Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Dah! Mimi wiki mbili zilizo pita nilipewa zawadi ya simu na my main chick, ikabidi ile infinix niliyokuwa natumia nimpe side chick atumie mpaka atakapo nunua simu nzuri.. Bahati mbaya tumegombana...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi nikiwa na hela naenda zangu bar nakunywa zangu bia Sina habari kabisa na mapenzi napita mademu Kama vile siwaoni.lakini nikiwa Sina hela mademu nawaona wazuri wote naanza kutamani mpaka...
2 Reactions
30 Replies
5K Views
Jamani vijana wenzangu tuache kugawa hovyo pesa zetu, kama nduguyo anasema ana shida njaa inamuuma, mwache afe na njaa..kwani njia yetu sote ni moja..Kama ww ni mtoto tegemea wazazi, kama ww ni...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
ITUNZE CHUPI YAKO IMEBEBA MAANA KUBWA SANA KATIKA MAISHA YA NDOA IMEANDALIWA NA SANTOS AMAN MWAKOMO Pole na majukumu ya hapa na pale, natumai u mzima wa afya nami vivyo hivyo. Leo nimependa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
N'na swali dogo tuu hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before...
18 Reactions
329 Replies
24K Views
TAARIFA: Mahakama Kuu imemhukumu kunyongwa mlinzi wa shule ya Scolastica, Hamis Chacha kwa kumuua mwanafunzi, Humprey Makundi huku mmiliki wa shule, Edward Shayo na mwalimu wa nidhamu, Labani...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
*Breaking News* *UN publishes 1st quarter Demography Report 2019* There are 7.8Billion people on planet. (earth). The report shows Women = 5.6Billion Men = 2.2Billion So, they advised women...
0 Reactions
6 Replies
831 Views
Mimi na future husband tuna watakia eid mubaraq watu wa humu mmu mkue na eid njema. Hatuja funga lakini tunashe rehekea eid 😂 Kama kuna kushe rehekea eid bila ya kufunga ramazan sasa kwanini...
2 Reactions
2 Replies
821 Views
Jamani mm nilikua naomba kujua mtu akitaka kufunga ndoa ya bomani anafata taratibu gani.. Maana kuna mtu kaniambia nilete copy ya passport ya mwanamke booking ticket na cheti changu cha kuzaliwa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Leo walengwa hapo juu naombeni mnisaidie Mimi NYOTIENO JARIEKO kumwelezea huyu mdada{ Edelyn } kwenye kikao chenu Mambo yafuatayo. 1.Nampenda Sana Kama madikteta wanavyopenda madaraka. 2.Nipo...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakuu mwanangu Ana mwaka na nusu Sasa. Namshukuru Mungu anaendelea vizuri ila shida ni moja. Anapenda kuchezea simu tu.nimejitahidi kumnyima ila anapiga yowe Dar nzima Yaani ukifika nyumbani...
6 Reactions
96 Replies
8K Views
Hii ni mahususi kwa vijana wa kiume ndio ambao hupitia hii kitu sana. Kuna yule mwanamke ambae kipindi ukiwa shuleni ulikuwa ukimtaka sana na ulimuonyesha kila dalili za kuwa unamuhitaji na...
32 Reactions
268 Replies
23K Views
Nimeitazama hii video, Nimeshangaa kweli ni kwamba wanaume hawapo hadi kufikia wadada kutumia Dildo. Tena sio katika mlango wa mbele, ni mlango wa nyuma, bahati nzuri ikazama yote nzima ikabidi...
2 Reactions
75 Replies
11K Views
Wadau naomba tuzijadili kwa kina tabia za wanawake na wanaume katika mahusiano. Kwa kuanza, kuna mdada mmoja tulikutana tukawa tunawasiliana. Baadae nikaona nimwambie haja ya moyo wangu...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Msaada kwa anaefahamu upatikanaji wa hii product "nuru gel au nuru powder". Hutumika kwa masaji..nawasilisha wanajamvi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanajamvi Natafuta mwanamke aliye serious ambaye atakuja kuwa mke mwema kwangu, .Awe na sifa zifuatazo kwa ufupi; 1 Awe mcha Mungu 2.Awe Mkristo ,kama ni muislamu awe tayari kubadili dini...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari za weekendi wana jamvi naamini mawazo yenu utakuwa usefully sana kwangu. Nipo katika mahusiana na binti mmoja mkoa fulani hivi ila mimi nipo mkoa mwingine. Tumekuwa katika mahusiano mda...
3 Reactions
102 Replies
9K Views
Rafiki yangu sana toka tukiwa shule tunashauriana kwa kila kitu mpaka kufikia hapa ila hili hata mimi limenizidi uwezo hivyo nimeleta kwenu wanajamvi mumshauri. Alikuwa na mahusiano na mwanamke...
3 Reactions
31 Replies
6K Views
Aisee watu wanaongoza kwa kuweka password kwenye simu, hadi kwenye sms na kwenye phonebook. hivi mkaka/ mdada ukifa leo nani ataitoa lock kwenye simu yako.
6 Reactions
52 Replies
4K Views
Back
Top Bottom