Wadau humu.
Nimeonelea umekuwa nusu mwaka na pia kuna baadhi ya watu wanaroho ya huruma.
Kuna watoto wapo mitaani wanakosa vitu muhimu hii mnachukuliaje?
Mf. Chakula Malazi Mavazi Elimu na Walezi...
ILI KUMTEKA MUMEO FANYA HAYA
1. Muite kwa jina lake la utani, jina lile analolipenda sana.
2. Muache atumie mamlaka yake kama
kichwa cha nyumba.
3. Usimcheke akiwa ameumizwa na
jambo fulani...
Habari wakuu....
Jamani mimi huku nyumba imewaka moto, Moja haikai mbili haisogei mama watoto hanielewi.
Iko hivi
This weekend nilitoka kwenda somewhere kwenye mizunguko yangu hapa mjini...
Habar zenu wana jf
Wacha niende direct katika hizi situation mbili (2) ilitokea kwenye mahusiano yako itakuumiza sana?? Na hapo ulikuwa unampenda sana.
1. Mpenz wako kukusaliti/kukuacha
2.Mpenz...
Habari za mda huu wana jf!
Imekua ni kawaida kwa wanaume wa dar kuoa mikoani au wanawake Wa mikoani kuolewa dar!
Lakini hli la wanawake Wa dar kuolewa mikoan sio sana tena teknologia inavyozidi...
Umoufia kwenu!
Wakuu nina shida ya kifedha na nimekwama kabisa kupata fedha kutoka vyanzo vingine ingawa nina uhakika 101% kwamba mchepuko wangu ana uwezo wa kunikopesha kiasi cha fedha (Tsh...
WOTE MTABAKI KUWA JUU JUUU MAWINGUNI (Liquid voice)
Wakuu wenye mji wenu hapa downtown kwa Mkuu anayechapa kazi kuliko wakuu wote nchini na Afrika mashariki nzima.
Leo natoka home sasa hivi...
Wanawake nawasalimu bila kuwasahau Wanaume wenzangu!
Vibinti vingi mjini na baadhi ya wamama ukikutana nao aidha sokoni, kwenye sherehe, chuo au mahali pengine unaweza ukahisi ni matawi ya juu...
Kwa kukaa kama Sanamu.
MUME: darl ninakikao mkoani kesho naomba niandalie vitu plz
MKE: dada zile nguo za baba pmj na soksi ulifua?
DADA: ndio nimepanga kabatini.
(Mama anarudi chumbani na...
Tunaposema mwanaume ni kichwa kwa mwanamke hilo suala sio la utani ni suala ambalo liko wazi kabisa na lazima tulizingatie.
Mwanaume hutakiwi kutawaliwa na mwanamke,hutakiwi kunyanyaswa na...
Mimi nipo salama kiasi, nashukuru Mungu nilikuwa naumwa lakini sasa hivi naelekea kuwa na Afya njema.
Mdomo mchungu kiasi lakini sio mbaya sana kuliko hatua niliyo kuwa nimefikia ya Shemeji yenu...
Waku habari ya kutwa?
Hivi inapotokea mke yupo tyr kukanusha kila jambo unalomlishauli na kwenda mbali zaidi kufikia hatua ya kukuchonganisha nje na majirani kwa ya mashauli uliyompa dhidi ya...
Simkashifu mtu ni ujumbe tu, pia amepata kusema mdau wa masuala ya wanawake
(Lu-Patie!).
"Wanaume wengi hawajafikia ndoto zao, wanatamani kupata wanawake watakaowatia moyo kuwafikisha kwenye...
Sifa ya watanzania ni ubishi wa vitu ambavyo hata hawavijua.
Sasa leo nakuletea jambo la msingi usibishe kabla ya kujaribu.
Jambo lenyewe ni:
Kama unauhitaji wa mtoto wa kiume tamka maneno haya...
Ninatafuta rafiki wa kike. Awe anaishi Kiteto. Kwa maelezo zaidi, niandikie Private Messege, PM!
NB; Moderator samahani, nimeshindwa ku-access Love Connect Forum, ndiyo maana hii mada nimeiweka...
Salam.
Straight to the chase.
Usiku Wa kuamkia jumatatu, yani usiku Wa pasaka mwenzenu ujinga wangu ukanifika kwenye kidevu......nilikua nimelewa sana tena sana...
Sasa nilipokua nanywea hizo...
Ni m-Tanzania, hajawahi kunipiga, Hulipia huduma zote ndani kuanzia umeme, maji na gesi. Jumamosi anakwenda sokoni asubuhi, Ana kumbuka mpaka pilipili na ndimu. Anajua kupika hivyo hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.