ajent45
Senior Member
- Mar 20, 2017
- 158
- 162
Habari zenu wadau, kuna jamaa mmoja huko zimbabwe anaitwa Tafadzwa Fichani amejisifu kuwa amekwisha kulala na wanawake zaidi ya 1000 hadi sasa
Huyu jamaa anajihusisha na biashara ya kuuza madini katika eneo la Zenda huko Zimbabwe kutokana na biashara yake amekuwa akiwatumia wanawake kama anakavyo kimapenzi
Hivi tabia hii ya kubadili wanawake na kujihusisha hivi kingono inafaida yeyote?, kuna tuzo zozote hutolewa? kuna rekodi zozote huwekwa ili kuifunza jamii ?
Haya mambo hayafai kwani hadi kuupata ukimwi jamaa kaona ni jambo la kawaida kwake tuachane na hizi sifa za kijinga.
source:BBC
Huyu jamaa anajihusisha na biashara ya kuuza madini katika eneo la Zenda huko Zimbabwe kutokana na biashara yake amekuwa akiwatumia wanawake kama anakavyo kimapenzi
Hivi tabia hii ya kubadili wanawake na kujihusisha hivi kingono inafaida yeyote?, kuna tuzo zozote hutolewa? kuna rekodi zozote huwekwa ili kuifunza jamii ?
Haya mambo hayafai kwani hadi kuupata ukimwi jamaa kaona ni jambo la kawaida kwake tuachane na hizi sifa za kijinga.
source:BBC