Mara nyingi nasikia wanaume wa Dar wakiwalalamikia wanawake wa Dar kwamba wanapenda starehe na matumizi mabaya ya pesa lakini sio wote. Sema samaki akioza mmoja ndo hapo panapoleta shida kwakweli...
Muongozo wa kumega kisela aka ku-skip dating na kwenda kwenye msuguano , kupeana joto mutual induction.
Jaribu kutokua mtu wa kutoa hukumu au kuwa na mawazo ya kumjudge mwanamke au wanawake...
Wadau naombeni ushauri.
Mume wangu nampenda sana ila ni mpole kuongea kwake mpaka umuongeleshe umchangamshe nikiamua nami kuuchuna basi tunapiga kimya. Siku akiamua kuchangamka tu mwenyewe basi...
can not wait till i find you,
searched entire globe for you,
time is runnig out to hold to,
literally can not get someone to hold on to,
my patience is turning blue,
i can relate to the things i...
Wakuu habari zenu
Nia na dhumuni la uzi huu ni kujuzana au kuhabarishana matukio ya kikatili wanayofanyiwa wajane,yatima na walemavu, tuhabarishe kisa au mkasa wa ajabu uliowahi kushuhudia watu...
Wakuu hivi kuna mtu ashawahi kuwa na upendo kwa kitu au mtu mpaka akahisi bila hicho kitu au huyo mtu furaha hamna kabisa!!!
Nihiviii, kuna sikumoja hivii nilkua nnampenda mdada flani hivii...
Habarini wadau wa jukwaa pendwa humu jf. Niende direct kwenye mada
Mwanamke ambaye ni muhuni kwa hapa mtaani kwetu huwa anaitwa majina mengi sana, wengine humuita danga, kicheche, kiwembe na...
Nashangazwa sana na hii tabia ya baadhi ya wanaume wenzangu kushabikia vitendo vya kuwageuza kinyume na maumbile wapenzi au wake zao, hivi hizi laana mmezirithi wapi wandugu?
Uzi tayari......
Habari za usiku wakuu...poleni na majukumu ya mchana kutwa.
Nielekee direct kwenye hoja yangu! Nimewahi kuona ama kupitia nyuzi nyingi za wadada wanaodai kutafuta waume wa kuwaoa ( wengi wao...
unaweza jisomea kwa namna au aina moja tu siku zote na bado ukafaulu mtihani lakini hukunaga namna au njia moja katika mahusiano na ukafanya penzi kuwa la moto yani mapenzi yanataka kitu kipya...
MSIMAMO WANGU
1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea, kifupi chake ni chetu.
2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi, unless huo ubahili anaufanya kwenye mambo mengine ili amake more...
Habari wadau
Leo naomba nizungumze Jambo flani HIVi.
Unaweza umawa una rafiki/jamaa yako wa karibu saaana. Lakini kutokana na pirika za maisha mkaja mkasambaratika na kuishi sehemu za mbali...
Naomba watu wazma mnisaidie ili jambo, wazaz wetu uwez kuwaona waki kiss ana wakikaa kwenye kochi pamoja , au wakitembe pamoja wakiwa wameshikana mikono tatizo lipo wapi? Au mbona wazaz wa...
Am back again, leo nipo zangu home tu sijatoka coz shem lenu anaumwa sana na sijatoka kwa heshima yake nipo hapa nampetipeti mama la mama[emoji41]
Bila poteza muda twendeni kwa mada nmefanya...
Habari za asubuhi wajenzi wa taifa.. Ninayo matumaini ni wazima wa afya njema huku mkiendelea na majukumu yenu ya kila siku..
Back to the point.
Jana usiku mida kama ya saa 6:30 hivi nilikuwa na...
Habari zenu wakuu? Natumai mko salama
Wakuu nimekuja apa kuomba msaada maana sijui pakuanzia
Kuna demu flani ivi namuelewaga zana toka enzi izo ila sidhani kama ntapataga bahati ata yakuongea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.