Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wadau bila shaka hamjambo ! Kitaaluma mimi ni mwanasaikolojia (Degree) jina langu sio kubwa sana kwa maana ya kujulikana kwa watu wengi licha ya kufanya kazi hii kwa miaka 3 sasa. Tatizo kubwa...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili,na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure,je ikitokea mzalishaji umevuta pumzi ya mwisho, mzalishwaji atakuwa na...
3 Reactions
45 Replies
3K Views
  • Closed
Habari wanajf na heri ya pasaka. Niende kwenye lengo la uzi...mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miezi 7 nina miaka 26. Miezi 3 iliyopita nilitengena na mzazi mwenzangu ambaye alishanitolea mahari...
7 Reactions
247 Replies
19K Views
Kama Mada inavyojieleza Kuna binti alikua anadate na kakangu miaka ya 2003 mpaka kwenye 2006 hivi. Ina maana huyu binti alikua shemeji yangu na alitakiwa anitambue kama Mimi ni shemeji yake...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Inaumiza na kufunza. Nmekopy kwenye group moja la WhatsApp “Baba Karanga za Diamond! Baba nataka Karanga za Diamond!” Huu ni ule wakati ambao unasimama kwenye foleni na unatamani hata...
39 Reactions
107 Replies
11K Views
kikubwa siyo watu wote wanafaa kuwa marafiki hasa hasa unaodhania ama kuwachukulia kuwa ni watu wenye kujua maana ya maisha!! kikubwa siyo watu wote wnafaa kuwa marafiki wengine ni wanafiki na...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wakuu?naenda moja kwa moja kwenye mada. Miaka 15 ijayo kuwa mke mwenza itakuwa kawaida sana,kwani wanawake wanazaliwa kwa wingi sana. Kwa kila familia sasa utakuta wanawake idadi yao ni...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Amekukumbuka sana ila hatakutafuta tena. Kwa muda mrefu sasa amejitahidi mno kuonesha mapenzi kwako ili kukufurahisha. Kwa muda mrefu sana amekuwa akitenga muda wake kukumbuka na kukujali. . Kwa...
6 Reactions
34 Replies
3K Views
Naitwa ABEL...age 21..... Nilikuwa na urafiki na binti ambaye ni jirani yetu..kwani wazazi wetu walikuwa marafiki wakubwa hadi kufikia stage ya kuombana chumvi,..Nk. Urafiki wetu uli ibua hisia...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
1,Hawapendi kuambatana na mpenzi au mke mitaani hasa muda wa mchana na huku wameshikana mikono. Na sisi wanawake tunapenda mapenzi ya hadharani,mshikane mikono ili mwanamke aonekane yeye ndo...
9 Reactions
35 Replies
5K Views
Ukiona mama yako bado yupo hai shukuru sana mungu wapo wanamlilia mama lakini hawamuoni Ni rafiki yangu na jirani yangu ambaye alipoteza mama akiwa mdogo, std 7 kipindi hicho,baada ya mama yake...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Kutoka enzi za adam na Hawa mpaka sasa kinamama wamefanya kazi kubwa sana, kazi yao kubwa na njema inaonekana miongoni mwetu tunaoishi sasa hivi na hata walioondoka juu ya uso wa dunia. Ni...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika miaka ya karibuni kumekuwa na upungufu mkubwa wa wanawake wazuri. Kwa sura, shape au mwonekano hasa mijini. Pengine hii inatokana na mabadiliko ya tabia ya nchi na ukweli kwamba watu siku...
11 Reactions
30 Replies
4K Views
Nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu na kwa sauti kubwa bila majibu yoyote. Hivi kuhondomola ni hitaji muhimu la binadamu au watu tunajiendekeza tu? Kwani ku-du ni lazima? Nauliza hivi...
5 Reactions
338 Replies
79K Views
MTOTO AUWAWA BAADA YA KUUZWA NA BABAYAKE MZAZI MKOAN MBEYA. _____________________________________ Jeshi la polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watu wawili waliofahamika kwa majina ya 1.Japhet...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau eti wanasema humu mimi katoto kazuri nawadharau watu wazima. Sasa mpaka miaka mingapi humu wapo watu wazima wanaodai wanadharauliwa? Nautadharauliwaje kama nawewe kichwa hakisomi...
3 Reactions
73 Replies
5K Views
Salaam wakuu, habari za jioni. Nimekaa nikatafakari nikaona nilete kisa changu hapa jukwaani ili tuwe makini na binadamu, japo mimi nimebaki sina mtoto tena, itawafaa hata wazazi wengine wenye...
27 Reactions
115 Replies
10K Views
Habari zenu wana jf Leo nimeamua kushare na nyie kitu nilichofanyia utafiti kwa muda mrefu. kitu chenyewe ni kuhusu wanawake wengi wa kihindi kuto kata vuzi,kwanza nilitembelea website kadhaa za...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
😥😥😥😥😥😥
3 Reactions
166 Replies
15K Views
Kufuatia suala la nguvu za kiume kuwa jambo kubwa hadi kutinga mjengoni kwa waheshimiwa, pia vyombo mbalimbali duniani vya habari yakiwemo mashirika ya BBC na DEUTSCHE WELLE yanaripoti kuwa...
11 Reactions
194 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…