangaza hao kina dada ndio mabingwa wa kupapasa dyudyu za waume za watu!
Lakini pia waume wengi hung'aka...
Adele Laurie Blue Adkins alizaliwa tatehe 5 May 1988 North London nchini Wingereza. Ni mwimbaji na muandishi nyimbo, hasa nyimbo za mapenzi.
Someone Like You ni miongoni mwa nyimbo zake zenye...
Salaam wana JF
Hope mpo powa, kama mtakumbuka niliwahi kupost hapa kuhusiana na aliekua shemeji mtarajiwa wa ndugu yangu kwenda Pakistan na hadi leo hajulikani alipo.
Hadi sasa ameshatimiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.