Ulishawai kukutana na hii kitu

Ulishawai kukutana na hii kitu

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
812
Nilienda gest house flan na manzi, Nilishangaa sana kuulizwa Kitambulisho cha taifa.kanikomalia kabisa hakutaka kunipa room.
Nilisepa na mzigo sikula.
Hizi sheria jamani jaribuni kubadilisha nyie wamiliki wa hiyo gest.
 
Be specific ulienda wapi? Watu watembee na vutambulisho bana😂😂😂😂
1, guest house ( nzengo)
2, lodge
3, hotel
 

Attachments

  • Monkey-ef2e3df4-0a20-44b6-83a6-2d3507ff90a7.jpg
    Monkey-ef2e3df4-0a20-44b6-83a6-2d3507ff90a7.jpg
    57.8 KB · Views: 17
Back
Top Bottom