Hii tabia ya wanawake kuacha wazi vitunguu (vifua) vyenu vinakera sana

Amanijua

JF-Expert Member
Mar 7, 2014
1,776
1,583
Jamani katika vitu vinavyonikera ni hii ya kuacha vifua/matiti/manyonyo wazi.Huwa naona bora mtu avae nguo fupi kuliko kuweka matiti wazi.

Nikifikiria jinsi mtoto anavyozaliwa na mpaka kukua kupitia chakula hicho ambacho wengine ndo wanaweka wazi huwa naumia na kuchukia sana.

Mshana Jr. atanisaidia kuweka picha.
 
Hata machinga huwa anaweka bidhaa anazoona zinawavutia wateja wazi,
#FOR SALE
 
Binafsi hata kama mwanamke nampenda vipi, nikikutana nae kwenye public akiwa ame expose sehemu za mwili kama titts na mapaja siwazagi tena kumfatilia! Huwa nakosa "interest" ya kuwa nae manake anakuwa ashajiweka wazi kwenye macho yangu!
 
hahahaha a day without jamiiforum would end up unsuccessfully!!! i mean in flesh not spiritually.
 
"Napenda sana kifua/maziwa/matiti yako.... yaani huwa nadata" kesho lazima yawekwe wazi ili kudatisha zaidi
 
"Napenda sana kifua/maziwa/matiti yako.... yaani huwa nadata" kesho lazima yawekwe wazi ili kudatisha zaidi
1452774768631.jpg
1452774783871.jpg
 
Daaa hasa wa dada wa chuo ndo formation boom likikata ndooo huongezeka manyonyo wazi
 
Binafsi hata kama mwanamke nampenda vipi, nikikutana nae kwenye public akiwa ame expose sehemu za mwili kama titts na mapaja siwazagi tena kumfatilia! Huwa nakosa "interest" ya kuwa nae manake anakuwa ashajiweka wazi kwenye macho yangu!
Hata hii pure n natural? 09:49???
1452775039490.jpg
 
Nilifundishwa kitu chochote chenye thamani kubwa mfano wa madini ya thamani huwezi kuviona ama kuvipata kirahisi hufichwa chini/mbali sanaa kiasi kwamba unaehitaji kuvipata ama kuviona lazima jasho likutoke....Na hata kwa wanawake ni the same wale wenye thamani sana hakika itakuchukua mda sana kuona kiungo chake adimu ila wanaojijua thamani imekwisha ama iko mbioni kwisha kila mahali huacha wazi si kifua si mapaja si kitovo...Yaani kabla hujamtaka ushamjua alivyo mwlili mzima...
 
Kaka hiyo tabia inatukera sisi maskini sababu mfukoni tupo mbaya wanatutamanisha tu

Tungekuwa na hela tungependa tabia hii sababu ingetupa urahisi wa kuchagua!Huwa sometimes jioni naenda Posta mpya kufaidi hayo mambo kwa macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom