PALE UNAPO OMBA NAMBA ZA DEMU KWA MSHIKAJI.

PALE UNAPO OMBA NAMBA ZA DEMU KWA MSHIKAJI.

lusko

Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
16
Reaction score
12
Wale tunaopenda kuomba namba za mademu,unapewa afu unapiga demu anakuuliza namba yangu umetoa wapi afu umezuiliwa kumtaja aliyekupa namba,afu demu anakuuliza umenijuaje na ww ni nani na unataka nn,majibu munayo.
 
Wakati nikiwa bado mwanafunzi/bachela,nikipata namba nilikuwa natuma meseji kama nimekosea,nitatuma meseji nyingi kama kulalamikia uhusiano wangu......asipojibu najaribu kupiga,akisema nimekosea namba ndio najaribu kuanzisha mahusiano ya kawaida baadaye mengine yanaendelea.
 
Mwanaume huwa hashindwi kitu aisee
Wakati nikiwa bado mwanafunzi/bachela,nikipata namba nilikuwa natuma meseji kama nimekosea,nitatuma meseji nyingi kama kulalamikia uhusiano wangu......asipojibu najaribu kupiga,akisema nimekosea namba ndio najaribu kuanzisha mahusiano ya kawaida baadaye mengine yanaendelea.
 
Back
Top Bottom