Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna ukweli kwamba mwanaume aliyelelewa na mama pekee AKIOA mwanamke aliyelelewa na mama pekee WAKIOANA basi ndoa yao ni matatizo matupu?
0 Reactions
4 Replies
88 Views
Habari wakuu , kwa wake wenzangu na Mimi wenye ulemavu wa aina yoyote iwe hearing problem , bubu ,albino nk Basi karibuni mtafute wenza hapa maana huwa tunajiona wanyonge au kujikatia tamaa hasa...
7 Reactions
22 Replies
413 Views
Jitahidi upate sex mara kwa mara sio mara moja kwa wiki. Ukifanikiwa kwa hilo hutojilaumu kwa hili
1 Reactions
1 Replies
151 Views
Ananipa mapenzi ya moto moto jamani nafurahia ndoa kweli hata sitamani kuwa na mchepuko
9 Reactions
54 Replies
620 Views
Kijana upo na Maisha yako , una uchumi wako yaan sio mpaka uwe na uchumi mkuuuubwa , kwaufupi wee ni Binadamu !!!. Acheneni na Masuala ya Pesa sijui nn, acheni nayo hayooo yote HAYAWEZI MFANYA...
15 Reactions
97 Replies
24K Views
Leo nimeamua kuandika hili jambo baada kuona limekua Bomu linalochipuka na ambalo miaka 10 ijayo litakapolipuka, Wanaume wengi watakua waoga sana na wengine kuuacha uanaume wao na huenda neema ya...
31 Reactions
56 Replies
10K Views
Unaweza ukashangaa hili, ila uhalisia nikwamba Ili Mwanamke Akupende kwa dhati Daima ni lazima huko mwanzo uhakikishe kwamba Ulimpitisha kwenye Mateso ya Kihisia. Mtu anaweza niuliza, kwahiyo...
23 Reactions
59 Replies
13K Views
Suala la Kumpa Mwanamke Pesa au kumkopesha Pesa, ni Uamuzi wa Kiuchumi na sio Uamuzi wa Kihisia Ndiooo, Unajua huenda unampenda, au upo naye, lkn kiuchumi haupo vzuri, ndo umuache? Ndo akuumize...
9 Reactions
45 Replies
5K Views
Kuna Jamaa wako kwa Mahusiano lakini Hawajui hata yanahusiana nanini mahusiano ambayo sio yenye Afya kwao. Leo nawasaidia kwa huu Uzi, hili liwafanye kabla hujajiruhusu kumfanya Mwanamke awe wa...
44 Reactions
181 Replies
18K Views
Ivi umeshawah kutana na Jidada mmoja mwenye uchumi wake kukuzidi yaan wee unajiweza lkn yeye kakuzidi na umemuelewa kinoma yaan?? Au tu ni Mke wa mtu sema umemuelewa ?? Sasa leo nawapa siri...
15 Reactions
196 Replies
35K Views
Mapenzi ni Hisia , Kimahaba ninaweza yaelezea kua ni Hisia ambazo Zinakaa Damuni , Ubongoni, Moyoni, kila mahali ya Mwilin mwako. Na Inapokua ya kweli na dhati, kila mmoja anataka awe mahali pa...
40 Reactions
146 Replies
21K Views
Enyi Vijana wa kiume, ninachokiandika hapa, pengine mnaweza kukitafasiri mjuavyo, pengine mkasema hayana fomula!!. Kwa juu juu hata wanawake wenyewe hapa wanaweza kusema "Mwandishi sio Mwanaume...
100 Reactions
218 Replies
20K Views
Mi ni Mwanaume mwenye umri wa kati wa 4th floor. Katika kupambana na maisha miaka ya nyuma, niliishi mkoa mmoja kanda ya ziwa. Kutokana na mihangaiko, nikajikuta nimempa mimba binti mmoja ambaye...
69 Reactions
228 Replies
7K Views
Ilikuwa mwaka 2006 ndio nimemaliza chuo na kuajiriwa kwenye Taasisi moja ya fedha. Siku moja nikapigiwa simu na mdada, akasema amekosea namba, hakika kwangu alikuwa mgeni kabisa. Kwenye maongezi...
12 Reactions
40 Replies
7K Views
Kuna watu wanaohesabu hii kama umalaya Kuna wengine wanaamini ni sehemu ya kujaribu mpaka umpate yule mtu ambaye mnaendana Mimi binafsi naona kuwa na mahusiano mapya mara kwa mara sio tatizo...
9 Reactions
321 Replies
3K Views
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka...
11 Reactions
63 Replies
874 Views
Awe wa kabila lolote na awe singo matha mwenye watoto wawili maana ata na mimi pia mzee wa mika 30. umri 30-45 chin ya 30 hapana hao wadogo kwangu...
1 Reactions
1 Replies
66 Views
Uchi uleule ambao wenzako tumeumwagia shahawa unakuja na domo lako unaufyonza hivi una akili kweli mwanetu? Kama sio ugasho ni nini kulamba bao la kidume mwenzako? Daktari anavaa gloves kabla ya...
44 Reactions
238 Replies
6K Views
Wakuu huu umalaya ninaouona ni kawaida au ni wanawake wa huku wamezidi..? Huku umalaya umezidi uchepukaji. kwa wanawake walio olewa nawaona sana wanachepuka yani wiki haipi nakuta mke wa mtu...
4 Reactions
29 Replies
511 Views
Habari ndugu zangu Naomba hii nipate uzoefu kutoka kwa wajuzi wa mambo, Inakuaje mtu ameolewa halafu anadai akopeshwe pesa lakini anakupa shariti la mmeo asifahamu kama kachukua pesa. Swali ni...
7 Reactions
53 Replies
724 Views
Back
Top Bottom