Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,108
Naenda moja kwa moja kwenye mada!
IPO hivi mjengoni ninaishi na rafiki yangu mmoja hivi sasa kuna siku Demu wake alikuja kumtembelea akiwa na rafiki yake mmoja hivi walikaa kama dk 15 then wakasepa ilikuwa mida ya usiku hivi sasa yapita mwezi mmoja!
Kumbe yule Demu alitokea kuvutiwa na Mimi sasa ikawa ngumu kumwelezea rafiki yangu,sasa Leo sijui imekuwaje akajikaza akamuomba rafiki yangu namba yangu then akanitafuta WhatsApp kama vile kunisalimia na kunikumbusha aliniona siku Fulani hapa mjengoni na story mbili tatu za uongo na kweli!
Sasa hapa nashindwa kumuuliza umeomba namba yangu ya nini!nisije kuonekana mvulana!,pia kumtongoza nashindwa nisije nikaonekana na tamaa za fisi!
Kiukweli Nina tamaa za mwendo kasi za kugegeda kila anayeingia anga zangu sasa kwa huyu anaonekana kabisa amemaindi flag ila hataweza kuniambia ukweli!
Njooni tupeana mbinu za kistaarabu team kiumeni
IPO hivi mjengoni ninaishi na rafiki yangu mmoja hivi sasa kuna siku Demu wake alikuja kumtembelea akiwa na rafiki yake mmoja hivi walikaa kama dk 15 then wakasepa ilikuwa mida ya usiku hivi sasa yapita mwezi mmoja!
Kumbe yule Demu alitokea kuvutiwa na Mimi sasa ikawa ngumu kumwelezea rafiki yangu,sasa Leo sijui imekuwaje akajikaza akamuomba rafiki yangu namba yangu then akanitafuta WhatsApp kama vile kunisalimia na kunikumbusha aliniona siku Fulani hapa mjengoni na story mbili tatu za uongo na kweli!
Sasa hapa nashindwa kumuuliza umeomba namba yangu ya nini!nisije kuonekana mvulana!,pia kumtongoza nashindwa nisije nikaonekana na tamaa za fisi!
Kiukweli Nina tamaa za mwendo kasi za kugegeda kila anayeingia anga zangu sasa kwa huyu anaonekana kabisa amemaindi flag ila hataweza kuniambia ukweli!
Njooni tupeana mbinu za kistaarabu team kiumeni