Habari WanaJF,
Katika hulka zetu za ujana huwa tunapita pita wanawake tofauti kabla ya kuamua ku settle down
Tatizo lina kuwa tofauti na wanaume, wanawake wengi hawapendi kufanya mapenzi bila...
Wakuu,kuna bint m1 ....eniwei ,huyu bint ana kamshahara kanachompa jeur sana...yaan kiufup ni bint mjeur,..
Sasa nmemwambia kama anaweza kila mtu afanye yake,naona yeye ndo anapata tabu sasa,mim...
Katika pitapita zangu maeneo fulani tukiwa kijiweni, alipita jamaa akiwa ameambatana na kimada chake kabebeshwa mkoba wa kike huku kimada kikiwa hakijabeba kitu chochote tena mkoba wenyewe...
Tuacheni masikhara.. kuna wanawake akikupa hata kwa bahati mbaya,,, lazima urudi tu.
hata kama ulikuwa mzee wa kupita na kutembea lazima urudi tu.
Kuna mdada mwaka desh desh alikuwa cashier...
Hongereni sana kwa kuvumilia yote,nyinyi ni zaidi ya Wapinzani wa Tanzania kwa uvumilivu.
Daaaa[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Sirudii tena labda niwe na uhakika Mzazi mwenzake...
1.mwanachuo
2.mfanyakazi wa oficin
3.single mother
4.teacher
5.mlevi
6.Beki 3
7.Baamedi
8.Muimba kwaya
9.Mwanafunzi
10. Police/mwanajeshi/traffic
11.kondakta
12. Hana kazi
Kama upo unamiliki...
Kwakuwa jf most of us tunatumia ID fake ila nimewaza nikaona kwanini kila mke anayeolewa na mwanaume amdanganye kuwa amedate na wanaume wawili au mmoja tu wakati si kweli kisa hana bikra!
Hivyo...
Mshua alinichana usipooa mwanamke mwenye degree kuendelea usije kuniambia shida yoyote sasa maneno yake nimeanza kuyaelewa anamaanisha Nini? Nilijifanya kichwa ngumu sasa naanza kufanyia kazi...
Hivi inakuwaje mtu anamuacha mpenzi wake Chumbani halafu anaenda kupiga Chabo?!
Hivi kuna raha gani ya kwenda kuchungulia watu wakifanya mapenzi ndio uamshe hisia zako?!
Unamuacha Mtoto mzuri...
Weekend ndio hiyo imeanza naona watumishi wamekaangwa magu kaondoka na funguo za hazina kulipa mshahara mpaka ageuke,
Wale watafutaji wenzangu uko wapi weekend hii na unakula bata na nani...
1.Unamuoa wakati ameshapevuka kiakili tayari.( Hana utoto utoto)
2. Atalea vizuri watoto mtakaoza kwa sababu ameshalea Mtoto wa kwanza kwa hiyo ana uzoefu.
3. Anajua thamani thamani ya kupendwa...
Binafsi siwezi kurudiana na ex wangu sababu ni udhaifu wa kiwango cha lami.Kuna watu unakuta waliachana na wapenzi wao kwa zaidi ya mwaka mmoja au miwili lakini mwishowe unakuja kusikia kwamba...
Hii mitandao ya kijamii imerahisisha maisha sana, yani unakutana na watu wengi ambao mkielewana mnakuwa jamaa wa karibu kabisa.
Sasa kuna wale ambao tumekutana na Wapenzi wetu mitandaoni, huku...
Habari wanajamii,
Mama yangu hataki nifanye kazi anataka niolewe, nimepata kazi Arusha nimemuaga mama kwamba natakiwa kwenda kuripoti akakataa nikamuuliza
kwanini unakataa akaniambia anataka...