Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Niaje? Ni miaka mingi imepita tangu tukiwa wadogo hadi sasa.. Wapo wenzetu ambao wazazi walikwishatangulia.. Poleni sana wana..waleambao wazazi bado wapo hatuna budi kumshukuru muumba. Wakuu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Unakuta una mtu wako unampenda kwelikweli,yaani huambiwi husikiii umekufa umeoza kabisa,halafu mtu huyo huyo Kuna watu walishampitia mara kadhaa kabla yako halafu wakaachana naye na hawataki hata...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Je, Tunatenda haki kuwafukuzia na kuwarubuni hawa ili tu tupate urithi, jamii inatuonaje. ni umri upi huwezi olewa naye au kumuoa, au ndio habari ya mjini siku hizi kufukuzia urithi.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE 🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
8 Reactions
179 Replies
23K Views
Nina demu wangu flani hivi nashindwa kumuelewa anapenda sana mgegedo ila kila nikimgegeda ule wakati anafika mshindo huwa anakolea kwa Utamu mpaka anapandisha mashetani, Kiukweli nashindwa...
8 Reactions
30 Replies
3K Views
Mwanamke anaitajika umri 26 mpaka 40 awe anajielewa .ukwa tayar ni PM
0 Reactions
0 Replies
749 Views
1. Kodi imeshaisha 2. Watoto Ada yao imepelea 3. Pesa zote alitumia hovyo katika Sikukuu zilizopita 4. Mabuzi yameshamtosa na hayakumpa alichokuwa akikitegemea 5. Nyumbani Kwao kwa Wazazi Uchumi...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Hicho kibuti kiliniumiza vibaya mnoo na kina ukweli kwa asilimia mia, kwapa huwa natumia sana deodorants za aina mbali mbali lakini wapi zinazidiwaa hadi nachoka nkakubali hali na demu mzuri...
7 Reactions
97 Replies
10K Views
Habari wakuu. Poleni sana kwa majukumu, Hoja yangu ni kwamba imefika wakati nataka kuoa sasa, ila sasa imebidi niulize kwa mliooa. Mmepataje wake wakuoa? Maana toka nipate wazo la kuoa nimekua...
28 Reactions
216 Replies
20K Views
Huwa ninashangaa tu, watu wanavyoteseka kuchangisha michango ya harusi. Nowdays ukisema unaoa ni full stress. Bwana harusi stress, wazazi stress, marafiki stress, nk. Hii inatokana na mentality...
14 Reactions
57 Replies
11K Views
Tulichat vizur PM na baadae tukahamia whatsapp hadi video call. Tukakubaliana nikakutumia nauli mpaka leo kutoka hapo maji matitu kuja hapa tabata unanizungusha Leo week ya nne. Tafadhali...
23 Reactions
305 Replies
18K Views
Anaandika Dr.Louann Brizendine (neuropsychiatrist) Most of the men and women I work with as a therapist are worn down by the “battle of the sexes.” They would both like to settle into a...
4 Reactions
9 Replies
6K Views
Hello friends Km mumeo ana kibamia, still he can impregnate you. Wakati wa sex, usikae woman on top,instead muache akae juu,inua miguu yako km kifo cha mende ila uweke mto chini ya makalio...
8 Reactions
79 Replies
13K Views
Wewe jirani weweeee may thunder strike you. Shenzi kabisaaa. Ipo hivi hapa nnapokaa nna jirani yangu Ni mwanaume alioa mwezi uliopita zile ndoa za ramadhani zile... Sasa kilichonifanya nianzishe...
5 Reactions
122 Replies
15K Views
Wakuu hawa watoto wa shule wanaovaa sketi kaeni nao mbali kabisa, Ninaandika haya maneno kwa uchungu mkubwa kabisa na masikitiko mazito, Rafiki yangu kanyeshewa mvua ya miaka 32 kwa kufumaniwa na...
13 Reactions
142 Replies
11K Views
Hua nashindwa kuelewa kwa nini wanawake wengi wakizalia nyumbani baada ya hapo wanajirahisi sana, inakua ni kama fungulia mbwa, yoyote anaekuja anamkubalia. Mwanamke akizalia nyumbani hata kama...
3 Reactions
60 Replies
6K Views
MKE MWEMA nani atakayemwona maana ni MALI ADIMU mke mwema YU WAPI?NDOA ZAVUNJIKA watoto WAHANGAIKA kisa BABA KAMUACHA mama ATI mke si mwema,watoto machokoraa sasa mitaani lundo wanaishi kama...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Matako makubwa yana nguvu ya ushawishi.. Today is Thursday.
1 Reactions
38 Replies
12K Views
Kila mtu aliletwa duniani kwa kusudio maalumu,je kusudio lako umelitekeleza au bado?Au na wewe haujui kusudio lako kama mimi,tunaishi tukitafuta,tunakula na kulea familia na baadaye kungojea siku...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu weekend iwaendee salama kwa wale wenye changamoto poleni sana. Moja kwa moja kwenye point, vijana wengi "Ke na Me" wanao tafuta wenza wana kabiliwa na tatizo moja kubwa. Tatizo ni kuwa...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom