Mwanaume usiyemfahamu

Mwanaume usiyemfahamu

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Mambo zenu.
Unajua nimekaa nikawaza sana kwanini yanatokea haya unajenga feelings kwa mtu hamjaonana na kweli unamadai kuwa unamwanaume ukiulizwa umewahi muona nope .
Ila tunachatigi how jamani acheni kupotezeana muda.
Unakuta mtu kapenda picha zako kwenye mitandao ya kijamii at the end of everything unakuta unaamini kuwa iko siku utamwona na kuwa naye.
Hujali hata anamke au anademu wewe kukaa nakumuota tu.
Asilimia kubwa huyo mtu kama hayupo karibu yako ni ngumu mtu akate tiketi aje kukuona mtu asiyemjua.
1.Labda kaishiwa mademu
2.Labda naye anataka kuwa na urafiki wa far ila kweli sioni kama unaweka akilini kila kitu anachosema kuwa atakufanya atafanya.
3.Kila mara nahisi kama kunaupotezaji wa muda eti mwanaume kakuziria eti unalia na kumuwaza ukiulizwa eti john .
John mwenyewe ni video calls tu.
Kweliiii.
Je na nyie mnalionaje hili kwa sababu mimi naona kama hizo ni waste of time kudeal na mapenzi ambayo ni kapa.
Hunawahi kumuona mtu halafu eti uko interested???
Inakuja kweli??
love-card-for-boyfriend01.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatakuja huyo achana nae , we njoo kwangu ULAMBELOLO

Write your reply...
 
katoto kazuri bado tu,
kaoge maji ya bahari siku saba mfululizo,utampata atakaekuliwaza ,naona mdogo wangu maloveee yanakupa shida sana,one day utampata tu tuliza bolu,sio kila mutu akikwambia nakumaindi basi wewe fasta unamvulia nguo ndogo kabisana maleggs mpaka dirishani.
 
katoto kazuri bado tu,
kaoge maji ya bahari siku saba mfululizo,utampata atakaekuliwaza ,naona mdogo wangu maloveee yanakupa shida sana,one day utampata tu tuliza bolu,sio kila mutu akikwambia nakumaindi basi wewe fasta unamvulia nguo ndogo kabisana maleggs mpaka dirishani.
Sina shida kihivyo na wanaume eti hamjui ninavyoishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio waste of time, hiyo ni power of love. Labda sema wewe hujawahi kupitia hiyo hatua kwa kukutana na mtu special ambaye anaifanya akili yako ione kwamba kumbe kila kitu kinawezekana.
 
Mi sijawahi kuyaamini mapenzi ya sampuli hiyo! Ninae mmoja yupo Zambia ni mwaka wa pili sasa tuwasiliana tunaitana baby. Anaoneka yupo real ila mi sijawahi amini hicho kitu, alishawahi kuniuliza nikiwa na genye nafanyeje? Nikamwabia watoto wakugegeda wapo wengi mno.
Akaniauliza tangu tuanze kuwasiliana ulishawahi kuwagegeda wangapi? Nikamjibu 6 (kiukweli ni zaidi ya 6).
Aliwaka sana ila nikamwambia huo ndio ukweli. Mi mapenzi ya mbali siyawezi, usitarajie nivumilie genye ilhali Sina uhakika wa kuwa na wewe. Kwakifupi tuna tofauti nyingi sana ambazo mi Binafsi naona ni vigumu kuishi pamoja labda chapa ilale tu. But yeye anaamin tunaweza kusolve na tukaishi pamoja, nimemwambia asahau kutumiwa nauli na mm, kasema nimuandalie yakurudi tu yakuja Bongo atajilipia.
So nasubiri wifi/shemeji yenu kwenye pasaka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sijawahi kuyaamini mapenzi ya sampuli hiyo! Ninae mmoja yupo Zambia ni mwaka wa pili sasa tuwasiliana tunaitana baby. Anaoneka yupo real ila mi sijawahi amini hicho kitu, alishawahi kuniuliza nikiwa na genye nafanyeje? Nikamwabia watoto wakugegeda wapo wengi mno.
Akaniauliza tangu tuanze kuwasiliana ulishawahi kuwagegeda wangapi? Nikamjibu 6 (kiukweli ni zaidi ya 6).
Aliwaka sana ila nikamwambia huo ndio ukweli. Mi mapenzi ya mbali siyawezi, usitarajie nivumilie genye ilhali Sina uhakika wa kuwa na wewe. Kwakifupi tuna tofauti nyingi sana ambazo mi Binafsi naona ni vigumu kuishi pamoja labda chapa ilale tu. But yeye anaamin tunaweza kusolve na tukaishi pamoja, nimemwambia asahau kutumiwa nauli na mm, kasema nimuandalie yakurudi tu yakuja Bongo atajilipia.
So nasubiri wifi/shemeji yenu kwenye pasaka.


Sent using Jamii Forums mobile app
Very niceee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: B51

Similar Discussions

Back
Top Bottom