Najua vijana wengi wamekata tamaa ya kuona kutoka na challenges zinazotokea. Lakini napenda kuwaosia hii sio wanawake wote ni capable kuolewa ni sawa na maisha ya kawaida haiwezekana wote tukawa...
Habari waungwana, nipo na uchumba na binti wa kikongomani, nahitaji kufunga nae ndoa, naomba kujua utaratibu ulivyo kuanzia mwanzo hadi ndoa. Kwa Desturi za kibongo na za kwao, kwa wajuzi.
Miaka iliyopita niliweka thread humu kwamba waalimu shule ya msingi ndo wanafaa kuolewa na ndo wanaolewa sana.
Ulimwengu wa digital umeingia kila mtaa hao waalimu wa shule ya msingi au secondary...
Juzi nilikutana na binti mrembo maeneo ya rangi3 akanipa namba leo Ndo tulipanga kukutana katika restaurant moja apa rangi3 inaitwa taweed restaurant.
Mda wa kukutana ulipofika nikajongea cha...
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.
Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.
kisa cha kuniacha ni haya...
Hawa ni wanawake wanaotokea katika mikoa ya Dodoma na kule Singida, ni wanawake waliobarikiwa sana uzuri na weupe hasa wanyaturu na warangi
Lakini moja ya sifa kuu nzuri walionayo huwa sio...
Wakuu leo nimeamka kwenda kukojoa naona kichwa cha dushe (kimlija kwa ndani) kinawasha,
Yaani muwasho flani hivi ambao mpaka sasa naona unanisumbua sumbua hapo nipo tu nabinya binya dushe,
Hivi...
Nina girlfriend wangu ambaye kila tukigombana zikipita siku tatu au nne sijamsemesha ananiblock Whatssap na tukishaelewana ana unblock.
Nikimuuliza kwanini anapenda kuniblock kila tukikosana...
Wadau, kutokana na suala zima la usafi nimejiuliza sana juu ya umuhimu wa kuwa na kucha ndeeeeeefu kama mwanasesere. Hawa akina dada wanachambaje?
Na wanajikinga vipi dhidi ya bakteria wanaoweza...
siku moja nlikuwa natoka handeni kwenda dar , nikapanda ksk bus ambayo ni luxury kama hiyo yako , wakati imeanza safari , kituo kinachofuata alikuja dada mmoja , mzurii na kajaaliwa nyamaa nyama...
Ni Bora Kuanzisha Mahusiano Na Mtu Mwenye Kipato cha Chini Au Cha Kawaida Na Akawa Anaheshimu Hisia zako na Kukupa Furaha
Kuliko Kumng'ang'ania Mwenye Kipato Kikubwa halafu ukaishi Kwenye...
Habari wakuu ..hii tabia ya wapare kuitana kaka na dada kiukweli inaniboa kuna kaka hapa jirani ni mpare Mimi namuelewa kwa kweli lakini sasa akipita tu et dada washindanze yan toka amejua na Mimi...
Habari wadau,
Naona hili swala limekuwa gumu kuelezeka hasa kwa wale wanaotarajia aidha kuwasomesha wapenzi ama kuwasubiria wakasome kwa kuchaguliwa vyuoni halafu ndio waoe. Ukweli mchungu ni huu...
Wakuu niko nchi fulani huku majuu. Nina rafiki yangu Mnigeria, kanisimulia kwamba rafiki yake alikuwa ameoa mke mzuri tu na wote walikuwa waajiriwa wa serikali. La ajabu ni kwamba, majukumu yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.