Mume wa Mtu ananitaka

JS

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
2,064
497
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??
 
Kosa ulilifanya wewe tokea. Una wa kwako na yeye ana wa kwake, kwa nini mlibadilishana namba? Mambo mengine ni ya kujitakia tu.

Mimi nikiwa na kwangu kamwe sitoweza kubadilishana namba na shori niliyekutana naye kwenye starehe. Huna msimamo bibie.
 
hizo sms zicje zikaleta kasheshe kwa mpenzio cku ya cku...mkanye kwanza kwa hilo, halafu mwanaue unaemwambia una mpenzi na yeye ana mke lakini bado unakazana tu huyo c mzuri, anajua hana future na wewe so kilichobaki ni uharibifu tu.....
 
hizo sms zicje zikaleta kasheshe kwa mpenzio cku ya cku...mkanye kwanza kwa hilo, halafu mwanaue unaemwambia una mpenzi na yeye ana mke lakini bado unakazana tu huyo c mzuri, anajua hana future na wewe so kilichobaki ni uharibifu tu.....

Na yeye JS nini kilimfanya ampe namba mwanaume mwenye mke? Na yeye hana heshima ya ndoa ya huyo mwanaume...
 
Kosa ulilifanya wewe tokea. Una wa kwako na yeye ana wa kwake, kwa nini mlibadilishana namba? Mambo mengine ni ya kujitakia tu.

Mimi nikiwa na kwangu kamwe sitoweza kubadilishana namba na shori niliyekutana naye kwenye starehe. Huna msimamo bibie.


hilo pia ni tatizo lingine, mana mngemaliza na stor pale kila mmoja aende na lake, may b mbaba alivyoona mpaka mmeweza kubadilishana no bac pia anaweza kujaribu na mengine.
 
Acha kupokea simu zake na text message zake.....................nafikiri ni kitu simple sana ambacho kitapeleka ujumbe mara moja.
 
:A S 101: Dont answer his calls, never reply his texts, au mpe mpenzi wako simu apokee akikupigia. Ila siku ingine usirudie kugawa namba ya simu hovyo hovyo sawa mama?
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??

hivi wewe JS tamaa za mwili zimekupita kando?mbona unatunyanyapaa waume wa wanawake wenzio jamani?
 
:rolleyez:mpe mwaya...
mume wa mtu mtamu..asikwambie mtu..
tena kila mtu ana mpenzi wake ndio inanoga zaidi,
akikutema si unarudi tu kwa mumeo?

Rosey unaweza kuniruhusu mtumishi wako nikutafute kwenye PM kwa amani?
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??
hapo kwenye Red inawezekana huyo jamaa hana mke wala nn, ila si unajua siku izi watu wanapenda wale walio kwenye uhusiano kuliko ma single....may be he think you lied to him as he lied to you ndo maana anakomaa na wewe!! :clap2:
 
:rolleyez:mpe mwaya...
mume wa mtu mtamu..asikwambie mtu..
tena kila mtu ana mpenzi wake ndio inanoga zaidi,
akikutema si unarudi tu kwa mumeo?

acje akakosa yote mpenzi wake atakapojua anachezewa rafu...JS gandana na mpenzi wako wachana na mtu asiye na future na wewe, kwanza mapenzi ya kuvuizia vizia ya nini kwa warembo kama nyie?
 
hilo pia ni tatizo lingine, mana mngemaliza na stor pale kila mmoja aende na lake, may b mbaba alivyoona mpaka mmeweza kubadilishana no bac pia anaweza kujaribu na mengine.

Alaaaa yeye JS alikuwa anategemea nini alipompa jamaa namba yake? Kwamba jamaa ataenda kuitundika ukutani hiyo namba kama pambo? Mademu bana...mtu unampa namba yako halafu akikupigia unalalamika...what the fcuk?
 
Acha kupokea simu zake na text message zake.....................nafikiri ni kitu simple sana ambacho kitapeleka ujumbe mara moja.


sio uungwana hata kidogo......kukimbia tatizo sio suluhisho....
 
Kosa ulilifanya wewe tokea. Una wa kwako na yeye ana wa kwake, kwa nini mlibadilishana namba? Mambo mengine ni ya kujitakia tu.

Mimi nikiwa na kwangu kamwe sitoweza kubadilishana namba na shori niliyekutana naye kwenye starehe. Huna msimamo bibie.

Kubadlishana namba na mtu haina kosa kwani by the time unampa mtu namba yako unakuwa unaestablish contact na huyo mtu. besides its a only a phone number ikiwa misused kama na huyu baba ambaye anataka kuchukulia advantage ndo inakuwa tatizo.
 
Back
Top Bottom