pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 518
- 815
Habari wakuu?naenda moja kwa moja kwenye mada.
Miaka 15 ijayo kuwa mke mwenza itakuwa kawaida sana,kwani wanawake wanazaliwa kwa wingi sana.
Kwa kila familia sasa utakuta wanawake idadi yao ni kubwa kulinganisha na wanaume wanaozaliwa.
Hivyo kuoa wanawake zaidi ya wawili itakuwa kawaida sana na istoshe wanawake wenyewe wataweza kuoa wanaume.
Hivyo idadi kubwa ya wanawake imeongezeka sana kwa sasa kutokana na takimwi za duniani.
Wanawake wote jiandaeni kisaikolojia kwa hili.
Miaka 15 ijayo kuwa mke mwenza itakuwa kawaida sana,kwani wanawake wanazaliwa kwa wingi sana.
Kwa kila familia sasa utakuta wanawake idadi yao ni kubwa kulinganisha na wanaume wanaozaliwa.
Hivyo kuoa wanawake zaidi ya wawili itakuwa kawaida sana na istoshe wanawake wenyewe wataweza kuoa wanaume.
Hivyo idadi kubwa ya wanawake imeongezeka sana kwa sasa kutokana na takimwi za duniani.
Wanawake wote jiandaeni kisaikolojia kwa hili.