Mambo vipi ndugu zangu kuna mwanamke nina date nae yapata sasa ni mwaka mmoja sasa, tatizo kila nikilala nae huwa naota ndoto za kutisha hii inamaana gani
hua nalala nae mara nyingi sana kwa week...
Jumamosi na Jumapili ni siku za kukutana na jamii yako inayokuzunguka,ikiwezekana hata ndugu zako walioko kijijini n.k Sio kila siku kujiweka bize kutafuta ela/fedha,fedha huwa...
Kuna Harusi moja nimeiona imefanyika nchi Jirani tu hapo ambapo Kwanza wakati Bwana Harusi anaenda Kupeleka Mahari kwa Wakwe zake alikodi Helikopta. Siku ya Harusi yenyewe ilifanyika ndani ya Ziwa...
Kumekuwa na mkanganyiko au malumbano mbalimbali kuhusu wanandoa baada ya harusi kwenda haney moon na wakati mwingine kupelekea hadi wanandoa kuanza kununiana siku mbili tuu baada ya kufunga ndoa...
Kwa wale wadada ambao hutuacha na kusema sisi sio type zao na kwenda kwa wazee (sponsors) malipo ni hapa duniani, yani mkizaa mabinti zenu na wenyewe wataanza kutufuata sisi wakati huo tushakuwa...
Assalam aleikum wanazengo.
mie binafsi baada ya M/Mungu kujalia ujauzito kwa mkewangu kipenzi aka cheupe wangu nilifurahi sana kwani soon nitaitwa baba fulani maana kuitwa jina moja tu...
Kama mnavyojua mahusiano yakiwa mapya kila mtu anajitahidi sana kuficha baadhi ya tabia zile ambazo siyo na ni kwa sababu ya kutotaka kumkela mwenza wake au asionekane mtu wa namna gani vipi...
Wazee wenzangu,habari zenu?
Nawasilisha kwenu hili angalio langu kuhusu hawa madada zetu..
Mie napenda mwanamke choclate au maji ya kunde lakini katika hilo sikuwahi kumpenda mwanamke wa sifa...
Mwana jamvi
Kuna vitu au mambo ambayo yapo juu ya uwezo wako huwezi kufanya.
Kipi hicho mdau funguka...
Kwa kweli Mimi kuna mawili
★kubadili dini/ dhehebu
★kufanyiwa tohara(kutairiwa)
Hapo never...
Naenda moja kwa moja kwenye mada!
IPO hivi mjengoni ninaishi na rafiki yangu mmoja hivi sasa kuna siku Demu wake alikuja kumtembelea akiwa na rafiki yake mmoja hivi walikaa kama dk 15 then...
Habari zenu wadau, kuna jamaa mmoja huko zimbabwe anaitwa Tafadzwa Fichani amejisifu kuwa amekwisha kulala na wanawake zaidi ya 1000 hadi sasa
Huyu jamaa anajihusisha na biashara ya kuuza madini...
Kylln alikuwa ana-date na mzee mengi kwa ajili ya pesa lkn alikuwa na mchepuko wake, handsome boy anaeitwa hussein, kwahiyo kylln alikuwa amempenda Hussein toka moyoni na sio mzee mengi, mzee...
Walahi nawambia,sisi wanawake tuna kajitabia fulani tulikoaminishwa kuwa kupendwa lazima upewe hela
Yaani ili uonekane unapendwa akupe hela ya matumizi,huo ni ushamba
Utawakuta wanawake...
"Imebainika kuwa wanawake wenye makalio makubwa manene walio wengi huzaa watoto wenye akili sana, na hasa pale wanapoendelea kuwanyoshesha watoto wao maziwa yao."
Fat found in women's bottoms...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.