Kwa wale wazoefu waliopo kweny ndoa

Kwa wale wazoefu waliopo kweny ndoa

kijazi07

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
1,036
Reaction score
2,237
Naomba kujua ni muda gani sahihi au unaofaa kuwa kwenye uchumba
Na vitu gani muhimu mtu anahitaj kuvi chek kwa mpenzi wake kabla ya kuoa
 
Du unauliza muda wa nini sasa ukiona umefika muda wa kuoa wewe oa utakayempenda hakuna binadamu kamili we oa umpendaye mengine utacheza humo

Ulipoenda shule ulikuwa unajua unachoenda kusoma? Hasha hata kwenye ndoa hivo hivo mwanaume mwoga ni aibu ya babaye

Mwanaume waweza kutengeneza future yako utakayo
 
Nadhani hujajua unahitaji nini bado, ukishajua utajua nini unahitaji
 
Oa tu, mkishindwana tutawapa ushauri wa kutalikiana, ukitaka kujua tabia halisi ya patner weka ndani, uchumbani hata iwe miaka 6 kuna vitu atajificha ila mkishaingia ndoani, ewaaaa utaona CINEMA zote😁😁
 
Mwanaume hana umri Ni pale ukiwa na uwezo wa kutunza familia,una mwanamke sahihi na moyo wako unajisikia kuoa...

Hayo mambo matatu yanaenda pamoja, usioe kama huna uhakika wa kulisha familia,usioe km huna mwanamke sahihi na usioe km moyo wako bado hauoni umuhimu.
 
Naomba kujua ni muda gani sahihi au unaofaa kuwa kwenye uchumba
Na vitu gani muhimu mtu anahitaj kuvi chek kwa mpenzi wake kabla ya kuoa
Kwa akili zako hizi zakuuliza uliza nakushauri usioe kabisa utakufa kabla ya mdawako
 
No formula ni kama NECTA ya kuchagua. Nina jamaa alitangaza kwenye disco anayetaka kuolewa binti akajitokeza mpaka leo wanna watoto wanna. Demu mmoja chuoni alitolewa out na mfanyakazi wa serikali hakurudi hostel mpaka leo miaka kumi wako pamoja. Ukichumbia mchaga itakuchukua muda lazima ndugu wajue kwenu physically, kazi yako n.k
 
ukishakua na walau 10m kwenye account yako
 
Hakuna muda maalumu wewe na mwezi wako ndio waamuzi.
Kikubwa ni kuangalia vigezo vyako ulivyojipangia. Mkeo awe wa namna gani
 
Back
Top Bottom