Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ni mwaka sasa nimekuwa kwenye mahusiano na huyu Dada na tatizo kubwa kwetu ni Mapenzi . Tunaishi vizuri sana na tunaheshimiana like tuko pamoja japo tuko mikoa tofauti ila tatizo ni pale...
1 Reactions
98 Replies
13K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nafuta mimi ni mdada wa miaka23 natafuta marafiki bila kujali jinsia umri23-30. Karibuni kwa pm
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1. VIPWENTE- hawa ni aina ya wapenzi ambao yeye anaweza akakumisi hadi anahisi network zinakata lakini hakutafuti ng'ooo iwe kwa meseji au laivulaivu kwa sababu hataki kuonekana yeye ndo wa kwanza...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Natafuta mgane 50+ kama upo serioua just PM me.
0 Reactions
14 Replies
5K Views
nataka kueka pcha frm my computer to cd bt cant seem to get the date taken of the pictures to burn. msada km unajua jnsi ya kufnya. help pls
0 Reactions
3 Replies
745 Views
Heri ya mwaka mpya JF?? Wewe ni kijana tayari umekua na umejitosheleza kiasi cha kuhitaji kuwa na mwenza wa maisha (kufunga ndoa). Umempata na procedure zote za awali mmezifanya ikiwamo mahari...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kwa wasio jua mwanamke ni mtu wa ajabu sana anaweza ku fall in love kunako sehemu asio tegemea. Yupi kati ya aina hii ya wanaume una penda sana kuaa nae au ungependa kukaa nae na ukawa happy. 1...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Ili upate mafanikio ni lazima heshima iwe mbele. Ili watu wakuheshimu ni lazima wewe mwenyewe kwanza ujiheshimu. Ili ufikie mafanikio makubwa kwenye maisha yako ni lazima ujiheshimu. Lakini watu...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
WIVU Envy is the art of counting the other fellow’s blessings instead of your own.” – Harold Coffin Wivu ni sanaa ya kuhesabu baraka za wengine badala ya kuhesabu baraka zako. Na wivu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
BABA NIFUNDISHE KUHUSU WANAWAKE "Nikufundishe nini mwanangu kuhusu wanawake? Baba yako nimezeeka ghafla nikiwa na ufahamu mdogo na mwanangu umeshakua kiasi cha kuhitaji elimu hii adhimu, nikupe...
3 Reactions
16 Replies
9K Views
Jamani katika vitu vinavyonikera ni hii ya kuacha vifua/matiti/manyonyo wazi.Huwa naona bora mtu avae nguo fupi kuliko kuweka matiti wazi. Nikifikiria jinsi mtoto anavyozaliwa na mpaka kukua...
0 Reactions
23 Replies
14K Views
Salam wadau! Mimi ni kijana wa miaka 27. Kuna mdada nimemtongoza na katika majadiliano naye akadai tupeane mda wa kuchunguzana ndipo tufikie maamuzi. Lakini cha ajabu ndani ya siku mbili tangu...
1 Reactions
179 Replies
22K Views
Sasa hivi suala la mabinti wengi kuzaa limekuwa kama mtindo wa kisasa(fashion). Katika mambo yanayochangia umaskini na kuzorota kwa maadili kwenye jamii ni hili la watoto wengi kutopata malezi...
4 Reactions
90 Replies
8K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Leo ngoja niulize kitu kwa miaka ya karibuni kumekuwa na wadada wengi ambao wanazalia nyumbani yaani kwa sasa hivi unaweza ukaona binti mkali ukadhani hajazaa kumbe...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Habari za jioni wana JF, Wenzangu natumaini wote ni wazima wa afya! Nimeona Leo nitoe dukuduku langu moyoni nisikae na kinyongo, humu kuna group lina tabia moja siipendi sana, yani mtu unatoa...
4 Reactions
84 Replies
8K Views
Mtajwa hapo juu ni mzaliwa wa tanga eneo la manga wilaya ya handeni. Tulipoteana mara baada ya kumaliza kidato cha nne pale Mombo sekondari mwaka 2006. Namtafuta walau nimpe shukrani zangu hasa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni dada wa miaka 38 nina watoto 3 kwenye ndoa nina miaka 13, mume wangu ana umri miaka 52. Mwaka huu mwanzoni nilifuma sms kwenye simu ya mume wangu akijibu sms ya mchepuko. Ni hivi...
3 Reactions
192 Replies
18K Views
Nina nia ya dhati kabisa na ukweli kutoka moyoni mwangu najitokeza hapa kutafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI ili awe mwenza wangu wa maisha na tuishi maisha ya matumaini mimi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Awe mweupe au maji ya kunde.umri kuanzia miaka 17 hadi 25.Mimi ni kijana,nimeajiriwa na pia nimejiajiri.kama una vigezo ni pm.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom