Nilichojifunza ni nini maana ya marafiki

Nilichojifunza ni nini maana ya marafiki

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
677
kikubwa siyo watu wote wanafaa kuwa marafiki hasa hasa unaodhania ama kuwachukulia kuwa ni watu wenye kujua maana ya maisha!! kikubwa siyo watu wote wnafaa kuwa marafiki wengine ni wanafiki na wazandiki wakubwa....!! hasa hasa makazini ama kwenye maofisi tabia za kuzungukana ni nyingi mno ... pia kitu ambacho nimejifunza kwa sisi binadamu ni kwamba tumezungukwa na vinasaba vya #usaliti hapa hakuna kuelezea sana maana hili la usaliti kila mtu limempata kwenye maisha yake ya hapa duniani!!

Yaani utakuta mtu uliyekuwa unamuamini na kumchukulia kama ndugu ndiyo huyohuyo atakayekuchafuachafua na kukuchonganisha haswaaa na watu wengine .... ndiyo maana hata yesu alisalitiwa na wanafunzi wake ..... funzo: usimuamini mtu
 
Trust none. Mimi napiga kazi taasisi fulani. Yaan hapa mtu anajifanya anacheka nawe lakini anakuloga moyoni. Unafiki ni mkubwa sana. So baada ya kujua hzi tabia nilichagua maisha ya kuishi kivyangu na huwa sipendi kabisa kupiga story za umbeya. I live my life
 
Mika 7
5 Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.
6 Kwa maana mwana humwaibisha babaye, na binti huondoka ashindane na mamaye; na mwanamke aliyeolewa hushindana na mavyaaye; adui za mtu ni watu wa nyumbani mwake mwenyewe.
7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

Hii niliikopi hapa hapa jf kuna mdau aliiweka baad aya tukio la mheshimiwa Lowassa kuhama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom