Ni takribani wiki mbili sasa toka aende DAR anadai mimi si handsome tena

Ntandaba

JF-Expert Member
Jul 30, 2015
922
1,465
Salamu kwenu nyote!
Moja kwa moja kwenye mada,licha ya kujibana matumizi ili kuhakikisha huyu sukari wa moyo wangu anang'aa na kutimiza mahitaji yake alipokuwa huku mkoani hatimaye kaamua kutoa ya moyoni.
Bint toka aende huko tanzania (dsm) amebadilika sana anadai mimi si handsom tena while befor she left alikuwa ananiita hilo neno na maneno mengine kama beib lakina sasa hivi hola hiyo yote imetokana na kushindwa kumtumia hela ya kwenda kufanya manunuzi huko wanakokuita NAKUMAT.Ameniambia nishike hamsini zangu na pia sijui mapenz kama wanaume wa dar,kwa hiyo wadau nipeni ushauri kwa hayo yaliyonikuta
 
Sisi wanaume wa dar sifa yetu kubwa ya kuwanasia wasichana wenu wa mikoani ni kuwasifia mwanzo mpaka mwisho hata kama hana ili mradi tumpate tu upo hapo mwanaume wa mkoani
 
Eheee! wewe c ulikuwa unatuita eti wanaume wa DSM! eti hatujui mapenzi! umeona sasa tulivyo kufanyizia!
 
Jitahidi na ww umfuate Dar......., ila jogoo la shamba sijui kama litawika mjini:eek::eek:
 
Ha haha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ! Eeeeeeeeee! Samahani mkuu! Umesema kasema hujui kupenda kama wanaume wa waapi....? He he he heeeeeeeeeeeed!!!
 
Salamu kwenu nyote!
Moja kwa moja kwenye mada,licha ya kujibana matumizi ili kuhakikisha huyu sukari wa moyo wangu anang'aa na kutimiza mahitaji yake alipokuwa huku mkoani hatimaye kaamua kutoa ya moyoni.
Bint toka aende huko tanzania (dsm) amebadilika sana anadai mimi si handsom tena while befor she left alikuwa ananiita hilo neno na maneno mengine kama beib lakina sasa hivi hola hiyo yote imetokana na kushindwa kumtumia hela ya kwenda kufanya manunuzi huko wanakokuita NAKUMAT.Ameniambia nishike hamsini zangu na pia sijui mapenz kama wanaume wa dar,kwa hiyo wadau nipeni ushauri kwa hayo yaliyonikuta
wewe ni mwanaume wa DAR,promo on progress..
 
Kijana wa Dar es salaam akikuambia maneno 100 chukua neno moja tu....mengine muachie mwenyewe.....sasa wanachokosea wageni ni kwamba wanachukua maneno yote....
 
Back
Top Bottom