Enyi mlio kwenye mahusiano,
Nini hukujia akilini mwako mwenzi wako anapokuambia anasafiri siku fulani, iwe kikazi, kuhudhuria misiba au matukio mengine ya kijamii kama harusi n.k..? Laiti tungejua...
Habari.
Wakuu naamini kila mtu ana sex principles zake,mimi nikisex na manzi Kuna ishara nikiziona Basi najua ni type au lah.
Twende kwenye Mada sasa.
Huyu Msupa day one nakutana nae(kimwili na...
Msamaha ni jambo lenye nguvu sana. Msamaha ndio nguzo ya mahusiano yote duniani. Hata uhusiano wa Mungu na binadamu umejengwa kuzunguka msamaha kwa sababu binadamu tu viumbe wakosefu.
Katika...
Amakweli tembea uone...., nimekutana na watu mbalimbali ambao wanalala vibaya kitandani mpaka unaweza amua kulala chini upambane na mbu, umpishe kitanda cha size yeyote ile alale peke yake...
Habari za majukumu waungwana wachache mliobarikiwa kuiona siku hii ya leo..
Hivi ni kweli kwamba kuna watu wapo kwenye mahusiano na hawa cheat (hawachepuki) yan both of them are totally committed...
Hakika ni mateso bila ya chuki kuwa na mchepuko.
Simi isiite,
Meseji isiingie.
Presha juu juu.
Yaani hakuna hata raha ya maisha kwakweli.
Simu ikiita usiku, ukaipokelee bafuni tena mke akiwa...
Habari wana MMU;
Leo katika pita pita zangu huko na huko gafla nilikutana na manesi wa hosptali fulani ya serikali,wao walikuwa kwenye zoezi la upimaji wa virusi vya ukimwi kwa wanawake...
Kwa maoni yangu naona napata raha sana wakati wa msuguano nikiwa nagegedana na wala si wakati wa kufika kileleni. Nyie wenzangu wakati gani mnapata raha?
Wadau pombe imekua ikinitesa mda mrefu sasa,imenirudisha sana nyuma kimaendeleo,wanawake wananikimbia na wakati mwengine nashindwa hata kufanya kazi zangu pia network zinakata na najikuta natukana...
Habar zenu wakuu
Takriban kwa mda mrefu sana nilikua naishi kiunafiki kabisa kufake relationship status yangu kwa sababu tofaut ambazo ni ziite kua ni za kijinga
Nilikua napata tafakar kuhusu...
Kumekuwa na imani nyingi sana potofu kwenye mapenzi kwamba ukidate na mtu muda mrefu unamchoka unatafuta mwingine.
Jaman hizi habar sio za kweli zipuuzwe, mimi nilikuw ni mhanga na hapo before...
Wadau mwanamke anayeingia kwenye ndoa na mume wa mtu nakuhakikisha mke halali achwe uolewe wewe.
Mke wa mtu ateswe wewe ufurahi wewe ninani unazaa na mume wamtu unajiita mke wa mtu na wewe.
Hivyo...
Epuka kujifikiria mara mbili mbili ndugu... Usione huruma wanawake wanabadilika kama kinyonga...Roho ikikuambia acha, piga chini nakuambia piga chini faster hakuna kuremba.
Kuna manzi ilibidi...
Naandika haya nkiwa na huzun kubwa,naomba tu nijitambulishe kuwa mm si mfanyakaz wa umma ila kwa kwa mtizamo wangu ulio chanya kabixa naona kuna underground movement kubwa especial kada ya ualimu...
Ni miaka kadhaa karibia mlongo mmoja kwenye ndoa, watoto wawili wa jinsia zote Mungu kajalia tumewapata.
Nyumba na Gari vyote tumejaaliwa katika ndoa yetu, Biashara inakuwa kwa kasi sana kiasi...
Hakika nawaambieni sisi wanaume kwa hizi Barbershop kuzikimbia inataka kama kuwa ngumu hivi?
Kwanza hawa kina dadaz wa Saloon za kiume wameteka sana soko then wanapenda sana Tip. Yaani imekuwa...
Habari wanajamiiforum wenzangu
Natumai mnaendelea vizur na ijumaa kuu na nawatakia na pasaka njema na tulivu
Niende kwenye mada aisee msela wangu si kampoteza mpenzi wake (demu wake) walikua na...
Sifa ni zake mwenyezi Mungu anayetujaalia afya njema mimi na wewe.
Vijana wenzangu ambao bado hatujaoa na tuna malengo ya kuoa naomba tuhakikishe kabisa kabla ya kuingia kwenye maisha ya ndoa tuwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.