Ukimzalisha mpangaji wako,je.......?

Ukimzalisha mpangaji wako,je.......?

Bandu Ncheche

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
512
Reaction score
326
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili,na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure,je ikitokea mzalishaji umevuta pumzi ya mwisho, mzalishwaji atakuwa na haki ya kuendelea kuishi kwenye ile nyumba bila kulipa pango kwakuwa alizaa na marehemu mwenye nyumba?
 
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili,na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure,je ikitokea mzalishaji umevuta pumzi ya mwisho, mzalishwaji atakuwa na haki ya kuendelea kuishi kwenye ile nyumba bila kulipa pango kwakuwa alizaa na marehemu mwenye nyumba?
Kwanza futa kauli ya ''Kumzalisha'' Kumbuka mwanamke si ng'ombe!
 
Lazima alipe kodi,maana hakuna atakaye thibitisha hayo
Uthibitisho ni watoto ambao wanatumia majina ya marehemu,Ila enzi za uhai wa wake marehemu na mchepuko wake walikubaliana iwe siri Sana kwa ajili ya kunusuru ndoa yake,na baadhi ya ndugu wa mwanamke walikuwa wanamtambua huyo baba watoto
 
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili,na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure,je ikitokea mzalishaji umevuta pumzi ya mwisho, mzalishwaji atakuwa na haki ya kuendelea kuishi kwenye ile nyumba bila kulipa pango kwakuwa alizaa na marehemu mwenye nyumba?
Huyo sio mpangaji tena. Maza house huyo. Kodi za wapangaji wengine ana haki ya kuzipangia matumizi
 
Tayari ameshakuwa sehemu ya familia ya mwenye nyumba.
Umemzalisha mpangaji wako mtoto mmoja au wawili,na baada ya kumzalisha ukaamua kumsamehe kodi ya nyumba akawa anaishi tu bure,je ikitokea mzalishaji umevuta pumzi ya mwisho, mzalishwaji atakuwa na haki ya kuendelea kuishi kwenye ile nyumba bila kulipa pango kwakuwa alizaa na marehemu mwenye nyumba?
 
Uthibitisho ni watoto ambao wanatumia majina ya marehemu,Ila enzi za uhai wa wake marehemu na mchepuko wake walikubaliana iwe siri Sana kwa ajili ya kunusuru ndoa yake,na baadhi ya ndugu wa mwanamke walikuwa wanamtambua huyo baba watoto
Basi huyo mwanamke atakuwa fal* kukubali kuzalishwa watoto wawili alfu hana uhakika wa maisha ya watoto na huyo m'ume
 
Back
Top Bottom