Habari wakuu,
Kama ilivyo kawaida kwa dini zetu kwa utaratibu tulioukuta wa kufunga swaumu, hii inajumuisha kujinyima vitu vingi ambavyo vipo katika taratibu ya swaumu husika
Ila kuna hili...
Wakuu,
Hii naongea kutokana na experience niliyo nayo.
Kati ya wanawake wote niliopita nao miaka miwili mitatu iliyopita, ikitokea accidentally or intentionally sikubeba kinga, basi nikitaka...
Huyu dada anashambuliwa sana kwa kuolewa na Marehemu Mengi, kwamba kafuata hela,golddigger etc. Sasa najiuliza hawa wanaomponda(wanawake) ni wangapi wangepata proposal ya kuolewa na late Mengi...
Stockholm syndrome ni ugonjwa wa kisaikolojia ambapo mtu anaye nyanyashwa anajikuta anatengeneza hisia za kumpenda mtesi wake unconditional.
It sounds a bit strange for someone to have...
Wanajamii habari za mda huu
Bila kuwachosha Mimi ni mkristo nilioa mwaka 2017 nilioa na huyu niliyemwoa ni mwislam
Na mwanzo tulikuwa tunahudhuria sana kanisani kabla ya ndoa na baada ya ndoa...
WOSIA WA BABA KWA BINTI YAKE KABLA YA HARUSI
Mwanangu nisikufiche watu wengi huchangia sherehe ili waje kula na kunywa na kuoneshana fahari, ukoo wa Mume Vs ukoo wa mke hawa kwenye Send-off na...
Nawaulizia hasa hawa wawili. Wa kwanza ni Mkuu CHAI CHUNGU. Huyu ni mwanzilishi wa simulizi za kusisimua na zenye muendelezo. Amepotea sana.
Wa pili ni Mkuu Zahra White. Huyu alijipambanua kama...
"Usije kukimbilia kuoa/Kuolewa kwa sababu unampenda na hutaki kumpoteza"
Vijana wenzangu leo tukumbashane mambo machache tu hapa kwenye mahusiano,
Katika pita pita zako unaweza kujikuta tu...
Kuna mwanamke nimehusiana nae mwaka mmoja kanionesha upendo hadi siamini hata akitokea manzi gani sizani kama hataufikia. Asante mungu kwa kuniletea mwanamke sahihi. Mambo yakae sawa nioe kabisa...
Wasalaam wakubwa..Sina mengi ila kwa utafiti nilioufanya leo nimegundua asilimia 85 ya Wa'Tanzania leo wameangalia Porno video,Na nnahisi Pale porno hub ishawekwa category ya Pastors Porno(Natania...
Naandika ujumbe huu nikibubujikwa na machozi hapa machame baada ya kushuhudia maelfu ya binadamu wenzetu wakitokwa na machozi kama matone ya mvua wakimlilia mzee Dr Mengi.
Nimejifunza kuwa ukiwa...
Waelewe/Wafahamu Wanaume (Understand Men)
Habari za muda kidogo wasomaji wa makala ninazoziandika hasa kuhusu saikolojia na maisha karibu katika makala inayohusu kuwaelewa wanaume.
Niombe radhi...
Kama mtu anakupenda na anakujali lazima atafanya jitihada ya kutengeneza muda wa kuwa karibu na wewe bila ya kujali ubize au umbali uliopo baina yenu.
.
Atakuwa karibu na wewe kwa kila namna...
Huwa sielewi kabisa.na sijui lengo ni nini.
Kwa nini mtu hujirekodi wakati wa mgegedo .
Je utamu unazidi?
Ni kuigaiga?
Ujinga? Au
Ni nini?
Mpaka maaskofu ? Shit
Wadau wa JF, nimetokea kumpenda msichana mmoja ambaye nasoma naye chuo. Nilishamwelezea hisia zangu juu yake akanielewa na kukubali tuanzishe mapenzi, ilikuwa 2017. Mpaka leo bado nawasiliana naye...
Mimi niseme, naomba watu wanaojua tiba za asili waendelee kutoa elimu jinsi ya kutumia dawa za asili kwani, tunazidi kuangamia watanzania.
Dawa kama nyonyo(mnyonyo) nahitaji kujua inavotumika kwa...
Kila mwanaume anapenda kua fundi wa tendo la ndoa akiwa faragha na mke au mchumba wake lakini bahati mbaya sana hakuna kanuni maalumu ya kumsisimua mwanamke kwani kila mwanamke ana eneo lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.