Wadau nawasalimu.
Jamani mimi simuelewi mume wangu, kunako 6 x 6 yeye hataki style nyingine zaidi ya kifo cha mende mie nachoka, najitahidi kubadili mikao labda mie juu yeye chini anaigeuza fasta...
Ni hivi kama wewe ni mwanamke na umekuwa ukiteswa kihisia na wanaume walaghai wa mapenzi nakuhakikishia hivi!
Mapenzi ya kweli yapo kwetu sisi wanaume mabahili maana sisi hatuna kitu cha kuhonga...
Wakuu habar zenu,
Leo nimeona niwape wanaume mambo muhimu ambayo wengi tunajisahau sana kwa hili
Vitu ambavyo unatakiwa kuwa navyo by age of 25+
i) Passport ya Kusafiria
ii) Driving License...
Dah walimwengu wabaya...
Usiku huu kuna mtu hata simfahamu kanifolow Facebook kisha kaja messenger kaniuliza unamfahamu mtu huyu?
Akatuma picha yenye sura ya mpenzi wangu kabla sijajibu akatuma...
1. Mtu asiye sahihi huleta mahangaiko na mateso.
2. Mtu asiye sahihi huleta majuto katika maisha.
3. Mtu asiye sahihi huleta umasikini, taabu na maumivu.
4. Mtu asiye sahihi huleta magonjwa ya...
Poleni kwa misiba miwili mizito watumishi wote wa umma na watanzania kwa ujumla....
Leo nimekuja na swali dogo tu ndugu zangu, Ni sahihi kutunza kumbukumbu za mzazi mwenzio ambae tayari...
Kuna wazazi wanalinda watoto wao wadogo kwa njia ya geti Kali, hiki kitu kibaya sana kwasababu mtoto anakuwa zube zube na anakuwa anakosa utaalamu wa kujichanganya na jamii (social skills)
anakua...
Miongoni mwa watu ambao wanatakiwa kupewa heshima zote hapa duniani ni wadada wa kazi za nyumbani ( house girl), maana hawa wamekuwa wana msaada mkubwa sana katika familia zilizo nyingi. Wamekuwa...
Mwanaume anaweza kumkataa mtoto wake halali kabisa kisha akasingiziwa mtoto wa mwanaume mwingine na akakubali...!!! Mwanaume ni kiumbe cha pekee ambaye anatafuta hela kwa jasho na nguvu kwa ajili...
Jamaa wa kitambo sana toka miaka ya 1990s tulimaliza wote chuo then tukaendelea kuwa marafiki mpaka utu uzima huu.shida ilianza siku moja tunapasua chupa mitaa flani akamwita mchepuko wake uje...
Direct to the point kijana hakikisha mwanamke unayemuoa umemzidi kipato.
1.utapata ujasiri kwenye maamuzi.
2.utapata heshima ndani.
Km akikuzudi kipato utakosa hivyo vitu viwili vilivyo...
Hivi jamani naomba niulize, ni vigezo vipi hutumika kumruhusu raia kumuona afisa wa jeshi?, means raia mwanaume na afisa ni mwanamke, msaada tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaishi sayari ya tatu basi kimoja kati ya hivyo ni addication yako.
Kwangu napenda chini sana sema siku za karibuni mhmm tungi limeanza kunikolea lakin bado alijafikia chini.
Moja kwa moja kwenye mada.Naona kila demu sasa ukimtokea kuna wengine wanakupa kwanza papuchi halafu wanaanza kukumwagia invoices .Vilevile kuna wengine wanakuletea kwanza invoices kabla ya...
HIVI WAPO WAPI SIKU HIZI WANAWAKE WENYE SIFA HIZI?
.
.
1.Anaekuomba msamaha
wakati hajakufanyia chochote kibaya.
.
.
2.Yule anaelia sababu
anakupenda au kukukumbuka.
.
.
3. Anaejaribu kukurudisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.