Naombeni ushauri jamani, hivi ananipenda au?

Naombeni ushauri jamani, hivi ananipenda au?

Sijasoma uzi wako ila kwa kifupi nikwambie tu hakupendi
FB_IMG_17775794649289264.jpg
 
Subiri kwanza bro. Kweli kwa maisha ya sasa kuna demu wa kujing'atang'ata ndugu yangu na siku hizi unatongoza kimtu kimekukodolea macho kama mujeshi. Kimesimama wima kama mgambo. Miaka ya nyuma ndo ulikuwa unatongoza demu anachima shimo hata la futi tatu kwa kutumia vijiti, miti ilipata shda sana kuvunjwa bure, nyasi inangolewa sehemu inabaki nyeupe pee. Lakin wa miaka hii ndugu hakuna neno hawajawahi kuskia hadi ajingate ngate wa sku hizi ni kumwambia tu live kuwa twende unipe kikojoleo cjui kikojokesho basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom