Majhura fikiri
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 121
- 13
Habari za jioni wana JF,
Wenzangu natumaini wote ni wazima wa afya!
Nimeona Leo nitoe dukuduku langu moyoni nisikae na kinyongo, humu kuna group lina tabia moja siipendi sana, yani mtu unatoa mawazo yako kwenye posti yako mtu anajibu ujinga na si mara moja kutokea, inajitokeza Mara nyingi lakini majina ya hao nimeyaweka kwenye mabano mkizingua nawataja kwahiyo acheni tabia hiyo!
Asanteni
Wenzangu natumaini wote ni wazima wa afya!
Nimeona Leo nitoe dukuduku langu moyoni nisikae na kinyongo, humu kuna group lina tabia moja siipendi sana, yani mtu unatoa mawazo yako kwenye posti yako mtu anajibu ujinga na si mara moja kutokea, inajitokeza Mara nyingi lakini majina ya hao nimeyaweka kwenye mabano mkizingua nawataja kwahiyo acheni tabia hiyo!
Asanteni