Nimeachwa na mpenzi wangu

Nimeachwa na mpenzi wangu

milionea wa kesho

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2015
Posts
328
Reaction score
633
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
 
Hainahaja kuwaza mm mwenyewe nimepigwa chini muda si mrefu kachukua na vizawadi vyote alivyo nipaga wanawake bwana let her go
 
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Acha uree eb tafuta mama kali hapo kitaa uimbishe, unatuaibisha wanaume.
 
Njoo kwangu tuanzishe maisha nipo single miezi 4 . Napenda sana mapenzi ya mbali nakuwa freee
mmh we Demiss nahisi sitakuweza. huwa nakujuchukulia kama danga fulani hivi. yaan tayari nimejijengea fikra kua ww ni jimama jeupe unavaa vikuku mguuni. nahisi sitakuweza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah!
 
Mi nadate na ma Ex wangu saivi sina tabu japo wameolewa wote ila wananipenda hao mpka naogop.
We kiongozi pambanaaa wanamambo mengi pangine anakutest we mbembeleze haikuongezi kitu
 
muda huu napost hapa nimeachwa na aliyekua girlfriend wangu tuliyedumu kwenye mahusiano zaidi ya mwaka sasa.

Ningejua ningelala mapema tu huenda nisingeachwa usiku huu.

kisa cha kuniacha ni haya mapenzi ya umbali mrefu yaani long distance relationship. sasa nadhani huko amepata kijana anamtreat vizuri basi mm nikasahaulika. Hatujagombana wala nini ila ameamua kuniacha eti anaona hana chembe chembe tena za mapenzi.

nimeumia kidogo......nishaachwa mara nyingi kwa hyo nishazoea maumivu ya kuachwa ndio maana sijaumia sana.

kesho naamka nikiwa singo. yote maisha
Pole sana kuachwa sio poa , sie wenye roho ndogo pressure hushuka ghafla,
 
Pumbavu sana...hebu kakojoe ulale....!

They are so many fishes in the pond..
 
Back
Top Bottom