Tusikae kimya kujifanya hakuna tatizo. Kijana wa kiume kuanza mechi tayari ashapigwa 1-0, bloodline ya ukoo inavulugika, vile vile kuna suala la co-parenting ni manyanyaso ya kihisia na chanzo cha...
Mimi nlkuwa napendekeza kuwa, tusiache asil yetu ya kitanzania, kukimbinzana na mambo ya wazungu maana kizazi chetu kitapotea. Na tusipoziba ufa mapema msing wa watoto wetu utaporomoka...
Kuna watu wa ajabu sana hapa duniani, yaani unamkuta mkeo kitandani kwako tena 'kainamishwa' jambo ambalo wewe hukuwahi kulifanya, unapiga magoti unaanza kukemea mapepo eti ndiyo yamemsababishia...
Binafisi huwa najiuliza mwanaume unawezaje kutoboa miaka hadi 50 kwenye ndoa huna mtoto nje ya ndoa na hata mchepuko huna yaani niwewe na ulokole wewe na usabato bahati mbaya kabisa unakuta mke...
Tupe ushuhuda mwanamke gani kati ya hawa ni mtundu kitandani? Maana wamakonde, wazaramo/wandengeleko wanawekwa ndani kabisa kufundishwa namna ya kutiana na makungwi wao ndo maana baadhi ya sehemu...
Wakuu Salam Nina swali langu hapa nahitaji majibu kutoka kwenu
Unakuta mwanaume yupo na ana nguvu zake si kwamba labda amezeeka
Cha ajabu unakuta nyumba inaendeshwa na mwanamke
Yaani mwanamke...
Wapendwa Marafiki, Wajukuu na wote wenye mapenzi mema, salaam
Ilikuwa weekend mbaya sana kwa ODM, Baada ya kushtushwa na msiba wa watanzania wenzetu kwenye ajali ya meli haukupita muda nikapigiwa...
Mimi na mke wangu tuna miaka minne sasa na tumebahatika kupata Watoto wawili, awali nilikuwa na maisha magumu sana, lakin kwa sasa ipo nafuu siyo kama mwanzo.
Changamoto ni kwamba mke wangu yeye...
Kuna siku nilikaa nikamtazama mwanangu kwa makini sana.
Sio tu sura.
Sio tu macho.
Sio tu tabasamu.
Tabia.
Misimamo.
Namna anavyoongea.
Namna anavyojibu watu.
Hata namna anavyokasirika...
Nimepokea ka sms kamenichekesha. Wizi mtupu!
"When awake you're in my thoughts, when asleep you're in my dreams.
the only place I never seem to find you is in my arms. Miss you"
Kama na wewe...
Nina myaka 10 kwenye ndoa iliojaa visa, vipigo na kunyan’ganywa umiliki wa mali, Nilipofikia sasa naogopa hadi kununua kijiko kwan ndugu zake wakija ubeba vitu bila kuomba.
Mwaka 2018...
Sijawahi kuona wanawake au mabinti wakifanya hii kazi ya kukata na kupaka ranga wanawake salun
Hivi hii kazi nayo ni ngumu ya kiume kama kubeba zege kuwa wanawake hawawezi kufanya, kukatana kucha...
Mtazamo wangu ni kua ingefaa wanaume ndio wawe wanatongozwa na kuombwa kuingia kwenye mahusiano na wanawake, regardless kama mwanaume ni handsome au la. Kwa maana
-wanaume ni wachache
-wanaume...
MREJESHO
Habari ndugu ZANGU...NADHANI...nilileta Uzi ulisema. MKE WANGU KAACHA NDOA YAKE KISA KAZI..
..
...
Leo nawaletea MREJESHO...
Baada ya Mwanamke kuondoka kusikojulikana,,huko alipokuwa...
Mwanamke ukifikisha miaka 30 bila dalili za kupata mume ndio utaelewa kwa nini Mama yako alitupilia mbali vigezo vya mwanaume wa ndoto yake na kuolewa au kuzaa na Baba yako licha ya ufupi wake...
Nimeoa, ndoa yangu ina miezi 6 lakini mke wangu kaondoka nyumbani na kaniacha anadai talaka ananishutumu kuwa nina mahusiano na Mama yangu. Nyumbani kwetu tumezaliwa watatu na wote ni wakiume...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
(Ukistaajabu ya Musa utayaona ya silent killer leo.)
Sasa baada ya ile post nikapata PM, sio PM ya kawaida naweza iita THE PM...
Huwezi kuvaa nguo fulani sababu hawatakuelewa.
Huwezi kuishi mtaa fulani watakuona maskini sana au tajiri sana.
Huwezi kula pale kwasababu siyo hadhi yako.
Huwezi kuoa au kuolewa na mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.