Wanawake wa Dar kuolewa na wanaume wa mikoani

harder king

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
3,970
6,898
Habari za mda huu wana jf!

Imekua ni kawaida kwa wanaume wa dar kuoa mikoani au wanawake Wa mikoani kuolewa dar!

Lakini hli la wanawake Wa dar kuolewa mikoan sio sana tena teknologia inavyozidi kukua ndio kabisa akuna mwanaume anaetaka kumsikia mwanamke wa dar kua mkewe.
Na Mara nyingi ikitokea lazima wote wawe wanaishi dar na sio mkoa aliotokea mwanaume japo Mara chache hutokea wakaishi atokako mwanaume!

Mikoani tunamin wanawake Wa dar sio watu wakujishuhulisha labda awe mwajiriwa,ni wavivu,uswahili uswahili mwingi
Na kama kwao mambo safi AF aliko olewa ni 'tia maji tia maji' basi ujue wezekano Wa ndugu wa mwanaume kuzisoma Namba za kirumi upo wazi(sio kwa wote) ni baadh tu!

Sasa wakuu naombeni kujua kama yupo mwanaume wa mkoan aliebahatika kuoa mkoa Wa dar na jirani yake pwani na wakaenda nao makwao na maisha yakaendelea bila mushkeli wowote!

Na kwa wale wanaume wa dar/pwani watuambie ni kwa nn wengi wenu mnakimbilia mikoan kuoa huku mkiwaacha Dada zenu wakitesekea kwenye vigodoro/kanga moko na kwenye madanguro nk?

Na nyie wanawake Wa dar mbadilike sio lazima kila skendo hianzie kwenu

Sio lazima tabia zote chafu zianzie kwenu

AF ile tabia yenu mkija mikoani Mnapapondea huku mkiisifu dar kwa kila kitu ITAWAKOST!

Badilikeni ili na sisi wanaume Wa mikoani tuwafikirie kwenye falme zetu!

Nawakilisha!
 
Habari za mda huu wana jf!

Imekua ni kawaida kwa wanaume wa dar kuoa mikoani au wanawake Wa mikoani kuolewa dar!

Lakini hli la wanawake Wa dar kuolewa mikoan sio sana tena teknologia inavyozidi kukua ndio kabisa akuna mwanaume anaetaka kumsikia mwanamke wa dar kua mkewe.
Na Mara nyingi ikitokea lazima wote wawe wanaishi dar na sio mkoa aliotokea mwanaume japo Mara chache hutokea wakaishi atokako mwanaume!

Mikoani tunamin wanawake Wa dar sio watu wakujishuhulisha labda awe mwajiriwa,ni wavivu,uswahili uswahili mwingi
Na kama kwao mambo safi AF aliko olewa ni 'tia maji tia maji' basi ujue wezekano Wa ndugu wa mwanaume kuzisoma Namba za kirumi upo wazi(sio kwa wote) ni baadh tu!

Sasa wakuu naombeni kujua kama yupo mwanaume wa mkoan aliebahatika kuoa mkoa Wa dar na jirani yake pwani na wakaenda nao makwao na maisha yakaendelea bila mushkeli wowote!

Na kwa wale wanaume wa dar/pwani watuambie ni kwa nn wengi wenu mnakimbilia mikoan kuoa huku mkiwaacha Dada zenu wakitesekea kwenye vigodoro/kanga moko na kwenye madanguro nk?

Na nyie wanawake Wa dar mbadilike sio lazima kila skendo hianzie kwenu

Sio lazima tabia zote chafu zianzie kwenu

AF ile tabia yenu mkija mikoani Mnapapondea huku mkiisifu dar kwa kila kitu ITAWAKOST!

Badilikeni ili na sisi wanaume Wa mikoani tuwafikirie kwenye falme zetu!

Nawakilisha!
Mwanaume/ mwanamke wa Dar ni yupi? Sifa zake ni kwamba anaishi sasa Dar au alizaliwa Dar? Maana wengi hapa hawakuzaliwa ila walikuja wakiwa wadogo toka mikoani au wamaanisha mwanaume anayeishi dar kufunga safari kwenda mikoani kutafuta mke? Tuwe wa kweli, wake na waume wengi waliopo Dar zaidibya miaka kadhaa kabla ya kuoa, waliowaoa ni waliokutana nao Dar. Usichanganye malaya na wanawake wa dar, maana wa mikoani mna huo ufinyu wa kuwaza.
 
Ili mtu awe mtu wa Dar inabidi akidhi vigezo gani?

Mana ukifuatilia sana hata sisi wenyewe Wazaramo wa Mzizima utakuta tumetoka Uluguru.
Aaaaa hata wale wenye nyumba kariakoo mtaa wa sikukuu na mkunguni ukiwafatilia sana utakuta wametoka Congo huko
 
Mwanamke ni mwanamke tu.hata awe na mabawa..awe wa dar au mkoani...inategemea unam-handle vipi....ukileta dedede baba inakuwa dedede..ukienda nae kikax inakuwa hivohivo yani...
 
wanawake wa dar gharama sana, wa kijiji ukimpa ten anaenda shopping miez 3
Nimekaa Dar mjini kati kabisa na nimekaa kijijini bush kabisa Nzera Geita ndani ndani huko sijui buyegu nimekaa pia kule porini wanapojenga Airport ya kimatafifa labda uniambie hiyo buku ten shopping gani ya miezi 3?btn maisha ya kijini gharama sana hasa nguo na urembo ila vyakula ndo urahisi ulipo
 
Aaaaa hata wale wenye nyumba kariakoo mtaa wa sikukuu na mkunguni ukiwafatilia sana utakuta wametoka Congo huko
Na kuna kinamama wa Kimanyema waliotoka Congo tangu Baba Kabwela hajaenda UNO.

Sasa hao ni watu wa Dar au wa Congo?
 
Back
Top Bottom