Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mara kwa mara nikuwa nikisikia kuwa ngono hizi zinazofanywa kabla ya ndoa ndio zinachangia kufanya ndoa nyingi zisidumu. Nimewahi kusikia hivyo kwenye semina za vijana miaka ya nyuma kidogo...
10 Reactions
250 Replies
55K Views
Aslaam Aleikyum wadau wa MMU hopefully mko njema, Leo nimeamua ku'share nanyi Mangendembwee yaliyonikutaga back in the days. Naam here we go,Picha linaanza Bi'mkubwa katugea taarifa kuwa kesho...
25 Reactions
129 Replies
15K Views
Wadau Jumatatu nilimtembelea mchumba wangu kwake sasa wakati tunapiga stori za hapa na pale tukapishana kidogo akanitukana nikampiga kibao kimoja. Kwa kweli alilia sana mpaka akawa anakimbilia...
3 Reactions
46 Replies
3K Views
inasemekana kuwa watu wapendao miziki ya taratibu(blues) na ya kihindi na kikorea pia wanahisia kubwa za mapenzi na wanamapenzi ya kweli kuliko watu wasiopenda aina ya miziki hiyo tajwa. Je kuna...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Maana siku zinavyokwenda mm sielewi kabisa bado siku ngapi
0 Reactions
6 Replies
895 Views
Habari ya duniani saiv na wanawake kuvaa nguo za kiume jamani hii inatisha sana suruali na T-shirt form six ,[emoji153] plane Raba simple wanavaa sasa sisi wanaume tuvae nn labda maana saiv...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu mimi nina karama, nataka niifanyie kazi ipasavyo. Karama yenyewe niya kukosoa jamii, hususani mambo yanayohusu hili jukwaa letu pendwa kabisa. Ladies wote nawapenda sana, Napenda bongo...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Siku hizi watoto wa mjini wameibuka wamevamia nguo za wanaume kwa Kasi Walianza t shirt za kiume Wametengenezewa suruali za jeans wanavaa Sasa hivi wameamia kwenye raba zetu.wamezigeuza mitoko...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Ukiwa na umri kuanzia miaka 36 na kuendelea na kama una mtoto/ watoto tayari au huna, huwa mara nyingi na kwa walio wengi mwili unahitaji kipozeo cha permanent, msione watu wanahangaika kuachana...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Wanawake wengi ambao wanaishi Gongo la Mboto (Masister duh) ukiwauliza wanakaa wapi watakujibu wanakaa "Airport" Sasa huwa najiuliza, wewe unakaa Gongo la Mboto kabisa tena ukifika Gongo la Mboto...
6 Reactions
21 Replies
9K Views
Nilikuwa natoka kanisani maeneo ya kuelekea home so mbele ya mianzinia Arusha. Kidaladala kikasimama nini watu wamejaa mwanaume kajiremba kama mwanamke anadaiwa arudishe hela kwa maana kashindwa...
5 Reactions
136 Replies
10K Views
Hivi Binti kama huyu akikua aweza bado kuja kuwa 'wife material'?
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,, Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa...
2 Reactions
51 Replies
6K Views
Ni mwendo wa code tu..!!Kuna hawa ndugu zetu Hawa ambao sitawataja.Wenyewe buana wanashangaza ukiwaambia ukweli wanaona uwongo..wanapenda Sana uwaambie uwongo ishi nao kwa uongo maana hamna namna...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau humu. Nimeonelea umekuwa nusu mwaka na pia kuna baadhi ya watu wanaroho ya huruma. Kuna watoto wapo mitaani wanakosa vitu muhimu hii mnachukuliaje? Mf. Chakula Malazi Mavazi Elimu na Walezi...
1 Reactions
4 Replies
956 Views
ILI KUMTEKA MUMEO FANYA HAYA 1. Muite kwa jina lake la utani, jina lile analolipenda sana. 2. Muache atumie mamlaka yake kama kichwa cha nyumba. 3. Usimcheke akiwa ameumizwa na jambo fulani...
19 Reactions
75 Replies
13K Views
Habari wakuu.... Jamani mimi huku nyumba imewaka moto, Moja haikai mbili haisogei mama watoto hanielewi. Iko hivi This weekend nilitoka kwenda somewhere kwenye mizunguko yangu hapa mjini...
4 Reactions
50 Replies
5K Views
Habar zenu wana jf Wacha niende direct katika hizi situation mbili (2) ilitokea kwenye mahusiano yako itakuumiza sana?? Na hapo ulikuwa unampenda sana. 1. Mpenz wako kukusaliti/kukuacha 2.Mpenz...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari za mda huu wana jf! Imekua ni kawaida kwa wanaume wa dar kuoa mikoani au wanawake Wa mikoani kuolewa dar! Lakini hli la wanawake Wa dar kuolewa mikoan sio sana tena teknologia inavyozidi...
2 Reactions
49 Replies
7K Views
Umoufia kwenu! Wakuu nina shida ya kifedha na nimekwama kabisa kupata fedha kutoka vyanzo vingine ingawa nina uhakika 101% kwamba mchepuko wangu ana uwezo wa kunikopesha kiasi cha fedha (Tsh...
3 Reactions
70 Replies
6K Views
Back
Top Bottom