Sijui itakuwaje?

Sijui itakuwaje?

Status
Not open for further replies.

Akilitime

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
581
Reaction score
763
Wasalaam!

Hapa nawaza sijui itakuwaje, kuna mwanamke tulifamihana last year kupitia humu Jf. (Jina sitaki)

Huyu mwana mama ananikubali kinyama kutokana na swaggaz zangu zilizojaa uongo uongo.

Mara aniite mme wake, kiufupi ni kama mtu na mpenzi wake ila tatizo linaanzia hapa hatujawahi kukutana hata siku moja zaidi ya mawasiliano ya mitandaoni tu.

Sasa nimempanga naye kapangika kwa ajili ya kukutana, ili tukafanye yanayofanywa sirini.

Hayo tisa, sasa bhana kutokana na story ambazo nampigishaga huyu kiumbe, basi akilini mwake anahisi nina maisha high class. Kwanza anaamini nipo ofisi kubwa sana hapa mjini, pili anaamini nina gari moja matata(mwenzake hata kirikuu sina😂)
Tatu anahisi mimi ni handsome zaidi ya mahandsome wote waliowahi kutokea ( wakati picha mda mwingine zinadanganya).
Binafsi sipendagi kujiweka low hata kama nipo low.

Sasa hapa naona uwongo umekaribia ukomo.
Kama kuna mtu yeyote alishawahi kukutwa na hii issue afu akaisolve
kirahisiii tongezeane ujuzi wakuu.

Au kama we ni je na yashawahi kukukuta vipi twambie uliamua nn pale unapokutana na kile ulichokuwa hutegemei
 
Kama mmezoeana sana hakikisha unamuandaa kisaikolojia hiyo siku mtakayokutana naye ni lazima aliwe kiboga,nayeye awe anakuja kwa yote
1 kufahamiana
2 kuliwa kiboga

Kuhusu mandinga na mafekeche hayo usiwaze,jipige pige tafuta hotel nzuri akija akukute hapo hotelini..
Kabla hajafika hotelini andaa mazingira kwamba hutembei na gari yako hotelini wewe ni mtu mkubwa hivyo unafatiliwa..
Ukishamla kiboga kwisha habari yake
 
Kabla hajafika hotelini andaa mazingira kwamba hutembei na gari yako hotelini wewe ni mtu mkubwa hivyo unafatiliwa..

😂😂😂....Iyo statement ya mwisho imenchekesha sana mkuu,
Inaonekana we ni proffesional wa haya mashambulizi ya kijanja. By the way nimeyaelewa maneno yako. Kuhusu kuandaliwa kisaikolojia yeye tayari anaelewa anakuja kufanya nini.
Disco lilikuwa pale akikuta hakuna uhalisia wa yale aliyokua akiyawaza na kuyaamini.
😂😂Wanawake bhana

Kama mmezoeana sana hakikisha unamuandaa kisaikolojia hiyo siku mtakayokutana naye ni lazima aliwe kiboga,nayeye awe anakuja kwa yote
1 kufahamiana
2 kuliwa kiboga
Kuhusu mandinga na mafekeche hayo usiwaze,jipige pige tafuta hotel nzuri akija akukute hapo hotelini..
Kabla hajafika hotelini andaa mazingira kwamba hutembei na gari yako hotelini wewe ni mtu mkubwa hivyo unafatiliwa..
Ukishamla kiboga kwisha habari yake
 
Hii ingekuwa ni kweli usingekuja kuomba ushauri hapahapa alipo kwa I'd hii hii anayoijua usitufanye watoto
 
Mrejesho lazima, Afu sio kwamba mm ni kapuku kupitiliza hadi nikope hela ya room. 100k ya kulipia room per day siwezi kosa aisee. Iyo hainihitaji kukopa Mkuu, Simu nzuri ninayo pia na sio Tecno.

Azima simu, azima gari, azima chochote unachoona kinahitajika, kopa lipia room nzuri.... Kapige show ya kibabe, kila laheri usiache kuleta mrejesho
 
Mrejesho lazima, Afu sio kwamba mm ni kapuku kupitiliza hadi nikope hela ya room. 100k ya kulipia room per day siwezi kosa aisee. Iyo hainihitaji kukopa Mkuu, Simu nzuri ninayo pia na sio Tecno.
Okay basi shida yako ni moja tu HAUJIAMINI
 
[emoji23][emoji23] mkuu vaa kitajiri.. Tafuta hoteli nzuri alafu mwambie mkutane hapo... Kodi gari, hakikisha una simu ndogo na kubwa... Hiyo ndogo iwe Nokia tochi[emoji23][emoji23]

Hakikisha wallet imevimba(weka ata makaratasi)

Kama huna uwezo wa kukodi gari... Wahi hotelini wakwanza , alafu mkikutana unajifanya unalalamika, unapiga simu ya uongo unajidai unamuuliza fundi hiyo gari utamaliza kutengeneza sangap?

NB:Usiwe muongeaji sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom