Je kama ni mtoto wako ungefanyaje?

Je kama ni mtoto wako ungefanyaje?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,761
Wadau humu.
Nimeonelea umekuwa nusu mwaka na pia kuna baadhi ya watu wanaroho ya huruma.
Kuna watoto wapo mitaani wanakosa vitu muhimu hii mnachukuliaje?
Mf. Chakula Malazi Mavazi Elimu na Walezi .
Au unakumta mtoto anawazazi ila hao wazazi wake hawana uwezo
Unakuta mtoto baba ni tajiri sana ila anamama wakambo anamtumikisha nakumfanya akose mambo muhimu nyie kama wazazi au walezi mnalionaje hili?
Na mnalichukuliaje hii hali?
Shule na vyoo bado havitoshi kwa wanafunzi na waalimu waalimu wamekosa mahali pakuishi.
Waalimu wamekosa vyoo vyakutumia je kwa mpango huu elimu Tanzania inawezekana?
Mtalitatuaje kama wazazi?
 
Hii mada ni nzuri sana mkuu, lakini naona kama umechanganya majukumu ya Wazazi, Mamlaka/Serikali na mipango ya mwenyezi Mungu...
 
Hii mada ni nzuri sana mkuu, lakini naona kama umechanganya majukumu ya Wazazi, Mamlaka/Serikali na mipango ya mwenyezi Mungu...
Serikali nikama baba wa familia na baba wa familia hawezi kufanya kila kitu lazima msaidizi afanye vingine ndio wazazi sasa wajitahidi kujenga shule zao wenyewe kwa maana unaona kama nijukumu moja serikali inayo.
Hapana nautasubiria watambue saa ngapi kama shule na matatizo yote yapo na watatue hii ni shughuli nyingine?
Kama mimi nimesoma shule ambayo wazazi ndio wameijenga napia imetusaidia sana kwani waalimu walikuwa wazuri na waelewa.
 
Wadau humu.
Nimeonelea umekuwa nusu mwaka na pia kuna baadhi ya watu wanaroho ya huruma.
Kuna watoto wapo mitaani wanakosa vitu muhimu hii mnachukuliaje?
Mf. Chakula Malazi Mavazi Elimu na Walezi .
Au unakumta mtoto anawazazi ila hao wazazi wake hawana uwezo
Unakuta mtoto baba ni tajiri sana ila anamama wakambo anamtumikisha nakumfanya akose mambo muhimu nyie kama wazazi au walezi mnalionaje hili?
Na mnalichukuliaje hii hali?
Shule na vyoo bado havitoshi kwa wanafunzi na waalimu waalimu wamekosa mahali pakuishi.
Waalimu wamekosa vyoo vyakutumia je kwa mpango huu elimu Tanzania inawezekana?
Mtalitatuaje kama wazazi?
Nataka nikuoe ili nitumie akili zako nguvu tutatumia za kwangu lakini hutaki umenifungia tinted mungu anakuona
 
Mi hata sijaelewa zaidi ya kunikumbusha wanawake Wana roho mbaya..

Kama kweli mnajua uchungu wa mtoto kwanini utese mtoto sio wako ....

Note:sio wanawake wote.
 
Back
Top Bottom